Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

Akili ya darsani inategemea mazingira ya nje zaidi na sio inborn.
Hapana, In born nature inaifluhence sana akili ya mtoto.
Binafsi nimezaliwa na wazazi wenye akili sana, Na watoto wote katika familia ni wenye akili, za darasani na hata za utatuzi wa mambo mbalimbali.
Tatizo nililojifunza ni kwamba kuna tofauti ndogo sana kati ya akili nyingi na ukichaa.
 
Una akili kubwa☺️
 
Mkuu umeeleza vema ila kazi za nyumbani hazina msaada wa kutosha kumsaidia mtoto kufanya vizuri darasani. Genetics inahusika kwa 100%. Uwezekano wa vilaza kuzaa mtoto kipanga ni mdogo. Utakuta familia ya watoto 6 ni mmoja tu kipanga.
 
Mtu asiye na akili anatakiwa ashauriwe na mtu mwenye akili, By the way degree sio akili.
Degree ya kuungaunga inategemeana mtu amepita katika changamoto zipi za kielimu na kimaisha.
 


Tatizo watu mnaubishi Sana.
 
wako english medium scholl?
 
Mama ni wa la saba tu, baba ana diploma ya IT, na anadigrii ya uongozi na maendeleo ya jamii, pia anacheti ya veta ya udereva. Huyo bado sio, hata kwao baba ndugu zake ni wasomi waziristan tu hata mzazi wa baba naye msomi mzuri tu.
Mkuu wala usifikirie vibaya watoto ni umri tu watakaa sawa mama yao kuishia la 7 haina maana hana akili bali ni kwamba hakupata nafasi ya kusoma tu yawezekana akawa na akili kuzidi ata ww sema kwa kuwa hakupata hiyo nafasi tena usije ukaanza kumtamkia maneno machafu kwa kuchukua maneno ya wadau humu ukiamini labda wameiga kwake hicho kitu hakipo mkuu,watoto wanachukua kote kwa baba na mama pia wengine wanakuwa na akili za peke yao
Hivyo tuliza akili wakijitambua wata ku surprise amini hilo mkuu
Wapo watoto ambao wazao wao ni vilaza tena wale mburura lakini wamekuwa best students katika mitihani yao na kufsnikiwa kusoma special schools tunazozifahamu kama mzumbe,ilboru n.k
Muombe Mungu abariki kizazi chako usiwe na imani potofu ukaanza kumsingizia mama yao
 
Akili huanzia kutoka kwa wazazi, inavyosemekana...

Your browser is not able to display this video.


Cc: Mahondaw
 
Thread imefungwa mkuu ahsante kwa ushauri huu

Mtoa mada zingatia hapa
 
Sasa kama mtoto mdogo anaukariri mwimbo wote wa dula makabila au zuchu tena anauimba bila kukosea,si Ana akili huyo πŸ˜„

Ova
 
Watoto wadogo Huwa wana kawaida ya ku-adapt mazingira yaliyowazunguka endapo familia ukiwa na ya wasomi au la.

Hivyo tabia ya kusoma kwa mtoto Huwa inajengwa nyumbani na inasimamiwa na watu wa nyumbani hasa wazazi.

Hili ni jambo muhimu Sana wadau tujue kama watoto wetu hatuwasimamii sisi wazazi na kuhakikisha tunakaa nao pamoja karibu wanaposoma, basi sio ajabu kuona mtoto anakosa muendelezo mzuri darasani.

Suala la kusoma tuisheni ni swala linalomhusu mwanafunzi binafsi na kama mtoto mwenyewe hapendi elimu mpaka asukumwe basi tutambue elimu yake utakua kwa AJILI ya wazazi wake na sio asome aelewe binafsi.

Nidhamu ya woga itamuungoza na hataweza kupata kitu darasani awapo mwenyewe ila atasoma kwa sababu mzazi anamlazimisha asome.
 
Maombi kwa Mungu kwa kuomba rehema kwa kuwa ni jambo la kimungu na sio la kimwili zaidi ni kiroho Mithali 3:5-6 Mtumaini Mungu wako. Wapeleke kwa wachungaji waombee ukishindwa na mkono wa Mungu utawafungua.
 
Cha kukushauri hapo Ni kujaribu kuchunguza vipaji vya watoto wako,Kuna wengine Mungu amewapa vipawa vya maisha nje ya darasa ,huenda watoto wako hawana vipaji vya darasani Ila jaribu kuboresha vipaji vyao.Kuna mafanikio makubwa kwa watoto nje ya elimu ya darasani, wakati mwingine Ni bora tuwasikilize watoto kuliko kulazimisha.
 
Mkuu umeeleza vema ila kazi za nyumbani hazina msaada wa kutosha kumsaidia mtoto kufanya vizuri darasani. Genetics inahusika kwa 100%. Uwezekano wa vilaza kuzaa mtoto kipanga ni mdogo. Utakuta familia ya watoto 6 ni mmoja tu kipanga.
Mkuu nazungumza kitu ninachofahamu na nina ushahidi nacho.

Suala la genetics halina uhalisia wowote.

hata mimi binafsi nimeshapractice hivyo vitu.

Kuna mdogo wagu yeye alikuwa ni kipanga sana class ila wazazi wetu wameishia darasa la saba,ila kwa namna ambavyo niliweza kushift mind yake mpaka akafikia kupata division 1 shule ya kata huko vijijini kwetu it's amazing.

So mkuu kama unaamini kwenye genetics achana na hizo myth ambazo hazina mshiko hata kidogo.

Ishu nyingine nakupa.

Kuna jamaa tumsoma nae yeye alikuwa ni kipanga darasani il wazee wake wote waliishia darasa la saba na wazee hao hawaa histori yoyote ya kufanya vizuri.

Ingelikuwa kufaulu ni genetics kutoka kwa wazazi basi leo tusingeona watoto wa wazee wasiosoma wakifanya vizuri.

Hiyo inaonesha namna ambavyo kufaulu ama kuwa na akili kwa mtoto sio ishu ya genetics.

Ila hii siri watu wengi hawaijui hivyo ni vigumu kukubali kwamba ufaulu wa mtoto darasani na uelewa wake unatokana na malezi na wau waaomzunguka kwa99%.

Msome na jamaa hapo juu Andrew Tate kaelezea vizuri sana kuhusu haya mambo.
 
Kwahiyo hiyo mifano yako miwili ndo imekupa majibu ya utafiti wako? Genetics sio myth. Ni kitu halisi ambacho kipo. Mtoto wa mwanariadha kuzaa mtoto mwenye kipaji cha riadha sio ajabu. Ingekuwa genetics haina nchi nyingi ikiwemo Marekani zingetengeneza vipaji vingi vya mpira kwa kusaidiea na mazingira tu kama unavyosema wewe.
 
wahiyo hiyo mifano yako miwili ndo imekupa majibu ya utafiti wako?
KUmbe ulitaka nikupe mifano milioni moja ili nijaze likitabu alafu usisome mkuu ? πŸ˜€.

Nimekupa sample ya utafiti tu huku nikiwa na mifano mingi kando inayoendana na sample hiyo.
Genetics sio myth.
Sijasema genetics ni myth bali myth ni kusema kwamba ufaulu wa mtoto darasani eti ni genetics 100%,hizo ni ishu sizo kabisa hazina ukweli wowote.

Wale wa kwaza kuanza shule wakafaulu unadhani waitegemea genetics za wazazi ambao hawakusoma ama ? Jiulize maswali kama hayo.
Mtoto wa mwanariadha kuzaa mtoto mwenye kipaji cha riadha sio ajabu
Riadha so kipaji bali ni mazoezi,ndio maana leo hussein bolt tizi analokula sio la mchezo,it's all about practice and not talent.

Ndio maana hakuna mwanariadha mwenye kipaji cha riadha alafu akawa hafanyi mazoezi ya kukimbia,
Ingekuwa genetics haina nchi nyingi ikiwemo Marekani zingetengeneza vipaji vingi vya mpira
kuna wachezaji wengi ambao wazee wao hawana historia ya kuwa wachezaji,lakini kupitia mazngira na makuzi wanajikuta wakiwa wachezaji wazuri wanaotajwa kwa vipaji.

Hiyo ni dhahiri kwamba ishu nzima ins rely kwenye makuzi na mzingira yanayomzunguka na sio genetics.

Alafu MAREKANI sio kipimo cha uhalisia wa mambo mzee,kwani hao jamaa si ndio katika wale wanaoweza kufanya surgery na kujibadilisha maumbile.

So marekani hautakiwi kuiweka kama reference kwa sababu nao wana mambo yao ya kipuuzi kibao tu.

So huwenda ukaifanya marekani kuwa reference kweye jambo lako alafu kumbe hilo jambo ni katika yaleee mambo yao ya kipuuzi
 
Hussein Bolt ❌ Usain Bolt βœ…
Kumbe nabishana na mtu mpumbavu. Kama riadha sio kipaji ni nini? Wewe bora ungekaa tu kimya. Ukizidi kuandika utazidi kujivua nguo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…