Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

Nilijenga ukweni nyumba ya kawaida ya rooms tatu na kuikarabati ile ya zamani.
Pia nilisaidia kusomesha wadogo zake mke wangu wote watano, wawili tokea wapo primary na watatu tokea wapo secondary, chuo kikuu wako wawili mmoja SUA na mmoja KCMC na hao watatu wako ufundi wote wapo VETA.
Kwanza wakwe zangu wananipenda hadi kero ukija kwa hawa mashemeji zangu wananiheshimu na kunithamini kama baba yao.
Mkuu tumebarikiwa afya na mali ili tuwe msaada na faraja kwa wahitaji.
 
Ni kweli umaskini ni shida aisee!

Mbaya zaidi huwa kunakuwa na uchawi pia,

Akionekana mwenye neema kidogo atapigwa vita huyo mpaka basi !

Watampiga kila mahala, kila mtu atapigwa lwake.

Umaskini ndani yake kuna matatizo mengine chungu nzima [emoji108]
 
Nimesoma maoni ya wadau na nimejifunza mengi sana!

Mdukuzi unaonekana ni zaidi ya mtu na nusu! Kama umetazama World Cup 1986 mimi ndyo nazaliwa hongera sana kwa kula chumvi.

Lakini je,hujawahi kukutana tena na huyo Binti wa Singida ukatupatia Mrejesho aidha wa majuto au wakuthibitisha kile ulichokifanya kilikuwa ni sahihi kwako.
Asante Chama ,kusema ukweli sina taharifa zake
 
Umasikini huanzia kichwani kwenye fikra
Si kweli kwamba wanaoishi maisha duni hawakuwahi kushika hela maishani mwao,wapo walioshika ila hawakujua wazizungusheje kujitoa hapo walipo zikaisha wakarudi square one
Ongezea, masikini akilini wakishika hela huwa wao ndiyo wao, majigambo, dharau, misifa kama yote[emoji38][emoji38] at the end ela zinaishia kuliwa na wajanja...

Baada ya apo huwa wanatia huruma sana huwezi amini kua ndiyo waleeee waliotesa wakati ule.
Masikini huenda ndio maana mungu ana fight ili waendelee kubaki tu masikini, na matajiri waendelee tu kua matajiri

Hujawahi kua na rafiki ako kapuku, uliyemsaidia, kumpenda na kumuweka karibu, akiwa na mipango tele ya hela na kukushirikisha na ukaona mwana si ndo huyu apa.

Mara paaah kapata tu ela akaanza ku change, ile mipango yote ikayeyuka, akaanza kubadilisha slay queens, kila hotel nyoya tano akataka alale, akaanza kukutenga ingawa hukumkosea lolote na kukusimanga pemebeni akikucheka[emoji38][emoji38][emoji38]??????????

Watu masikini wa fikra wengi wakizishika huwa much know na wabishi sana. Ukiwashauri watakuambia tusipangiane na maneno mengine mengi ya kuudhi.
 
Mkuu mdukuzi, that was a mistake!, kumpata Mwanamke wife materials, thamani yake ni kubwa kuliko fedha zote za dunia hii!. Ulfanya kosa kubwa kumuacha wife materials kwasababu ya umasikini wa kwao!. Mtoa rizki ni Mungu, ungemuoa huyo demu saa hizi ungekuwa kama Mengi au Mo!. Ungemaliza umasikini wao na wewe ungekuwa tajiri mkubwa!. Mke mwema kima chake chapita marijani!.
P
Ahsante kaka Pasco
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni kitu fulani hivi cha kurithi

Wanaume masikini kuachwa ruksa ila wanawake masikini kuacha utaambiwa ni kukufuru Mungu...

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mbinguni moja kwa moja
Dah ww jamaa kama unalaana vile
 
Pascal,
Da umenipa somo kubwa sana .unajua mpaka kufikia maamuzu hayo na mimi niliwahi kutoswa na binti mmoja kwao wako vizuri sana.
Hakusema sababu ila najua aliniona sio level yake .
kuanzia hapo niliathirika kisaikolojia kuhusu msimamo wangu kwenye swala la mahusiano na ndoa.
Nilishuhudia kombe la dunia 1986 lakini mpaka leo sina mke ,japo nina watoto.
Mniombee
Usijali it's never too late to marry!. Kuna wanawake kwao ni masikini, lakini mki blend wanageuka baraka, wana kismati unafanikiwa mpaka unajishangaa!. Ila pia ni kweli kuna wanawake ni nuksi!.
Utawatambuaje... karibu pande hizi Be careful with the person you are sharing your body with! na hizi Agano la damu katika mahusiano ya kimapenzi
P
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni kitu fulani hivi cha kurithi

Wanaume masikini kuachwa ruksa ila wanawake masikini kuacha utaambiwa ni kukufuru Mungu...

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mbinguni moja kwa moja
Umekosea sana
 
Nimekuja kujifunza na kugundua kuwa familia maskini na duni huendelea kuwa hivyo sababu ya uchawi na ushirikina.

Yani akiibuka mwenye Neema kidogo watampiga vita huyo watamroga kila mtu lwake!

Yaani naona wanajisemea moyoni kuwa “sisi tunaganga njaa yeye afurahie maisha kama nani?!

Umaskini ni laana!

I’m sorry to say that!

Laana maana yake ni kutokufanikiwa.

Unakuta mababu na mabibi waliua watu kwa uchawi au wazazi wewe mtoto na mjukuu lazima mta-suffer the consequences.

Mtalipa gharama ni swala la muda tu.
 
Nimekuja kujifunza na kugundua kuwa familia maskini na duni huendelea kuwa hivyo sababu ya uchawi na ushirikina.

Yani akiibuka mwenye Neema kidogo watampiga vita huyo watamroga kila mtu lwake!

Yaani naona wanajisemea moyoni kuwa “sisi tunaganga njaa yeye afurahie maisha kama nani?!

Umaskini ni laana!

I’m humbled to say this!

Laana maana yake ni kutokufanikiwa.

Unakuta mababu na mabibi waliua watu kwa uchawi au wazazi wewe mtoto na mjukuu lazima mta-suffer the consequences.

Mtalipa gharama ni swala la muda tu.
Hii iko wazi mkuu kuna watu wamekuwanasikini babu ya ushirikina kwenye jamii zao
 
Ongezea, masikini akilini wakishika hela huwa wao ndiyo wao, majigambo, dharau, misifa kama yote[emoji38][emoji38] at the end ela zinaishia kuliwa na wajanja...

Baada ya apo huwa wanatia huruma sana huwezi amini kua ndiyo waleeee waliotesa wakati ule.
Masikini huenda ndio maana mungu ana fight ili waendelee kubaki tu masikini, na matajiri waendelee tu kua matajiri

Hujawahi kua na rafiki ako kapuku, uliyemsaidia, kumpenda na kumuweka karibu, akiwa na mipango tele ya hela na kukushirikisha na ukaona mwana si ndo huyu apa.

Mara paaah kapata tu ela akaanza ku change, ile mipango yote ikayeyuka, akaanza kubadilisha slay queens, kila hotel nyoya tano akataka alale, akaanza kukutenga ingawa hukumkosea lolote na kukusimanga pemebeni akikucheka[emoji38][emoji38][emoji38]??????????

Watu masikini wa fikra wengi wakizishika huwa much know na wabishi sana. Ukiwashauri watakuambia tusipangiane na maneno mengine mengi ya kuudhi.
Huo ndio ukweli
 
Nilijenga ukweni nyumba ya kawaida ya rooms tatu na kuikarabati ile ya zamani.
Pia nilisaidia kusomesha wadogo zake mke wangu wote watano, wawili tokea wapo primary na watatu tokea wapo secondary, chuo kikuu wako wawili mmoja SUA na mmoja KCMC na hao watatu wako ufundi wote wapo VETA.
Kwanza wakwe zangu wananipenda hadi kero ukija kwa hawa mashemeji zangu wananiheshimu na kunithamini kama baba yao.
Mkuu tumebarikiwa afya na mali ili tuwe msaada na faraja kwa wahitaji.
Ubarikiwe sana
 
Halafu ubaya wa dhambi ya uchawi ni kule kurithiwa kizazi hata kizazi .

Kwa familia ikishakuwa na uchawi itakuwa hivyo kizazi cha 1-7.

Ni dhambi mbaya sana.

Ndiyo dhambi ambayo Mungu ameruhusu mchawi auliwe asiachwe kuishi.

Mpaka Mungu anaandika itakuwa alikasirika sana !

Mchawi hasa akiwa mwanamke ni mtu mbaya sana hata akiwa mama yako mzazi au ndugu yako wa tumbo moja.
 
Back
Top Bottom