Niko nasikiliza nyimbo zao bora zilizowatambulisha nimegundua kuna tofauti kubwa mno; Sijui kiliwakumba nini vichwani hawa waimbaji siyo bure

Niko nasikiliza nyimbo zao bora zilizowatambulisha nimegundua kuna tofauti kubwa mno; Sijui kiliwakumba nini vichwani hawa waimbaji siyo bure

Kila zama na kitabu chake, hata hawa akina mond wakipitwa na wakati wajao wataonekana takataka kwa kizazi cha akina mond
 
Ndio maana siku hizi nasikilizaga mabolingo/rhumba za zamani

siku hizi wasanii wanaimba matapishi
 
Inama izame, paka mate itelekeze!

Watoto wanauliza Daddy iteleze nini unakosa cha kujibu!

Mara pap Rose mhando anaonekana anatafta Danga la kizungu mtandaoni hadi unawaza huyu kaona kusubili kubebwa na Mungu akaonje utamu wa Yesu ni shida hadi anataka kubebwa na danga kweli?
Mwanangu aliuliza kuteleza ndo nini? Nkamjibu ni pruuu mpaka maka,
Hakuelewa.
Nkamwabia snail ukimpiga c anatoa machozi sasa akilia anatoa utelezi,
nkaulizwa snail anatoa wapi mate?
Nkamjibu.. kwenye antena zake zile mbili.
 
Mwanangu aliuliza kuteleza ndo nini? Nkamjibu ni pruuu mpaka maka,
Hakuelewa.
Nkamwabia snail ukimpiga c anatoa machozi sasa akilia anatoa utelezi,
nkaulizwa snail anatoa wapi mate?
Nkamjibu.. kwenye antena zake zile mbili.
 
Back
Top Bottom