Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Akifuata ushauri wako huu, baada ya miezi miwili tu ataanza kuokota makopo
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Yaani biashara ya bodaboda na banda la chips kwa kuiandika hivi kweli inalipa sana😂😂😂😂 ingia field ukutane na uhalisia wenyewe.

Hawa motivational speakers wanazingua sana unaweza kukaanga mtaji kijinga kabisa
 
Mkuu biashara ya boda boda anae pata faida ni dereva. Twende taratibu utanielewa. Tufanye umenunua piki piki hadi inaingia barabarani umetumia 2.5m ,hesabu kwa siku elfu 10 kwa mwezi laki tatu kwa mwaka hadi mkataba unaisha utakua umeingiza 3.6m .sasa toa gharama uliyo nunulia hiyo piki piki una baki na 1.1m , Gawanya hiyo pesa kwa miez 12 uone kwa mwezi unapata kiasi gani na ukipata kwa mwezi gawa kwa siku 30 uone kwa siku moja unapata kiasi gani. Hapo utajua wewe uliye wekeza 2.5m na dada anae saidia mama ntilie na kulipwa buku 3 mpo sawa
Kakaa umeongea kwa sautii kalii mnooo na ubayaa Hiyo piki piki mwisho wa mkataba anachukua boda mwenyeweee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mmh hizi biasharaa ngumu sana aiseee...
 
Hahahaaa!! Maneno mengiiii weka na ww ushahidi wa mzigo mezani hapa.oh mara kiingeleza kingi kiingeleza bila pesa sw n makelele tu.
Mwamba haeleweki. Alivyoingia kwa mikwara miksa na matusi nikajua Dangote kaingia sasa. Kamtisha jamaa aweke fixed account documents jamaa chap kashusha muamala wa 50 million cash (11% interest paid monthly for 2 yrs). Na yeye badala ajibu mapigo anaongea tu yaani....

JF bana! 😁😁😁😁
 
Nitakutafuta
Bar tena kubwa kwa 10 million unafungua mtaji wa pombe za kumwaga hauzidi 1 million zingine ni za matengenezo ya jengo n.k

N.B sio mjini ndio maana nikasema aseme nimpe location apige hela kwa miaka miwili zikimtosha apite kushoto hatalipia hata senti 1 kwa serikali
 
Yaani biashara ya bodaboda na banda la chips kwa kuiandika hivi kweli inalipa sana😂😂😂😂 ingia field ukutane na uhalisia wenyewe.

Hawa motivational speakers wanazingua sana unaweza kukaanga mtaji kijinga kabisa
Kuna Masikini,Tajiri na maisha ya kati

Masikini:- Akipata hela matumizi tu hela haikai.

Maisha ya kati:- Hawa mara nyingi huishi maisha ya uigizaji lakini waoga wa kujaribu kufikia utajiri. Na waoga kurudi kwenye umasikini

Tajiri:- Akipata hela anataka imzalishie hela, hutumia njia ya kuwekeza ili azidi kuwa tajiri.

Huo niliotoa ni mfano tu sijasema anunue bodaboda au nimeandika anunue bodaboda??. Kuna njia nyingi sana tu za kujitoa kimaisha kama mamantilie ana dada saidia unajua kama anapata faida kwa uwekezaji wa dada saidia. Mfano Bakhresa ana wauza ice cream,mikate,juice na maji lakini ana viwanda, boti na apartment.
 
Back
Top Bottom