Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
hayo umesema wewe π πsawa, ndo kitu unachokipenda sana sioππ
sawa nmekuelewa mkuuππ πππHili swali ajibu mshamba_hachekwi mimi sina mpango wa kuwa na Mpenzi maishani
wewe mhanga wa mapenzi usiharibu nyuzi za watuπHili swali ajibu mshamba_hachekwi mimi sina mpango wa kuwa na Mpenzi maishani
utampata atakaekutuliza endelea kusali ππππ Sio kwereeee mzee
Sii anipe zawadi ya kupiga threesome na rafiki yake.Hapa kila mtu anataja zawadi ya mbususu, cha ajabu tukiwapa mbususu huwa mnaponda eti mwanamke hana cha kuoffer zaidi ya mbususu, mara ukitoa mbususu kwa mwanamke atakupa nini......
mzabzab hebu chagua zawadi mbali na mbususu
kama kweli una kifanyio basi mademu utakua na shida nao tuπMi sina shida na mademu najitosheleza stress za nini?
Wewe mbona hujasema zawadi uipendayo toka kwa mpenzioHabari za weekend wanajamvi
Niende moja kwa moja kweli mada. wakaka na wababa wa jamii forums naombeni mniambie ni zawadi gani mkipewa na wapenzi wenu hua mnafurahi sana ukiachana na magari, ni vitu gani mkipewa kama zawadi na wapenzi wenu mnaenjoy.
Natanguliza shukrani ππΌ
Half american Glenn Gily Analyse mshamba_hachekwi Uboboh Equation x Poor Brain DeepPond Sharamdala Mpaji Mungu Balqior mzabzab Ushimen IamBrianLeeSnr National Anthem Mzee wa kupambania
Habari za weekend wanajamvi
Niende moja kwa moja kweli mada. wakaka na wababa wa jamii forums naombeni mniambie ni zawadi gani mkipewa na wapenzi wenu hua mnafurahi sana ukiachana na magari, ni vitu gani mkipewa kama zawadi na wapenzi wenu mnaenjoy.
Natanguliza shukrani [emoji1374]
Half american Glenn Gily Analyse mshamba_hachekwi Uboboh Equation x Poor Brain DeepPond Sharamdala Mpaji Mungu Balqior mzabzab Ushimen IamBrianLeeSnr National Anthem Mzee wa kupambania
Ebu wee mjazie mafuta full tank uone kama hajakupelelea moto mpaka ukaona raha ya delibolozananipaga nyingi sana,,, sasa na mimi nataka nimpe maana mnasemaga we have nothing to offer than sex nataka kushow love pia kwa zawadi nzuri ππ€π
Habari za weekend wanajamvi
Niende moja kwa moja kweli mada. wakaka na wababa wa jamii forums naombeni mniambie ni zawadi gani mkipewa na wapenzi wenu hua mnafurahi sana ukiachana na magari, ni vitu gani mkipewa kama zawadi na wapenzi wenu mnaenjoy.
Natanguliza shukrani ππΌ
Half american Glenn Gily Analyse mshamba_hachekwi Uboboh Equation x Poor Brain DeepPond Sharamdala Mpaji Mungu Balqior mzabzab Ushimen IamBrianLeeSnr National Anthem Mzee wa kupambania