Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

Akili ya mwanadamu (IQ) huwa ni Genetic...ni vinasaba vya baba na mama ambavyo nao walilithi kutoka kwa mababu zao.

Mazingira + shule nzuri husaidi ku boost IQ aliyonayo mtoto, ambapo huchangia 20 to 30%.
 
Sasa sisi wazazi ambao tukitoka job tunapitia kupoza koo na kurudi home madogo wakiwa wameshalala unatuambiaje sasa.
 
Ukitaka kuwa na watoto vipanga darasani hakikisha unaoa mke kipanga haswa.Yaani mkeo awe mwerevu Kweli Kweli.

Then hakikisha watoto wako hawali ugali kbsa coz Ni chakula kinachodumaza akili.
Hiko kiparagrafu cha mwanzo……. Wasipokuelewa basi achana nao. 😅

Tutalaumu watoto bure tu.

Kuna utani nilisoma mahali, mwanaume anasema nimeshaoa mke kwaajili ya watoto wangu, sasa nikatafute mwanamke mwingine kwaajili yangu, if you know you know! 🤣
 
Akili hufuata mkondo,kama wazazi bichwa maji,likewise kwa watoto,hakuna dawa hapo ulikosea kuchagua mke kilaza kwa kuangalia shape badala ya kichwa
🤣🤣 kaka ndo useme bichwa maji si useme tu kuwa hawana akili! bichwa maji imekaa kikatili sana!
 
Labda ufanye vitu kwa kiasi. Pengine hizo tuitions za kufa mtu ndio unazidi kuchosha akili zao. Jaribu kuwa unawasliana kwa karibu na walimu wao wa darasa kujua zaidi changamoto zao. Wazazi wa siku hizi busy sana kutafta hela muda wa kuwa na watoto unakuwa mdogo. Fatilia vizuri na ratiba zao za nyumbani zilivyo wakitoka shule. Jitahidi vyakula kama parachichi, almonds zinasaidia mambo ya kumbukumbu.
 
usiangaike na elimu saizi angalia wanavipaji gani alafu wapesapoti yakutosha maisha yamebadilika saizi kylan mbape mtoto mdogo tu anakunja bilioni kadhaa kwa mwezi.
 
Hahaaaa
 
Wenda wapo na talent kubwa hujagundua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…