Tafuta hela stress zitakuishaNahisi wengi wao usikute wanaishi nje ya nchi. Ila inasikitisha sana kujitafutia laana. Ndiyo maana kile ki ngo cha Mbowe kilishajifia kwa sababu ya kumtukana JK, leo hii wanajaribu kujipendekeza kwa JK ili awasamehe wakati siyo rais na mamlaka iliyotukanwa ipo tena ina kumbukumbu ndiyo maana ngo hiyo it will never amount to anything
Hili linashangaza sana. Watu waache kujadili rais wao wa zamani?Kama tunamjadili Mwl Nyerere,Idd Amin Dada & Adolf Hitler,huyo Mwendazake ni nani asijadiliwe.
Hivi hii aacount huwa inadukuliwa au muhusika kuna wakati zinarudi zinakaa sawa au?Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Nonsense, mwacheni mzee apumzike kwa amani. Ingawa alikuwa na mabaya yake ila nina uhakika anayo mazuri mengi tu kuliko hata walio madarakani kwa sasa.Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Alijikuta...Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Akasahau hiyomiradi alianzisha yeyeakiwa na msaidizi wake ambaye ndiyo Rais SasaHuwa napata wasiwasi juu ya Uwezo wa akili Alonao Mtanzania anayemtukana JPM, Huwa Nahisi vichwan ni mbumbumbu .
Hahahaaa, Zero alitupoza sana.Ila jamaa alitupeleka mchaka mchaka wa hatari, dah noma sana!!! Amani ilitoweka si mtaani wala kwenye mitandao ya kijamii!!! Mtaani tunaogopana!!! Trafiki na TRA waliwaka moto aisee!!! Watu hatujui kesho tunaamka na mwelekeo gani na taifa letu!!!
Viherehere wa JF kina GENTAMYCINE na Erythrocyte na sisi wengine tulikuwa tunawindwa kama swala!!! Una log in ukiwa chooni hata unaelala nae humuamini kwenye username ya JF!!! Ilikua kasheshe na nusu!!! Full mtanange!!!
Zero IQ huyu mwamba alikua anatupoza roho na nyuzi zake za kuwala wake za watu kwenye kibanda chake cha chips!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya ni mambo ya kizamani tangu wakati wa Nyerere, watu walisema kama Nyerere atakufa na nchi itakufa. Mbona nchi bado ipo? Huyo Msukuma naye alikuwa na mawazo ya ovyo mno, ya kipuuzi na kijinga. Haya mambo ya kuua watu ovyo ambayo walizoea huko Geita aliyaleta katika national level. Hakuna rais aliyekuwa mjinga na asiye na uelewa kama huyo aliyepita.Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Akili za konyoMwendazake alikuwa na akili nyingi na alitaka kweli kuona nchi inapiga hatua ila upuuzi wake ni njia alizokuwa anatumia za kibabe bila kujali utu. Alisahau jinsi unavyombana binadamu ndo unavyompa akili ya kujipanga.. udhaifu wa madikteta wote ni kudhani wao wana akili kuliko wananchi wote. Mungu anaipenda Tanzania ndo maana akamwondoa mapema.
Ile ilikua brainwashing!! Na wajinga wakaingia chaka, hakuna kiongoz ambae atafanya miradi flani halaf mwingine ashindwe kufanya au kuendeleza!! Hii ni moja ya hoja nilikua naipinga awamu ya tano, yaan kufanya yeye ndie alikua bora wengine hawawez??Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Jibu hoja wewe!! Unapoleta uzi kuhusu yeye humu kwamba hua naww ushadanja ama?Hivi mbona mnapambana na marehemu au na nyie mshakufa tunajibizana na maiti/Mizoga humu?
Jamaa alikuwa tapeli, mfitini na muuaji!!Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Huwa napata wasiwasi juu ya Uwezo wa akili Alonao Mtanzania anayemtukana JPM, Huwa Nahisi vichwan ni mbumbumbu .
Huna akiri asee!!JPM alikuwa na akili kubwa sana hata mtukane. Katika ujenzi wa SGR alianza Dar - Moro kisha Moro- Makutupora. Kisha akaruka kwenda kuanza Isaka - Mwanza ili kumlazimisha successor wake kuunga Makutupora - Isaka. Vinginevyo watu wangesema tuishie Makutupora tujenge bandari kavu hapo.
Hoja ni.. nan ataweza kuendeleza! Alianzisha miradi muhimu san hakuna anaepinga kwa maendeleo ya Taifa! But hoja akiondoka hakuna wa kuendeleza kwamba he was special hakuna mwanadam angeweza kuendeleza aliyoanzisha? Hii ilikua brainwashing na mkaingia mazima!!Hizo taasisi zilikuwepo aliyoyafanya mbona hawakua wameyafanya ama hizo taasisi zimefanya hadi yeye alipoamua kufanya.
Hizo taasisi hazikua zinaona kama hii nchi inahitaji reli ya SGR? Hizo taasisi hazikua zinaona kama hii nchi inahitaji umeme wa kutosha wa uhakika badala ya umeme wa kutapeli wa kina IPTL, Singas, Agreko nk, hazikua zinaona?
Faida ni kwamba amekufa ameacha hiyo miradi katika hali ambayo haiwezi kuacha kumaliziwa, hakuna.
Upinde wa mvua Mtapiga kelele weee lakini Magufuli atakumbukwa vizazi na vizazi kwa mambo makubwa aliyoifanyia hii nchi.