Kariakooking1978
JF-Expert Member
- Jul 11, 2023
- 549
- 1,078
Hellow members,baada ya harakati za mchana leo nikasema ngoja niingie online kidogo na mimi nione uwezo wa AI katika kutupa picha ya vitu tunavoviwaza.
Basi nikaingia bing.com nikasearch AI image generator then nikaimbia maneno yafuatayo "Create an image of warehouse of the transportion company named KARIAKOO KING".
Basi baada ya sekunde kadhaa AI ikanitolea picha nitakazoziweka hapo chini.
Hizi picha zimenihamasisha sana kutokana na uhalisia wake wa mazingira kama ya kariakoo.
Any way sahizi nikiwa na miaka 22 nahamasika ndani yangu nikifika hata kwenye miaka 30 niwe na kawarehouse kamchongo pale kariakoo ili zile parcel zenu ziendelee kusafirishwa kwa usalama sana.
TUNAHAMASISHANA TU,IMAGINATION IS FREE
Picha zenyewe👇👇👇
CREDIT : AI IMAGE GENERATOR
USISAHAU: Naendelea kufuata,kufunga na kusafirisha mizigo kutoka kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na Nchi jirani kila siku.
0745645035.
Basi nikaingia bing.com nikasearch AI image generator then nikaimbia maneno yafuatayo "Create an image of warehouse of the transportion company named KARIAKOO KING".
Basi baada ya sekunde kadhaa AI ikanitolea picha nitakazoziweka hapo chini.
Hizi picha zimenihamasisha sana kutokana na uhalisia wake wa mazingira kama ya kariakoo.
Any way sahizi nikiwa na miaka 22 nahamasika ndani yangu nikifika hata kwenye miaka 30 niwe na kawarehouse kamchongo pale kariakoo ili zile parcel zenu ziendelee kusafirishwa kwa usalama sana.
TUNAHAMASISHANA TU,IMAGINATION IS FREE
Picha zenyewe👇👇👇
CREDIT : AI IMAGE GENERATOR
USISAHAU: Naendelea kufuata,kufunga na kusafirisha mizigo kutoka kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na Nchi jirani kila siku.
0745645035.