Jamani wanawake kama hawa utaachaje kumtumia na ya kutolea sasa..πŸ₯°πŸ€‘
 
Ni kweli na laiti km wote tungeishi Kwa upendo kiasi hiko tungekuwa tunaishi maishamazuri sana
 
Mwaka jana,niliugua sana,ofisi ikanipa mapumziko ya mwezi mzima nijiuguze.Siku naaga ofisini ilikuja barua nahitajika kikazi mkoa fulani..kwa muda wa mwezi mmoja..na kuna pesa nitalipwa..nilihitajika alone.
Nilipata wakati mgumu sana kuamua,hasa nilipoifikiria family yng&afya yangu...
Mwisho niliamua niende hivyo hivyo tu,b'se of family.
It wasn't simple,Mungu alinisaidia.
Nilirudi&pesa iliyokidhi mahitaji ya family members&nyingine
tukatoa sadaka.
 
Umetisha dada japo kwenye mitandao hasa page za mahusiano wanaume ndio tuna makosa Kila siku ila ukweli wanaume hatuongeagi sana Kwa mwanaume anaejitambua anatumia nguvu kubwa Sana kuhakikisha familia yake Iko sawa.
Poleni kwakweli
Lakini tuna thamini sana uwepo wenu

Tusameheane bure pale tunapowatendea ndivo sivo
Maana sanyingine ni kama tunatupiwa jini kisirani kuwavuruga jamani [emoji134]
 
Muda mwingine kiukweli tunazingua mno

Ni muda wa kubadilika na kutambua ni jinsi gani mnahitaji faraja zetu na sio kua chanzo cha kuwapa stress
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…