Ni zawadi gani ukipewa na mpenzi wako unafurahi sana? Naombeni mnijuze

Ni zawadi gani ukipewa na mpenzi wako unafurahi sana? Naombeni mnijuze

Hapa kila mtu anataja zawadi ya mbususu, cha ajabu tukiwapa mbususu huwa mnaponda eti mwanamke hana cha kuoffer zaidi ya mbususu, mara ukitoa mbususu kwa mwanamke atakupa nini......

mzabzab hebu chagua zawadi mbali na mbususu
Mimi naichagua hii zawadi toka kwa mwanamke, kwa niaba ya mzabzab..

Mbali na mbususu, mwanamke akinipa zawadi ya "tigo" mm roho yangu Kwatu Evelyn Salt
 
kwanza nilichogundua hampendi zawadi mnawaza mbususu tu[emoji23][emoji23],,,ila nimepata nyingi tu nzuri ninakazi ya kupima tu mindset yake nijue nimpe ipi,,,

Fanya umtoe out afu kampe Ngozi huko huko kagaramikie everything , hatokuacha katu [emoji1]
 
Mnunulie WALLET, MKANDA , SAA NA PERFUME.
Unamnunulia boyfriend/mumeo hio zawadi, mfano perfume ya elf 15, kuna mawili,

1)ushafanya hesabu na kugundua kua hio ni sehemu ya hela aliowahi kukuhonga hivyo unamrudishia kidogo.

2) kama sivyo, ukimpa perfume ya elf 15, unapiga hesabu kichwani kuwa baada ya wiki moja umwombe elf 30, ili hela yako ya perfume irudi na faida..

Wanawake ndio mnavo-reason hivyo mkitugea zawadi Ms eyes
 
Unamnunulia boyfriend/mumeo hio zawadi, mfano perfume ya elf 15, kuna mawili,

1)ushafanya hesabu na kugundua kua hio ni sehemu ya hela aliowahi kukuhonga hivyo unamrudishia kidogo.

2) kama sivyo, ukimpa perfume ya elf 15, unapiga hesabu kichwani kuwa baada ya wiki moja umwombe elf 30, ili hela yako ya perfume irudi na faida..

Wanawake ndio mnavo-reason hivyo mkitugea zawadi Ms eyes
hamna mkuu ni ishara tu ya mapenzi😂 unakuza mambo
 
wanawake hamnaga utamaduni wa kutupa zawadi sisi wanaume.. kwanza 95% ya wanaume hawajawahi pokea zawadi toka kwa wake/wapenzi wao..hata pipi.. Leejay49
basi ndo uniambie hua unawish mpenz wako akupe zawadi gani😊
 
Habari za weekend wanajamvi,

Niende moja kwa moja kweli mada. wakaka na wababa wa JamiiForums, naombeni mniambie ni zawadi gani mkipewa na wapenzi wenu hua mnafurahi sana ukiachana na magari, ni vitu gani mkipewa kama zawadi na wapenzi wenu mnaenjoy.

Natanguliza shukrani 🙏🏼

Half american Glenn Gily Analyse mshamba_hachekwi Uboboh Equation x Poor Brain DeepPond Sharamdala Mpaji Mungu Balqior mzabzab Ushimen IamBrianLeeSnr National Anthem Mzee wa kupambania
Kwa niaba ya wadada naomba kujibu hoja mheshimiwa.
Sie ni pesa pesa alfu pesa tena hayo mengine tutajinunulia maan nyie kuchagua mara nyingi hamjui.
😊😊😊
 
Back
Top Bottom