Niko Nachinja Mbuzi wa Sherehe, wewe umejiandaaaje Ushindi wa Lissu?

mbuzi wa kafara sio gentleman ?🐒
 
Watu wengi dodoma walisafiri mikoa kibao kwenda kusema Ndiyoooo.....usilinganishe na uchaguzi huu unaokidhi viwango vya kimataifa vya credible and fair election
Ugumu wa jambo sio lazima uwe usahihi wa jambo.
Haya ni mazingaombwe kwa kizazi cha Artificial Intelligence.
 
Watu wachache vile wanakesha. Je wakipewa kusimamia uchaguzi mkuu wa taifa?
Si watamaliza mwezi?
Hii inadhihirisha ni kwa namna gani Watanzania hatujali muda, mkutano mkuu wa jana ulikuwa mahsusi kwa ajili ya kuchagua viongozi, lakini mambo yanakuwa lukuki ni nini tafsiri yake? Au ni mbinu za kuwadhoofisha watu wapoteze umakini ili mwisho wa siku meza ipinduliwe?
 
Hilo nalo neno, mkalitazame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…