Ni Yanga tu: Haijawahi tokea timu kufikisha point 13

@Labani og hawa ndio washamba WA ball na wapiga kelele anaona points 13 kama kioja .

Wakuja

Simba kashaongoza grupo Lina Al ahly
Na kaondoka na point 13.
 
Naomba kuuliza hizo point 13 za simba ni michuano hii qu ile iliopita? Na kama ni michuano hii kwann yanga waseme haijawahi tokea wakati simba wapo michuano ya juu zaidi ya yanga au mimi nisiejua mpira nachanganya mafaili
Ubora wa timu
 
@Labani og hawa ndio washamba WA ball na wapiga kelele anaona points 13 kama kioja .

Wakuja

Simba kashaongoza grupo Lina Al ahly
Na kaondoka na point 13.
[emoji23][emoji23]
 
Wenzako walishawahifikisha hizo point, katika mashindano ya kilabu bingwa na sio shirikisho kama unavyojinadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…