Nilichojifunza kuhusu wanaume
MUNGU akubariki na abariki wanawake wote wenye subira , imani , heshima na uvumilivu kwa wanaume . Wanaojua changamoto na magum wanayopitia wanaume ili familia ziishi vizuri. Mna nafasi yenu ya pekee maana kwa dunia ya sasa mpo wachache sana[emoji173]
Hata wanaume wawajibikaji,wanaojali wapo wachache sana.
Amen, Mungu atubariki sote.

Furaha yetu ni kuona mnafanikiwa.


Pia nimejifunza,hakuna mwanaume mkali mbele ya mwanamke mkarimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duniani tumeletwa tutaabike furahia enjoy haina haja ya kukasirika omba dua na kushukru ili uzishike be humble
 
Kuna jamaa yangu mmoja mpiga debe anaishi na mke pamoja na watoto wao watatu..Kipindi mradi wa SGR unaanza aliomba kazi bahati nzuri akapata..Maisha yakaboreka yeye na familia yake.Juzi nakutana nae anadai mabosi wake wamemfukuza kazi anadai mkewe anaona atanyang'anywa mme kisa maisha yamemnyookea,akawa anamfuata kazini anafanya vurugu ili mradi amwalibie tu....Kuna wanawake wengine ni vichaa[emoji144]
 
Kuna jamaa yangu mmoja mpiga debe anaishi na mke pamoja na watoto wao watatu..Kipindi mradi wa SGR unaanza aliomba kazi bahati nzuri akapata..Maisha yakaboreka yeye na familia yake.Juzi nakutana nae anadai mabosi wake wamemfukuza kazi anadai mkewe anaona atanyang'anywa mme kisa maisha yamemnyookea,akawa anamfuata kazini anafanya vurugu ili mradi amwalibie tu....Kuna wanawake wengine ni vichaa[emoji144]
[emoji849]

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku unaamka mfukoni una elfu tatu!!!!Bado hujaacha kodi ya meza,bado hujaacha emergency money home na bado hujui huko uendako itakuaje!!!Lakini ukimuangalia mkeo unaempenda na watoto wako na watu wanaokutegemea unajikuta unapata nguvu ya kwenda kupambamia kombe!!!!Wanasemaga hakuna kama mama ila nilipokua baba nikaelewa uzito wa kubeba majukumu kama mwanaume!!!Who feels it knows it

It not easy kuwa baba
 
Kuna jamaa yangu mmoja mpiga debe anaishi na mke pamoja na watoto wao watatu..Kipindi mradi wa SGR unaanza aliomba kazi bahati nzuri akapata..Maisha yakaboreka yeye na familia yake.Juzi nakutana nae anadai mabosi wake wamemfukuza kazi anadai mkewe anaona atanyang'anywa mme kisa maisha yamemnyookea,akawa anamfuata kazini anafanya vurugu ili mradi amwalibie tu....Kuna wanawake wengine ni vichaa[emoji144]
Kwakweli huyo mwanamke ni kichaa aise

Anahitaji mtu amfunde abadili mindset yake!

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Natumaini mko poa,

Nilipoteza baba nikiwa najitambua kiasi nikabaki na mama pekee. Mama alikuwa mchakarikaji sana lakini kuna vitu vilibadilika sana mambo hayakuwa kama yalivyo awali.

Maisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha tunaishi vizuri na tunakuwa salama sisi na mama yetu nimejisikia kuwasemea leo.

Kuna wakati wanaume wanapitia mambo mengi magumu kwaajili ya familia zao ama watu wanaowapenda hasa katika utafutaji wa riziki. Kuna walio na kazi za halali, kuna wengine wahatarisha hata maisha yao Ili kuhakikisha mambo yanakuwa sawa lakini kitu kizuri ni kwamba sio wasimualiaji wazuri wa mahangaiko na mateso yao wakati wanafanya hayo.

Kuna ambao wanatamani asubuhi isifike kwani kwao ni mateso matupu. Hadi jua linazama ni mwendo wa mahangaiko na ukute kuna wakati hawapati kabisa lakini ndo hivyo waliumbiwa mateso, ni mwendo wa kichwa kupata moto tu.

Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru. Tuwahurumie na tuwaombee japo wana mabaya yao na madhaifu yao walokuwanayo lakini watabaki kuwa ni muhimu kwa ustawi wafamilia zetu.

Kwa mliopo kwenye ndoa mjitahidi kuwatia moyo na kuwahurumia pamoja na udhaifu wa waume zenu, lakini inawezekana bila huyo mambo yasingekuwa hivyo unavyoyaona; pia mkumbuke pia hatma za watoto wenu.

Na sisi wa jumuiya[emoji3] pia tuwaombee na tuwashukuru kwani bila wao tusingeonekana huku mtaani.

Niliowakwaza mtanisamehe, ni hayo tu.
Mungu aliweka roho ya huruma na upambanaji kwetu sisi wanaume mungu ndo mlinzi wa vita vyetu tunavyokutana navyo kwenye kutafuta ridhik
 
Siku ukiolewa utadumu kwenye ndoa muda mrefu sana maana umetambua mambo ambayo wenzako hawajatambua, unakuta umetoka kuhangaikia familia unarudi unakutana na kelele za kufokewa bila adabu tena mbele za watu.
Nilishajiwekea sheria Toka kitambo ,mwanamke ambaye atakuwa kikwazo Cha furaha yangu huyo hanifai kabisa hela zinichanganyanye na mtu anichanganye kwangu huyo ni red card najal afya yangu ya akili
 
kuna mmoja jamaa ake alikuwa akimpa hela kanunue nguo uvae upendeze mke wangu, alivyovaa akapendeza akaanza kuleta dharau kwa jamaa, mwamba akaona sio shida tumwagane, bibie akaanza kudai tugawane vitu tumechuma wote jamaa kamwambia haina haja ya kugawana we unachoona unakitaka kibebe hata ukitaka chumba chote, bibie akabeba alivojisikia kubeba akasepa, haikuchukua miezi mitatu aisee alivisukuma vile vitu kimoja kimoja hatimae akarudi kwa msela kuomba msamaha, msela kamwambia tulikuwa
tumepambana chumba kimejaa kwa ujinga wako saa hz ndo kama naanza maisha alafu unarudi mikono mitupu, we nenda tu. Alirudi kwao mbeya yule dada baada ya maisha kumpiga sana kila anachoshika ni kama kinaparaganyika
Hakuna awezaye kuzivaaa nafas zetu zikamfit
 
Mtu aliwahi kuona post yenye likes nyingi kuliko post namba moja kwenye hii thread atuonyeshe hapa
 
Back
Top Bottom