Nikiangalia marafiki niliohitimu nao primary hadi naomba

Lazima uende na wakati ndg
 
Kwa hiyo huyu mheshimiwa naye aibe cheti swahiba?

Mkuu usinunue cheti huyu bwana anakushauri vibaya. Wewe njoo huku namtumbo tulime biringanya bwana.
Kazi ni kazi
 
Pole mkuu, rudi chuo ukaongeze na ka masters. Ukiona bado upati kazi ongeza tena na ka PhD! Elimu ni ufunguo wa maisha....
 
Hao walitafuta kwanza ndio wakaja kusoma chunguza uambiwe
 
*NIMEZIPENDA HIZI Kauli 18 za mtu asiye na MALENGO wala UTHUBUTU*

1)Sina mtaji
2)Sina Connection
3)Nitaanza rasmi kesho
4)Mimi ni wa hivihivi tu
5)Mifumo mibovu ya Serikali ndiyo inayonirudisha nyuma
6) Mke/mme/ndugu zangu Ndiyo walioniangusha/kunitenda/kikwazo
7)Kupata ni majaliwa
8)Usilazimishe mambo
9)Kuna watu special siyo mimi.
10)Sina bahati
11) kupata si uhodari nami nitapata tu.
12) Mimi ni fungu la kukosa tu.
13) muda wangu bado nitapata tu
14) mungu hajapanga hata vidole mkononi havilingani.
15) wapo waliopangiwa sisi wasindikizaji
16) Familia yetu hakuna tajiri nianze mimi?
17) hata wanaotafuta mbona wapo vilevile...fulani namjua mbona yupo tu kama mimi au namzidi.
18)Rais anabana sana

*USIFUNGAMANE NA MTU WA AINA HII*
By EUSTACE LUBULI
[emoji120][emoji389]KARIBU SANA KWENYE FURSA [emoji389][emoj

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana ya kusoma sana mpaka chuo kikuu uwe mbunifu kutawala maisha yako mtakufa maskini kusubiri kuajiriwa.
 
Hili nalo neno...mi ambao nimewaacha na std seven naona wana watoto wengi tu basi...lkn kimaendeleo bado!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah......tatizo wabongo wengi mnajichanganya sana......Nani kakwambia ukiwa unasoma usitafute namna ya kupata kipato? Au usiwe na mahusiano? ...Mbona kusali hamuachi?
Vyote hivyo vinne... Ujuzi, kipato, mahusiano na imani ndiyo vinafanya maisha ya mwanadamu.... Ukikosa kimoja huna tofauti na tumbili....ukweli mchungu...[emoji13] [emoji13] [emoji13]

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
 

Mkuu hongera zimuendee baba yako.
Kila mtu anayo malengo yake.Baba yako alikuwa anajua anataka nini katika maisha yake
Akaamua (ajilipuwe na ndoto yake) na amejaaliwa ka weza timiza.Wako wengine walifanya kama baba yako lakini bado wako mitaani wana bishana Simba na Yanga kwa sababu hawakuwa na malengo.
Malengo ni muhimu sanaaaaaa tu ukiwa msomi au usiwe msomi.Wasomi wengi wanahisi watafanikiwa tu na hayo ndio matatizo yanayo tukabili.
 
Nimetamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…