Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Mtumishi hawezi kufanya savings from sources zake za income? hawezi kukopa bank na kuanzisha biashara?
Ndio maana nakuambia wewe ni mpumbavu mkubwa.Kwa iyo alitafutajwe?
Unajua modality yq uwekezaji kwenye Gesi ikoje? Unadhani wale wawekezaji walikujaje?
Acha maneno jibu swaliNdio maana nakuambia wewe ni mpumbavu mkubwa.
Unataka tuongee kama watoto hapa? Alafu mm ni pro government kuanzia utawala wa mkapa, jk, Magufuli na sasa samia. Usitake nianze kusema nn kilitokea kwa waziri wa mambo ya ndani, katibu, na huyo mwekezaji.
Au nikuulize DP world kapatikanaje kuchukua nafasi ya ticts pale bandarini?
Nimetembea na kukaa nchi 16 duniani. Hakuna aliyesema kuhusu mazingira thread inazungumzia uwezo wa kiuchumi wa watu wanaopewa nafasi za kuongozaYani Umeandika kiupumbafu sana. Umeichukua marekani ukaipeleka kenya na kuona mazingira yao wote Sawa. Ni UJINGA MKUBWA. Kenya ukabila kwanza. Mengine ardhi kwa wachache. Uwe unatembea kidogo kuweza kuappriciate ulichonacho.
Swali gani nijibu wewe mpumbavu? Huelewi hao watu wanapatikana vipi?Acha maneno jibu swali
Kwa hiyo saizi hamutaki wanyonge si ndio?Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia
Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!
Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.
Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.
Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.
Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.
Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.
🤣🤣🤣kazi kweliKuna tofauti kati ya kupambana ku-build wealth na kuiba, Matajiri wa Tanzania ni wezi, tajiri aliyepambana alikuwa Mengi tu, wengine wote wezi!
Hili ndilo jambo la muhimu"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia
Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!
Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.
Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.
Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.
Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.
Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.
Mnyonge atakufikisha wapi wewe?Kwa hiyo saizi hamutaki wanyonge si ndio?
Tanzania Kuna viongozi,Kenya kuna Watawala.
Nimekuona huna hoja kumbeSwali gani nijibu wewe mpumbavu? Huelewi hao watu wanapatikana vipi?
Mazuri yanaigwa! kuanzia sasa tunaanzisha kampeni masikini tafuteni kwanza pesa tujue mnawezaje kutumia vipawa vyenu katika kujitafutia pesa na kutengeneza maendeleo yenu ikiwemo kuanzisha strong business zinazolipa kodi na kwenda vizuriIgakunya kwa tembo uchane tak*** ufe
Wewe ni mpumbavu uliyepitiliza, si nimekuambia hapi sio lazima kila mwekezaji apatikane kwa tender na nimekutolea mifano.Nimekuona huna hoja kumbe
Usiku mwema
Wewe ndio maana tunakuita mpumbavu. Hebu taja kiongozi ambaye ni maskini hapa TanzaniaMazuri yanaigwa! kuanzia sasa tunaanzisha kampeni masikini tafuteni kwanza pesa tujue mnawezaje kutumia vipawa vyenu katika kujitafutia pesa na kutengeneza maendeleo yenu ikiwemo kuanzisha strong business zinazolipa kodi na kwenda vizuri
Tunaanza kuchunguza hadi kama mna nyumba nzuri na za kisasa maana ndo mana kila leo nchi yetu inazidi kujaa squatters na ujenzi holela wa hovyo maana tunawapa uongozi watu ambao hawana hata nyumba nzuri na bora zilizojengwa maeneo mazuri yaliyopimwa hivyo hawaoni hata umuhimu wa ujenzi wa mpangilio na wa kisasa
It's simple and clear mtu asiye na maendeleo binafsi hawezi kukuletea wewe maendeleo
Vice versa is true!Wewe ni mpumbavu uliyepitiliza, si nimekuambia hapi sio lazima kila mwekezaji apatikane kwa tender na nimekutolea mifano.
Wewe nimeshamalizana na wewe kajitibie huo msongo wa mawazo unaokusumbuaWewe ndio maana tunakuita mpumbavu. Hebu taja kiongozi ambaye ni maskini hapa Tanzania