Akifuata ushauri wako huu, baada ya miezi miwili tu ataanza kuokota makopo10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.
Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.
Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua
Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
NMB fixed deposit intest 9.5% , una swali jingine?We mpumbav mi naongea nlichoweka sio wewe msikia story niambie wewe bank gan inatoa riba zaid ya 6% ? Mimi nitume fixed documents umu na wewe utume unaongea lugha za kifala wakat Huna experience mzee
Crdb hiyo ya 9% wameishaifuta.TCB BANK ni 11% CRDB ni 9% mkuu mfumuko wa bei interest rates zimepanda dunia nzima.
Weka mkeka Kaka.Sasa apo huelewi nn si wamekwambia 24months for 11% ama 24months for 22% mpaka useme per annum?
Ilikuwa ni offer ya Mwaka Jana. Iliisha mwezi wa Saba.Crdb hiyo ya 9% wameishaifuta.
Yaani biashara ya bodaboda na banda la chips kwa kuiandika hivi kweli inalipa sanaππππ ingia field ukutane na uhalisia wenyewe.10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.
Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.
Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua
Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
pamoja mkuuKama mwanaume,utakiwi kuwa mwoga wakujaribu na hata ukianguka unabidi urudi tena kwenye mapambano.Mimi nachoongea matarajio yawe Kwa kiasi .. mtu anajua kuwa biashara ya bajaji itamletea 20000 Kila siku, lakini Kuna siku haifikii hiyo hesabu au Kuna service za kufanya n.k
Daima usiache kujaribu!
Kakaa umeongea kwa sautii kalii mnooo na ubayaa Hiyo piki piki mwisho wa mkataba anachukua boda mwenyeweee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mmh hizi biasharaa ngumu sana aiseee...Mkuu biashara ya boda boda anae pata faida ni dereva. Twende taratibu utanielewa. Tufanye umenunua piki piki hadi inaingia barabarani umetumia 2.5m ,hesabu kwa siku elfu 10 kwa mwezi laki tatu kwa mwaka hadi mkataba unaisha utakua umeingiza 3.6m .sasa toa gharama uliyo nunulia hiyo piki piki una baki na 1.1m , Gawanya hiyo pesa kwa miez 12 uone kwa mwezi unapata kiasi gani na ukipata kwa mwezi gawa kwa siku 30 uone kwa siku moja unapata kiasi gani. Hapo utajua wewe uliye wekeza 2.5m na dada anae saidia mama ntilie na kulipwa buku 3 mpo sawa
Hahahaaa!! Maneno mengiiii weka na ww ushahidi wa mzigo mezani hapa.oh mara kiingeleza kingi kiingeleza bila pesa sw n makelele tu.Sasa iyo 11% ni miaka miwil ama mmoja?
Ama kiingeleza nacho shida mzee?
24months for 11%......
12months equals to 5.5 % mzee Acha maneno ya hovyo huna maarifa kabisa
Najua mkuu ila nilikua namwambia jamaa anayebisha hamna bank inayotoa zaidi ya 6%.Crdb hiyo ya 9% wameishaifuta.
Jamaa anabisha wakati akipiga huduma kwa wateja bank zote wanampa rates zao za fixed deposit na ukiwa na mzigo mkubwa una negotiate nao kabisa rates.NMB fixed deposit intest 9.5% , una swali jingine?
DCB pia wanatoa 10% last time kuulizia.NMB fixed deposit intest 9.5% , una swali jingine?
Kwa nini wasitoe na wamepewa mzigo mkubwa ukiweka 10m kama mwenye uzi takula kidogo ukiweka 100m utakula kikubwa kwa kifupi "KILA MTU ATAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE"Yaan kwa iyo miaka miwili ni 9,900,000 hamzijui bank nyie [emoji28]
HongeraMtu mwenyewe hekima hatoi matusi kinywani mwake bali asiye na utashi komavu. Haya soma hapa chini kisha urudi tenaView attachment 2660022
Mwamba haeleweki. Alivyoingia kwa mikwara miksa na matusi nikajua Dangote kaingia sasa. Kamtisha jamaa aweke fixed account documents jamaa chap kashusha muamala wa 50 million cash (11% interest paid monthly for 2 yrs). Na yeye badala ajibu mapigo anaongea tu yaani....Hahahaaa!! Maneno mengiiii weka na ww ushahidi wa mzigo mezani hapa.oh mara kiingeleza kingi kiingeleza bila pesa sw n makelele tu.
π€£π€£π€£ Mkuu ni biashara kichaa ileKakaa umeongea kwa sautii kalii mnooo na ubayaa Hiyo piki piki mwisho wa mkataba anachukua boda mwenyeweee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mmh hizi biasharaa ngumu sana aiseee...
Watu hua hawaelewi au labda aendeshe mwenyeweBodaboda no kupoteza muda tuu
Bar tena kubwa kwa 10 million unafungua mtaji wa pombe za kumwaga hauzidi 1 million zingine ni za matengenezo ya jengo n.k
N.B sio mjini ndio maana nikasema aseme nimpe location apige hela kwa miaka miwili zikimtosha apite kushoto hatalipia hata senti 1 kwa serikali
Af watu kama hawa hizo biashara hata hawafanyi waoπππ€£π π€£π Wabongo bhaaaana... Mnapenda kurahisisha maisha ya utafutaji kwa kutozingatia kanuni uhalisia na mazingira...
Kuna Masikini,Tajiri na maisha ya katiYaani biashara ya bodaboda na banda la chips kwa kuiandika hivi kweli inalipa sanaππππ ingia field ukutane na uhalisia wenyewe.
Hawa motivational speakers wanazingua sana unaweza kukaanga mtaji kijinga kabisa