Nilichojifunza kuhusu wanaume
Mateso ndio uanaume wenyewe huo.
Ukakamavu, subira, maamuzi, mapambano, na hekima.

Mke akizingua hatuna muda wa kumpondea Kwa Watoto au ndani ya jamii.

Wanaume ni ngumu kumpondea MKE au Mama zetu hata kama tunajua amekosea.
Mara nyingi tunatumia neno jumuishi Wanawake kuwaponda wote.

Ila ni ngumu kuwa specific kuwa MKE au Mama yangu ni mshenzi.
Ila Wanawake wanatumia maneno jumuishi na Mahususi kutuponda Wanaume na waume au Baba zao.
Mna uvumilivu sana na tunajua basi tu
 
Siku ukiolewa utadumu kwenye ndoa muda mrefu sana maana umetambua mambo ambayo wenzako hawajatambua, unakuta umetoka kuhangaikia familia unarudi unakutana na kelele za kufokewa bila adabu tena mbele za watu,
Wa hivi huwa hawadumu ndugu.
Kati ya maajabu ya wanaume ni kutopenda wanawake baridi. Wanahisi ni dhaifu na wanaweza kufanywa chochote.
Mara nying huwa wanaambulia kutoachika ila wanapachikwa nyumba ndogo pemben
 
Hujaacha Namba!tukurushie hata ya soda tu!

Wanaume tuna lalamikiwa KWA michepuko au mahawara kwasababu hamjui msoto wa kifkira tuliyonayo!

Kisaikolojia ni kwamba the more you hustle the more addicted to leisure s you become!

Ndio maana wa migodini wanatumia hovyo Sana pesa zao has a wachimbaji wa kule deep Ili kutibu maumivu ya kimwili na kisaikolojia the same KWA WENGINE wengi tunao hustle kuzisaka!!!

SIKU wanawake mkijitambua mtatusaidia kututaftia liwazo la kihisia hata nje ya mahusiano!kama NYUMBA ntobuh za kikurya zamani!


Mawazo huru hayo !I stand to be corrected!
 
Kuna documentary moja ipo youtube mwanamke mmoja feminist kwa majina Norah Vicent alifanya social experiment ya kuishi kama mwanaume kwa muda fulani.

Treatment aliyoipata baada ya hapo tena kutoka kwa wanawake aliamua kujiuwa mwenyewe .

Unaweza kumfuatilia zaidi ili kujifunza mengi aliyoyaona .

All in all si rahisi kuwa mwanaume ndiyo maana tukapewa vifua ili kukabiliana na mambo mazito.
 

Attachments

  • Screenshot_20230125-093048.png
    Screenshot_20230125-093048.png
    132.4 KB · Views: 11
  • Screenshot_20230125-093031.png
    Screenshot_20230125-093031.png
    115.6 KB · Views: 11
Natumaini mko poa,

Nilipoteza baba nikiwa najitambua kiasi nikabaki na mama pekee. Mama alikuwa mchakarikaji sana lakini kuna vitu vilibadilika sana mambo hayakuwa kama yalivo awali.

Maisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha tunaishi vizuri na tunakuwa salama sisi na mama yetu nimejisikia kuwasemea leo.

Kuna wakati wanaume wanapitia mambo mengi magumu kwaajili ya familia zao ama watu wanaowapenda hasa katika utafutaji wa riziki. Kuna walio na kazi za halali, kuna wengine wahatarisha hata maisha yao Ili kuhakikisha mambo yankuwa sawa lakini kitu kizuri ni kwamba sio wasimualiaji wazuri wa mahangaiko na mateso yao wakati wanafnya hayo.

Kuna ambao wanatamani asubuhi isifike kwani kwao ni mateso matupu. Hadi jua linazama ni mwendo wa mahangaiko na ukute kuna waksti hawapati kabisa lakini ndo hivyo waliumbiwa mateso, ni mwendo wa kichwa kupata moto tu.

Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru. Tuwahurumie na tuwaombee japo wana mabaya yao na madhaifu yao walokuwanayo lakini watabaki kuwa ni muhimu kwa ustawi wafamilia zetu.

Kwa mliopo kwenye ndoa mjitahid kuwatia moyo na kuwahurumia pamoja na udhaifu wa waume zenu, lakini inawezekana bila huyo mambo yasingekuwa hivo unavoyaona; pia mkumbuke pia hatma za watoto wenu.

Na sisi wa jumuiya[emoji3] pia tuwaombee na tuwashukuru kwani bila wao tusingeonekana huku mtaani.

Niliowakwaza mtanisamehe, ni hayo tu.
Hauna baya mwanamke shujaa
 
Natumaini mko poa,

Nilipoteza baba nikiwa najitambua kiasi nikabaki na mama pekee. Mama alikuwa mchakarikaji sana lakini kuna vitu vilibadilika sana mambo hayakuwa kama yalivo awali.

Maisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha tunaishi vizuri na tunakuwa salama sisi na mama yetu nimejisikia kuwasemea leo.

Kuna wakati wanaume wanapitia mambo mengi magumu kwaajili ya familia zao ama watu wanaowapenda hasa katika utafutaji wa riziki. Kuna walio na kazi za halali, kuna wengine wahatarisha hata maisha yao Ili kuhakikisha mambo yankuwa sawa lakini kitu kizuri ni kwamba sio wasimualiaji wazuri wa mahangaiko na mateso yao wakati wanafnya hayo.

Kuna ambao wanatamani asubuhi isifike kwani kwao ni mateso matupu. Hadi jua linazama ni mwendo wa mahangaiko na ukute kuna waksti hawapati kabisa lakini ndo hivyo waliumbiwa mateso, ni mwendo wa kichwa kupata moto tu.

Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru. Tuwahurumie na tuwaombee japo wana mabaya yao na madhaifu yao walokuwanayo lakini watabaki kuwa ni muhimu kwa ustawi wafamilia zetu.

Kwa mliopo kwenye ndoa mjitahid kuwatia moyo na kuwahurumia pamoja na udhaifu wa waume zenu, lakini inawezekana bila huyo mambo yasingekuwa hivo unavoyaona; pia mkumbuke pia hatma za watoto wenu.

Na sisi wa jumuiya[emoji3] pia tuwaombee na tuwashukuru kwani bila wao tusingeonekana huku mtaani.

Niliowakwaza mtanisamehe, ni hayo tu.
Huu ni uzi bora wa mwezi.
 
Natumaini mko poa,

Nilipoteza baba nikiwa najitambua kiasi nikabaki na mama pekee. Mama alikuwa mchakarikaji sana lakini kuna vitu vilibadilika sana mambo hayakuwa kama yalivo awali.

Maisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha tunaishi vizuri na tunakuwa salama sisi na mama yetu nimejisikia kuwasemea leo.

Kuna wakati wanaume wanapitia mambo mengi magumu kwaajili ya familia zao ama watu wanaowapenda hasa katika utafutaji wa riziki. Kuna walio na kazi za halali, kuna wengine wahatarisha hata maisha yao Ili kuhakikisha mambo yankuwa sawa lakini kitu kizuri ni kwamba sio wasimualiaji wazuri wa mahangaiko na mateso yao wakati wanafnya hayo.

Kuna ambao wanatamani asubuhi isifike kwani kwao ni mateso matupu. Hadi jua linazama ni mwendo wa mahangaiko na ukute kuna waksti hawapati kabisa lakini ndo hivyo waliumbiwa mateso, ni mwendo wa kichwa kupata moto tu.

Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru. Tuwahurumie na tuwaombee japo wana mabaya yao na madhaifu yao walokuwanayo lakini watabaki kuwa ni muhimu kwa ustawi wafamilia zetu.

Kwa mliopo kwenye ndoa mjitahid kuwatia moyo na kuwahurumia pamoja na udhaifu wa waume zenu, lakini inawezekana bila huyo mambo yasingekuwa hivo unavoyaona; pia mkumbuke pia hatma za watoto wenu.

Na sisi wa jumuiya😀 pia tuwaombee na tuwashukuru kwani bila wao tusingeonekana huku mtaani.

Niliowakwaza mtanisamehe, ni hayo tu.
Asante kwa kutukumbuka. mara nyingi tunakumbukwa tukishaondoka duniani, mambo yakianza kuwaendelea vibaya wale waimba "nani kama mama"....ndipo huanza kuwa na akili ya kumkumbuka baba
 
Back
Top Bottom