[emoji23][emoji23][emoji23] hizo dharau sasa, ila tufanye umeshinda maana ushatupongeza[emoji3][emoji3]. Pia shukrani kwa kutambua uepo wetu[emoji109][emoji109]
Wew uje uchukue notesπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uzuri wa hii nyimbo Hussein Kumbe pia alishapitia magumu na kuumwa sana mpaka kuzushiwa kifo ndio akaja na ila nyimbo nachechemea, Sasa kwakuwa hii nyimbo ya ajari ya Tx Moshi Kumbe alishapitia hayo aliimba kwa hisia kali sana.

Huu ni moja wa wimbo bora kabisa wa Msondo ngoma tangu kuanzishwa kwake.
 
Weka number yako ya simu hapa tukutumie hata ya Grand Malt 😊
 
Wanaume tunapambana sana Mungu atubariki ila kwa wanawake ambao hawajui thamani yetu na tunaishi nao kwenye Maisha tuzidi kuwapambania tu ipo siku umuhimu watauona hata kama sio sasa
 
I'm in love with you babee [emoji257]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…