Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni ufala.

Sitaki wanangu wazaliwe kwenye familia yenye laana ya umasikini au ufala.

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mna akili kweli, watoto wa kishua hamuwaoni?
Kweli bro. Bora ulikiambia mzigo mapema
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni ufala.

Sitaki wanangu wazaliwe kwenye familia yenye laana ya umasikini au ufala.

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mna akili kweli, watoto wa kishua hamuwaoni?
Nimejikuta tu nimecheka,
 
Mkuu

Tubu ulimkosea Sana Mungu!

Umaskini wa kwao sio wake yeye Hata kama kwao wangekuwa matajiri sio wake pia!!!

Umaskini wa kwao ni wa WAZAZI wake sio yeye!

Kama ulimpenda ungechukua!

Halafu umaskini sio laana!Wala utajiri sio Baraka ni matokeo ya juhudi za mtu na majaaliwa ya mwenyezi!

So sad!
Mkuu mimi nilizaa na kwao walikua maskini, akawa na kazi lakini akadanganya ujira wake ili nione anapokea kidogo. Hakuwa na mchango wowote kwenye familia, sikumind coz ni majukumu yangu kutumiza. Siku moja akaomba wadogo zake waje, wakaja likizo kwangu.

Bro, alikuwa anawatoa out everyweekend na mwanangu na video za kutosha wakila piza na pochopocho.
Siku ya kuwapeleka stendi katoka na furushi ambalo sijawahi liona ndani, ila walitoka fastafasta hakutaka hata niwaage. Madogo ndo kwanza fomu 2 na 1. Atawasomesha mpaka wafike chuo, halafu mtu anakwambia tujenge tujenge. Leo una hata helanya kula umeshusha mzigo site bado mtu anakuangalia ww mpaka dagaa za mafuta za buku.

Nimemtema kila mtu apambane na hali yake.
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni ufala.

Sitaki wanangu wazaliwe kwenye familia yenye laana ya umasikini au ufala.

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mna akili kweli, watoto wa kishua hamuwaoni?



Uliogopa tuu bure sababu na wewe ni maskini
Au wewe ni mchoyo sana..... hapo ukianza kuwaza pesa zako zitakavyokua zikiwasaidia wakwe moyo ukawaka moto😂😂
 
Hiyo Ni tabia tu ya kupenda kitonga na uoga wa majukumu ambao Ni janga la hiki kizazi.....yaani mwanaume kabisa unajinadi lazima nioe mtoto wa kishua ili iweje wajomba wakuendeshee familia kwa Mali za baba mkwe??Kitawakuta kitu Shauri zenu
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni ufala.

Sitaki wanangu wazaliwe kwenye familia yenye laana ya umasikini au ufala.

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mna akili kweli, watoto wa kishua hamuwaoni?
Au cio mkuu vp ungekuwa wee ndo umetokea huko kweny umaskini just assume ungejisikiaje!!?
 
Uliogopa tuu bure sababu na wewe ni maskini
Au wewe ni mchoyo sana..... hapo ukianza kuwaza pesa zako zitakavyokua zikiwasaidia wakwe moyo ukawaka moto😂😂
Changamoto zilikuwa nyingi sana kwao
 
Hiyo Ni tabia tu ya kupenda kitonga na uoga wa majukumu ambao Ni janga la hiki kizazi.....yaani mwanaume kabisa unajinadi lazima nioe mtoto wa kishua ili iweje wajomba wakuendeshee familia kwa Mali za baba mkwe??Kitawakuta kitu Shauri zenu
Wala siko huko ila trust me mwanamke masikini sana huwezi kutoboa
 
Back
Top Bottom