Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sasa nimekubali ni kweli huna akili kama unavyodai.Nimekuuliza swali ila umejibu mambo mengine ambayo hayahusiani!Sitakusingizia tena kuwa una akili.Hizi data zinazokupa hii conclusion ya kumhakikishia mtu mtoto wake atakua zigo na atajuta umetoa wapi ewe msomi uliyetukuka?
mkuu unakwma wapi mbn hawa viumbe wametapakaa kila kona , ila hata hivy kwa watoto wa kigogo sikushaur mana ni Break p*mbu tu ndio utaambuliaUsinifanyie hivyo mi jirani yako ujue
😄😄😄😄! AmenOohh halleluyaah nami ni muhanga wa jinsia nina watatu wa kiume nawish Mungu asikie kilio changu wa4 awe dada wa vijana wangu
Mungu nikumbuke nami kama ulivyomkumbuka kaka huyu [emoji120]
.................Kama wewe ulivyo mzigo kwa wazazi wako,halafu nashangaa kwa post ya kipuuzi kama hii wapo members ninaowaheshimu sana humu wamei-like,like buttons sijui zinatumikaje humu najiuliza au ni kikundi cha watu kinaamua tu kumkubali mtu hata kwa ujinga wake basi wanaona japo kaandika ujinga ngoja ni-like aone nimekubaliana naye huku moyoni wakipinga?Nakuhakikishia kuwa huyo mtoto wa kiume anakuja kuwa zigo na utajuta kumzaa!
Unataka wa kike shemu?Bora kuzaa watoto wakike kuliko wakiume..navyoonaga mimi lakini...una raha umemix sie wengine nyumba nzima wanawake ni ww na bek 3[emoji19]!
Hongera
BalaaUnataka wa kike shemu?
Nikupe siri?Balaa
Nipe mkuu...niliambiwa uzito mkubwa sijui .khaNikupe siri?
Oooh watu wa singida ni special case katika hiliHii ni Tz nzima, nina sista wangu anafundisha shule ya sekondari huko Singida anasema watoto huko ni amsha popo kila siku kesi tu mara huyu kakutwa na yule huyu sijui kafumaniwa wapi huko huyu mara ana mimba mpk hivi juzi kati kuna mtoto wa form 2 aliwatamkia kabisa walimu wake kwamba yeye huo mchezo kaanz tokea la saba na mpk sasa hawezi tena kukaa bila kuufanya, tena hawa watoto ni waongo balaaa kama hujui kuwahoji kwa technic watakupiga chenga ya mwili mzima mana sista anakwambia jinsi wanvyowahoji mpk waje kukubali hizo kesi zao inabidi tu usiwe na kichwa chepesi ndio utawaweza lasivyo utadanganyika tu na utaona kama kweli wanasingiziwa. Au kama vip ww jaribu kwenda shule yoyote Tz hii yenye wasichana ukaongee na mwalimu wa nidhamu ili akuhadithie mabalaa ya wanafunzi kama hujajishika kichwa basi utakua na robo ngumu. Mkuu hii dunia siku hzi imevaa kaptula
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Uzito na mbegu za kurutubisha yai litoe ke wapi na wapi?Nipe mkuu...niliambiwa uzito mkubwa sijui .kha
Tuombe Mungu asije akawa bwabwa....Nakuhakikishia kuwa huyo mtoto wa kiume anakuja kuwa zigo na utajuta kumzaa!
Like wakati mwingine ni kuonyesha umeona post.................Kama wewe ulivyo mzigo kwa wazazi wako,halafu nashangaa kwa post ya kipuuzi kama hii wapo members ninaowaheshimu sana humu wamei-like,like buttons sijui zinatumikaje humu najiuliza au ni kikundi cha watu kinaamua tu kumkubali mtu hata kwa ujinga wake basi wanaona japo kaandika ujinga ngoja ni-like aone nimekubaliana naye huku moyoni wakipinga?
Rubbish!!!
Hakuna Mtoto Mzigo, Tatizo ni wazazi wasio jua kulea, na wasio na plan na watoto wao, wanaachia holela mitaaniNakuhakikishia kuwa huyo mtoto wa kiume anakuja kuwa zigo na utajuta kumzaa!
Means ukiwa umeadd weight eti chances za kupata dume ni kubwaUzito na mbegu za kurutubisha yai litoe ke wapi na wapi?
😂 Sawa nguli wa kukusanya dataSasa nimekubali ni kweli huna akili kama unavyodai.Nimekuuliza swali ila umejibu mambo mengine ambayo hayahusiani!Sitakusingizia tena kuwa una akili.
Kuna vibonge wan majike matupu shemuMeans ukiwa umeadd weight eti chances za kupata dume ni kubwa
Haya nipe njia hiyoKuna vibonge wan majike matupu shemu
Oyaah😀Huyo mtoto wa kiume sio wako.
Jamaa angepata nafasi ya juu kama aliyowahi kuipitia Obama, naamini asingekubali kubakia na wale watoto wawili wa kike!Hivi mpaka leo kuna wazazi wana mambo ya kuchagua gender mtoto gani Mungu awabariki? Ni ufala wa kiwango cha juu,
Sent using Jamii Forums mobile app