Nilichojifunza Uchaguzi wa Kenya: Tuwape nafasi Matajiri na Watafutaji

Nilichojifunza Uchaguzi wa Kenya: Tuwape nafasi Matajiri na Watafutaji

Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia

Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!

Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.

Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.

Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.

Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.

Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.
Niliongea hili kitambo sana ni kweli tuwape uongozi watu waliokwisha kufanikiwa katiba business kama tunataka maendeleo la sivyo tusilaumiane.
 
Niliongea hili kitambo sana ni kweli tuwape uongozi watu waliokwisha kufanikiwa katiba business kama tunataka maendeleo la sivyo tusilaumiane.
Ingawa nimechelewa sana kuliona hili sasa naliunga mkono kwa asilimia 100
 
Kenya ni Mabepari Hilo Haina ubishi.

Hata Marekani na ulaya ni Mabepari, hawana tatizo na TAJIRI kugombea ikiwa tu, atakuwa Hana DOA ktk utajiri wake, awe clean kulipa MAPATO na KODI.

Huku kwetu hatujui ikiwa tu WAJAMAA au Mabepari.

Matajiri wa huku ni WAKWEPA Kodi, wanatumia pesa walizopata kupitia kukwepa Kodi kununua wapiga kura.

Hivyo ktk muktadha huo lazima matajiri wachukiwe sababu utajiri wao Si halali, mfano wanaotupandishia Bei za mafuta ktk biashara zao za mafuta ndo wabunge wetu na mawaziri.

Ni kheri achaguliwe msomi, asiye na kitu awe kiongozi, KATIBA mpya na Sheria nzuri zimdhibiti.

Ameeeen
Nchi zilizoendelea hawahitaji Viongozi Maskini.Wameshaona madhara yake
 
Nchi zilizoendelea hawahitaji Viongozi Maskini.Wameshaona madhara yake
Nchini kwetu MATAJIRI ni asilimia ngapi ktk umma wa Watanzania?

Nitajie matajiri 10 tu hapa kwetu wenye uwezo wa kugombea urais, ambao UTAJIRI wao hautiliwi shaka.
Ameen.
 
Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia

Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!

Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.

Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.

Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.

Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.

Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.
Kwani vigezo vya mtu kugombea urais Kenya ni vipi hivyo?
 
Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia

Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!

Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.

Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.

Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.

Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.

Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.
Hakuna umaskini mbaya Kama umasikini wa mawazo . Wewe mtoa mada na wote walio kuunga mkono kwenye hili ulilo andika mna umasikini mkubwa sana wa mawazo.
DazPT-SW0AA0YHf.jpg
 
Acha kudhalilisha jina la Den Xiaoping

Kama mtu kashindwa kujiletea maendeleo binafsi atawezaje kukuletea maendeleo wewe?
Wewe ni mpumbavu na wote walio kuunga mkono ni wapumbavu Kama wewe.
-Wakati comrade Deng Xiaoping anafanya economic reform China yeye alikuwa na utajiri gani? Wakati Jiang zimen anachukua hatamu baada ya Deng kuongoza yeye alikuwa na utajiri gani? Wakati Hu Jintao anachukua urais baada ya comrade Jiang zimen kumaliza muda wake na yeye Hu Jintao kuifanya China kuwa taifa namba mbili kiuchumi Duniani yeye alikuwa na utajiri gani? Wakati Xi Jinping anachukua urais na kuendelea kuufanya uchumi wa china kukua kwa kasi zaidi ana utajiri gani?
 
Huyo bilionea uchwara aliyeachana na siasa uchwara kama hujui ndo muanzilishi wa mfumo wa bima ya afya ambapo serikali ya mkapa walicopy kutoka kwake na hadi leo watumishi wa umma wanautumia na kufaidika nao. Alianzisha mfumo huu jimboni kwake igunga mwaka 1995

Pia ndo amejenga kituo cha polisi kizuri zaidi Tanzania cha Oysterbay ambacho wanigeria wanakijadili uzuri wake kulinganisha na vituo vyao vya polisi

1660245764724.png

Polisi Makao Makuu jengo lao la muda lina mwonekano bora sana kuliko "msaada" wa fedha za ma-deal za huyo anaesemwa kujenga Oyesterbay.

1660246026007.png

Soko la kisutu lilisimamiwa na Watanzania lina mwonekano mzuri kwa hadhi kuliko kilichojengwa Oyesterbay.

1660246156632.png

Makazi waliyojengewa makabwela kwa kodi zetu yana mwonekano mzuri unaovutia kuliko tajiri mpiga deal.

Sio kila tajiri ana nia njema na Watanzania kama inavyodhaniwa.

Kupanga ni kuchagua, sio kila tajiri ana akili na uwezo wa uongozi kwa maslahi mapana ya Taifa.
 
Ili kuongeza uwajibikaji na utendaji uliotukuka napendekeza iwe hivi
1.Sifa ya mtu kuchaguliwa kuwa m/KITI wa mtaa/Kijiji awe ameishi hapa angalau MIAKA mitano na akaunti yake iwe inasoma laki 5+
2.Kuchaguliwa kuwa diwani mtu huyo awe ameishi kwa mika7+ katika kata husika na awe amewahi kushika madaraja ya m/kiti wa mtaa/Kijiji na akaunti isome ml 2+
3.Kuchaguliwa ubunge mtu awe ameishi Jimbo husika kwa MIAKA 10+ na awe amewahi kushika madaraka ya udiwani wa kuchaguliwa kwa awamu angalau 1 na akaunti isome ml 10+
Wabunge wetu huishi huko kipindi Cha kuchukua fomu watu hutoka mjini na kuja kugombea hata wanacho kugombea hawakijui
 
Wewe ni mpumbavu na wote walio kuunga mkono ni wapumbavu Kama wewe.
-Wakati comrade Deng Xiaoping anafanya economic reform China yeye alikuwa na utajiri gani? Wakati Jiang zimen anachukua hatamu baada ya Deng kuongoza yeye alikuwa na utajiri gani? Wakati Hu Jintao anachukua urais baada ya comrade Jiang zimen kumaliza muda wake na yeye Hu Jintao kuifanya China kuwa taifa namba mbili kiuchumi Duniani yeye alikuwa na utajiri gani? Wakati Xi Jinping anachukua urais na kuendelea kuufanya uchumi wa china kukua kwa kasi zaidi ana utajiri gani?
Den Xiaoping alipelekwa kusoma ulaya akakaa na matajiri akajifunza kwa matajiri wanavyoenenda na kufanya. Ndo mana aliporudi China alirudi na mindset ya kitajiri kuwa it doesn't matter if a cat is white or black as long as it catches a mice it's a good cat!

Tanzania hakunq maskini mwenye akili za kitajiri
 
View attachment 2321236
Polisi Makao Makuu jengo lao la muda lina mwonekano bora sana kuliko "msaada" wa fedha za ma-deal za huyo anaesemwa kujenga Oyesterbay.

View attachment 2321240
Soko la kisutu lilisimamiwa na Watanzania lina mwonekano mzuri kwa hadhi kuliko kilichojengwa Oyesterbay.

View attachment 2321242
Makazi waliyojengewa makabwela kwa kodi zetu yana mwonekano mzuri unaovutia kuliko tajiri mpiga deal.

Sio kila tajiri ana nia njema na Watanzania kama inavyodhaniwa.

Kupanga ni kuchagua, sio kila tajiri ana akili na uwezo wa uongozi kwa maslahi mapana ya Taifa.
Jengo la UVCCM liliejengwa kwa influence ya Lowassa tajiri. Soko la kisutu like chini ya halmashauri ya Jiji la Dar tena diwani wake wa mjini pale kisutu nadhani unamfahamu anavyojiweza kiuchumi

Hilo jengo la Makao Makuu ya Polisi na Kituo cha Oysterbay lipi jengo zuri?
 
Huyu jamaa ni kilaza ila anapost mada nyingi sana hivyo zinaonekana zina tija kumbe ni empty set.
Huwezi kuelewa mada zilizokuzidi uwezo! We endelea na mambo ya Chato na Gambosh ndo saizi yako
 
Jengo la UVCCM liliejengwa kwa influence ya Lowassa tajiri. Soko la kisutu like chini ya halmashauri ya Jiji la Dar tena diwani wake wa mjini pale kisutu nadhani unamfahamu anavyojiweza kiuchumi

Hilo jengo la Makao Makuu ya Polisi na Kituo cha Oysterbay lipi jengo zuri?
Lowasa ndie aliyeleta wazo na kujenga shule za kata angalau na kayumba wapate shule
 
Back
Top Bottom