Nikifa miradi hii nani ataiendeleza: Hayupo, na nchi inasonga na miradi kedekede

Tafuta hela stress zitakuisha
 
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.

Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Hivi hii aacount huwa inadukuliwa au muhusika kuna wakati zinarudi zinakaa sawa au?

Huwa simuelewi kabisaaa japo najua ni CCM
 
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.

Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Nonsense, mwacheni mzee apumzike kwa amani. Ingawa alikuwa na mabaya yake ila nina uhakika anayo mazuri mengi tu kuliko hata walio madarakani kwa sasa.
 
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.

Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Alijikuta...
😂😂
 
Hahahaaa, Zero alitupoza sana.

Sijui kapotelea wapi siku hizi
 
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.

Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Haya ni mambo ya kizamani tangu wakati wa Nyerere, watu walisema kama Nyerere atakufa na nchi itakufa. Mbona nchi bado ipo? Huyo Msukuma naye alikuwa na mawazo ya ovyo mno, ya kipuuzi na kijinga. Haya mambo ya kuua watu ovyo ambayo walizoea huko Geita aliyaleta katika national level. Hakuna rais aliyekuwa mjinga na asiye na uelewa kama huyo aliyepita.
 
Mwendazake alikuwa na akili nyingi na alitaka kweli kuona nchi inapiga hatua ila upuuzi wake ni njia alizokuwa anatumia za kibabe bila kujali utu. Alisahau jinsi unavyombana binadamu ndo unavyompa akili ya kujipanga.. udhaifu wa madikteta wote ni kudhani wao wana akili kuliko wananchi wote. Mungu anaipenda Tanzania ndo maana akamwondoa mapema.
 
Akili za konyo
 
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.

Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Ile ilikua brainwashing!! Na wajinga wakaingia chaka, hakuna kiongoz ambae atafanya miradi flani halaf mwingine ashindwe kufanya au kuendeleza!! Hii ni moja ya hoja nilikua naipinga awamu ya tano, yaan kufanya yeye ndie alikua bora wengine hawawez??
 
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.

Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Jamaa alikuwa tapeli, mfitini na muuaji!!
MUNGU fundi!
 
Hurumaaa... ile Ilikuwa ni intelligence,psychological,emotional and spiritual disorder hakustahili kuongoza mtu bali mwenyewe kuongozwa...
 
Mkuu kuna jipya lipi mwanadam mwingine ashindwe kuendeleza au kulifanya chini ya jua? Hoja ni hiyo wala si kwa ubaya ila tujadili kwa hoja!! Ukichubguza san ile ilikua brainwashing ili kuaminisha umma hakuna kama yeye!!
Huwa napata wasiwasi juu ya Uwezo wa akili Alonao Mtanzania anayemtukana JPM, Huwa Nahisi vichwan ni mbumbumbu .
 
Huna akiri asee!!
 
Hoja ni.. nan ataweza kuendeleza! Alianzisha miradi muhimu san hakuna anaepinga kwa maendeleo ya Taifa! But hoja akiondoka hakuna wa kuendeleza kwamba he was special hakuna mwanadam angeweza kuendeleza aliyoanzisha? Hii ilikua brainwashing na mkaingia mazima!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…