Kuna siku unaamka mfukoni una elfu tatu!!!!Bado hujaacha kodi ya meza,bado hujaacha emergency money home na bado hujui huko uendako itakuaje!!!Lakini ukimuangalia mkeo unaempenda na watoto wako na watu wanaokutegemea unajikuta unapata nguvu ya kwenda kupambamia kombe!!!!Wanasemaga hakuna kama mama ila nilipokua baba nikaelewa uzito wa kubeba majukumu kama mwanaume!!!Who feels it knows it
 

[emoji123]
 
Write your reply... Hongera Sana dada kwa kutuonea huruma.Mungu akubariki Sana.
 
Kwanza pole saana kwa kupoteza mzazi wa kiume.

Pili tunaomba sanamu la posta litolewe uwekwe wewe. 😂

Tatu.
Peponi usiwe mbali na mimi.
 
Asante
Nimeshaomba. Wawek plot mbili kwaajili yngu na Yako😂
Kwanza pole saana kwa kupoteza mzazi wa kiume.

Pili tunaomba sanamu la posta litolewe uwekwe wewe. 😂

Tatu.
Peponi usiwe mbali na mimi.
 
Mungu awabariki wanaume wote watafutaji[emoji120]
Unakuta mtu anachakarika,hapumziki,ili tu familia iwe pazuri.
MUNGU akubariki na abariki wanawake wote wenye subira , imani , heshima na uvumilivu kwa wanaume . Wanaojua changamoto na magum wanayopitia wanaume ili familia ziishi vizuri. Mna nafasi yenu ya pekee maana kwa dunia ya sasa mpo wachache sana[emoji173]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…