proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
- Thread starter
- #101
Lazima uende na wakati ndgEverything has to be at his, just thank God for everything..maadamu ni mzima na una elimu ya kutosha lawama zinatoka wapi sasa? Inawezekana wakati wenzako wanamaliza wewe ndio utapata nafasi ya kuanza so sioni haja ya kuangalia maisha ya wengine kwa kigezo chochote kile kwa kuwa hakuna anayejua mpango wa Mungu juu yako mkuu!