Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa ushauri wako mkuuπKwa uelewa wangu, zawadi kwa mpenzi/mwenza, Ni kitu au Jambo lolote ambalo utalifanya kwa ajili ya huyo mwenza/mchumba/mpenzi ili kumfurahisha kwa sababu ya kufanya Jambo Fulani au tu kumfurahisha. Na Ni busara ukipewa zawadi na mpenzi au mwenza ukaipokea kwa furaha na kuitumia.
Kwa upande wangu, huwa najiskia vibaya ninapokosewa na mpenzi au mwenza, alafu akaamua kuniletea zawadi Kama kunipoza. Ni vizuri tukaombana msamaha tukamalizana then ndo nipewe zawadi.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]we jamaa haaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
niachee[emoji23][emoji23]
Yaani basi, chocolate ya mpenzi nakula ila sijinunuliagi mwenyewe sijui kwa nn πwow,,,hivi na nyie mnakulaga chocolate π
usisite kunishauri lakini nikija na uzi wa kilio siku yake[emoji23][emoji23][emoji23]
hapo sawa,, maana kuna mtu nlimuagizaga aninunulie chocolate akasema anaona aibu watamuonaje dukani mwanaume na chocolate,,,basi nikaconclude wanaume hamlagi chocolate πYaani basi, chocolate ya mpenzi nakula ila sijinunuliagi mwenyewe sijui kwa nn π
Huyo kidume wako ni mshamba tu πhapo sawa,, maana kuna mtu nlimuagizaga aninunulie chocolate akesema anaona aibu watamuonaje dukani mwanaume na chocolate,,,basi nikaconclude wanaume hamlagi chocolate π
muhimu kujihami,,, mguu mmoja ndani mmoja nje[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo kesha acha ushamba?haaπππ,,,labda alikua mshamba kweli ππ
Pamoja Sana mkushiAsante kwa ushauri wako mkuuπ
ndomana sitaki kujiamini sana,,, nikipigwa na kitu kizito usisite kunifariji pia[emoji4]