Nikikojoa mkojo unauma mwishoni na uume unatoa vitu vya njano. Nitumie dawa gani?

Nikikojoa mkojo unauma mwishoni na uume unatoa vitu vya njano. Nitumie dawa gani?

Kuna uwezekano mkubwa ni ugonjwa wa zinaa (Gono, Kaswende, Kisonono, n.k)

wahi hospitalini mapema !!

Hizi starehe za dakika chache zisikubabaishe ujilipue kisa shepu, upole, umri, kupania, n.k. TUMIA CONDOM !! utasifiwa ni mjanja lakini kwenye magonjwa utapambana kivyako
Anapenda ze utamu amepate ze uchungu
 
Back
Top Bottom