Nilikuwa mfuasi wa Trump Kwa Muda Mrefu sana Ila Kwa Hili la Kusitisha Misaada na Ruzuku upande wa Afya Sikubaliani nalo, amekosea sana

Nilikuwa mfuasi wa Trump Kwa Muda Mrefu sana Ila Kwa Hili la Kusitisha Misaada na Ruzuku upande wa Afya Sikubaliani nalo, amekosea sana

Unaweza kutuelezea hilo la Marekani kujitoa kwenye misaada linahusianaje na China?

China ni nchi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani, anamfuatia Mmarekani. Marekani ilikuwa inatoa usd.bilioni 65 kwa mwaka katika kutoa misaada ikifuatiwa na EU bilioni 38, tulitarajia China izibe gap la Mmarekani katika kipindi hiki
 
Nchi za Afrika Zote haziwezi kutoboa kwa Disease Burden Iliyopo Ngoja Twende statistically..

  • Riport ya mwaka jana Tanzania Kwa sasa Ina WAVIU- 1.7Milion na waviu wanaotumia ARV ni 1.4 Milion
  • Waliokuwa wana Ugonjwa wa Malaria walikuwa ni zaidi ya Milion 1
  • Watoto waliopatiwa Chanjo ni zaidi ya Milion 1
  • Watu waliotumia Njia za Uzazi wa Mpango ni zaidi ya Milions
  • Wagonjwa wa TB kwa mwaka Jana walikuwa zaidi ya Laki mbili
Hakuna Nchi narudia tena Hakuna nchi wala Chama Kinachoweza Kubeba Hiyo burden Bila Kuhitaji Msaada..
unajua Chanjo moja ni Bei gani? Unajua ARV Drugs Ni Tsh ngapi Kopo Moja? Unajua Uzazi wa Mpango Hata Kidonge tu Circle mpja Ni Tsh ngapi??
Lakini serikali yenu inaendeleza Matumizi ya Anasa kila uchao.
 
Kwani wao wanahusikaje kwenye hilo hayo ni masula ya ndani ya taifa la Marekani sasa China na Russia yanawahusuje?

Unataka Russia na China waingile internal affairs na policies za sovereign state Marekani?

Always China never meddles in other countries’ domestic affairs. Hiyo nii miongoni mwa foreign policies zao
Kiongozi kinachoongelewa hapa ni nchi za China na Russia kuziba gap ya misaada ambayo Mmarekani amesitisha kutoa katika jamii zenye uhitaji. Hii ni kwa kuzingatia position zao kiuchumi. Haina maana ya kuishinikiza Marekani in any way.
 
Kama tunacheza ngoma ya chizi na sisi akina nani? Tukubali ,tukatae nchi zetu za Afrika zimejisahau sàna. Na kuna mtego wa GMO, tukiuingia ndio tumekwisha. Tahadhari nyingi zimetolewa lkn mwisho wa siku viongozi wetu watajaa na kuruhusu matumizi ya mbegu za GMO. kumbuka ukivuna mhindi wa GMO huwezi kupukuchua ukapanda uote ni lazima ununue mbegu kutoka kwao.
mkuu hizi mbegu ndio tunazotumia saivi sehem nyingi wanazolima mahindi mbegu izo ndio zinazotumika tumeshaachana na mbegu asili
 
China ni nchi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani, anamfuatia Mmarekani. Marekani ilikuwa inatoa usd.bilioni 65 kwa mwaka katika kutoa misaada ikifuatiwa na EU bilioni 38, tulitarajia China izibe gap la Mmarekani katika kipindi hiki
Kiongozi kinachoongelewa hapa ni nchi za China na Russia kuziba gap ya misaada ambayo Mmarekani amesitisha kutoa katika jamii zenye uhitaji. Hii ni kwa kuzingatia position zao kiuchumi. Haina maana ya kuishinikiza Marekani in any way.
Hivi huwa mnafikiri Marekani ndiyo donor pekee wa U.N?

Katika bajeti ya mashirika ya U.N baada ya Marekani inayofuata ni China kwa kuchangia bajeti kubwa

Kwenye kila msaada unaopata kupitia mashirika ya U.N ujue kuwa China ameshakuchangia

Top 10 UN budget contributors:

🇺🇲USA (22.89%)
🇨🇳China (17.21%)
🇯🇵Japan (8.56%)
🇩🇪Germany (6.09%)
🇬🇧UK (5.79%)
🇫🇷France (5.61%)
🇮🇹Italy (3.30%)
🇷🇺Russian (3.04%)
🇨🇦Canada (2.73%)
🇰🇷South Korea (2.26%)

Halafu unataka kuifananisha China na hao E.U

Yaani Marekani hata ijitoe U.N hakuna kitakachosimama duniani
 
Sasa Point Yako nimeielewa Tatizo linakuja kuwa tangu tuingie kwenye capitalist kutoka kwenye Ujamaa Hatukwahi kufundishea jinsi ya Kuishi kama Capitalist country..
For 60+ years hatujajifunza? Sasa tunataka nani atufundishe? Wenda mabeberu yanatulazimisha kujifunza baada ya kusitisha misaada!
 
Siku ya Januari 20, 2025, Rais wa Marekani Donald Trump alisaini agizo la rais (executive order) lililosimamisha kwa muda wa siku 90 utoaji wa misaada nje ya Nchi, ikiwemo programu muhimu za afya kama Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na UKIMWI. "President's Emergency Plan for AIDS Relief " (PEPFAR).

Kusitisha Huku Progran Hizo kutaathiti Dawa za Virusi vya UKIMWI (ARV), Dawa za kifua kikuu (TB), na Dawa za malaria na Dawa za Uzazi wa Mpango..

Ukiachana na Kuathiri Upatikanaji wa Dawa Taarifa ya USAID kuhusu Kupunguza kusitisha Misaada ya Viti hivyo Kumeanza Kuleta Effect kwa Baadhi ya NGOs Mashirika Mengi..

Yanayohusika na Utoaji wa Dawa za ARV,Kifua kukuu na Ukoma,Uzazi wa Mpango,na malaria yameanza Kuyumba na wote wameanza Kutoa Notice kwa wafanyakazi wao kusubiri na Kuangalia kama Marekani itarudisha Panga kwenye ala bhasi watarudi kazini...

Takribani Wafanyakazi wa Mashirika Tanzania 2900s Wanaenda Kupoteza Kazi kutokana Na upuuzi na Ego ya Trump..

Poleni Afya, Poleni Wafanyakazj wenzangu na Mostly Poleni wagonjwa ambao mnaenda Kuathiriki kwa Order hii Isiyo na Mashiko..
_____________________________________

Waafrika Tujitegemee:
Uhuru kenyata

View: https://youtu.be/wYpSNxTxXE0

Tusaidie basi uchukue nafasi ya USG
 
Sema wewe mkuu,acha awanyooshe kkenge hawa
Kuna wengine walimpigia kura, sasa hivi anawa deport ndugu zao.

Mimi nasema "served them right".

Nyerere alisema ukiushika moto utaungua tu, hiyo ni kanuni ya asili.
 
Siku ya Januari 20, 2025, Rais wa Marekani Donald Trump alisaini agizo la rais (executive order) lililosimamisha kwa muda wa siku 90 utoaji wa misaada nje ya Nchi, ikiwemo programu muhimu za afya kama Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na UKIMWI. "President's Emergency Plan for AIDS Relief " (PEPFAR).

Kusitisha Huku Progran Hizo kutaathiti Dawa za Virusi vya UKIMWI (ARV), Dawa za kifua kikuu (TB), na Dawa za malaria na Dawa za Uzazi wa Mpango..

Ukiachana na Kuathiri Upatikanaji wa Dawa Taarifa ya USAID kuhusu Kupunguza kusitisha Misaada ya Viti hivyo Kumeanza Kuleta Effect kwa Baadhi ya NGOs Mashirika Mengi..

Yanayohusika na Utoaji wa Dawa za ARV,Kifua kukuu na Ukoma,Uzazi wa Mpango,na malaria yameanza Kuyumba na wote wameanza Kutoa Notice kwa wafanyakazi wao kusubiri na Kuangalia kama Marekani itarudisha Panga kwenye ala bhasi watarudi kazini...

Takribani Wafanyakazi wa Mashirika Tanzania 2900s Wanaenda Kupoteza Kazi kutokana Na upuuzi na Ego ya Trump..

Poleni Afya, Poleni Wafanyakazj wenzangu na Mostly Poleni wagonjwa ambao mnaenda Kuathiriki kwa Order hii Isiyo na Mashiko..
_____________________________________

Waafrika Tujitegemee:
Uhuru kenyata

View: https://youtu.be/wYpSNxTxXE0

Umeongea utumbo tupu we jamaa.

Chakupewa hakidumu.
 
unajua Chanjo moja ni Bei gani? Unajua ARV Drugs Ni Tsh ngapi Kopo Moja?
Walishauza technology ya kutengeneza kila kinachohusiana na arv.. Kenya Wana kiwanda cha kutengeneza Arv,,India wanacho pia,,ni Hii Tanzania imechelewa kutengeneza ama Kwa kusudi ama Kwa kupuuza au kutokana na akili finyu ya utegemezi...

Unajua Uzazi wa Mpango Hata Kidonge tu Circle mpja Ni Tsh ngapi??
Kutokana na side effects za uzazi WA mpango WA sindano ama vidonge nadhani kila anaependa afya nzuri Kwa mabint na wanawake wote wa kitanzania angemshukuru Sana Sir Donald J Trump.
 
Siku ya Januari 20, 2025, Rais wa Marekani Donald Trump alisaini agizo la rais (executive order) lililosimamisha kwa muda wa siku 90 utoaji wa misaada nje ya Nchi, ikiwemo programu muhimu za afya kama Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na UKIMWI. "President's Emergency Plan for AIDS Relief " (PEPFAR).

Kusitisha Huku Progran Hizo kutaathiti Dawa za Virusi vya UKIMWI (ARV), Dawa za kifua kikuu (TB), na Dawa za malaria na Dawa za Uzazi wa Mpango..

Ukiachana na Kuathiri Upatikanaji wa Dawa Taarifa ya USAID kuhusu Kupunguza kusitisha Misaada ya Viti hivyo Kumeanza Kuleta Effect kwa Baadhi ya NGOs Mashirika Mengi..

Yanayohusika na Utoaji wa Dawa za ARV,Kifua kukuu na Ukoma,Uzazi wa Mpango,na malaria yameanza Kuyumba na wote wameanza Kutoa Notice kwa wafanyakazi wao kusubiri na Kuangalia kama Marekani itarudisha Panga kwenye ala bhasi watarudi kazini...

Takribani Wafanyakazi wa Mashirika Tanzania 2900s Wanaenda Kupoteza Kazi kutokana Na upuuzi na Ego ya Trump..

Poleni Afya, Poleni Wafanyakazj wenzangu na Mostly Poleni wagonjwa ambao mnaenda Kuathiriki kwa Order hii Isiyo na Mashiko..
_____________________________________

Waafrika Tujitegemee:
Uhuru kenyata

View: https://youtu.be/wYpSNxTxXE0

Dr mm niwe out of mada.

Kama tungesanuka mapema tungekuwa na watu special wa utaftit na kutafta cure sio kutibu magonjwa kwa kwa maelekezo kutoka wHO n stg

Daktar kama ww unatakiw mpk sahv angalau ushagundua dawa ya ugonjw flan ila sio kufuata msaafu (stg) unavyosema lazima kujiuliza kwan hzo dawa ndo only option zinzo tibu tu , hakuna nyingine? Au ni mpango wa viwanda ( Big Pham) kutuweka kwenye Matrix tusiwaze out of the box.

Ushawahi mtibu mmasai hospitalin? Kama jibu ni No basi kuna dawa zao wanazotumia pia ni effctive au wame develop natural immnity ambayo ina nguvu kisa life style wanayoishi

Kuna wale watalaam wa kuunga mifupa
kwa njia ya kienyeji nao njia ya ipo effective kwa asilimia zake ila tu ni vichwa vimefungwa tuamini kua njia walizo andika wazungu kwenye vitabu ndo only option.

Mtaala mzima wa afya kauandaa Rockefeller na alihakikisha dawa zte ziwe zinatoka kwenye kiwanda chake na kupiga vita kubwa natural plant herbs kama mitishamba kutumika katika kutibu.

Usikute hio HIV inatibika na mimea/ herbs ila tumefunga vichwa kuwa ni dawa zinazotoka nje ndo zinauwezo wa kutibu kama walivyo andika kweny vitabu vyao

Tatizo dunia inakosa watu wavumbuzi wanaoweza kuleta innovation kwani watu wengi wanaishi ndani ya Matrix na uwezo wa ku think beyond umeshuka.

Yangu ni hayo. Tujaribu ku think out of the box, ku question vitu ili tuweze ku escape matrix.
DR Mambo Jambo


View: https://www.instagram.com/reel/DEeZ4l6pasC/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==


View: https://www.instagram.com/reel/DFZnGfYIvO9/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
 
Walishauza technology ya kutengeneza kila kinachohusiana na arv.. Kenya Wana kiwanda cha kutengeneza Arv,,India wanacho pia,,ni Hii Tanzania imechelewa kutengeneza ama Kwa kusudi ama Kwa kupuuza au kutokana na akili finyu ya utegemezi...


Kutokana na side effects za uzazi WA mpango WA sindano ama vidonge nadhani kila anaependa afya nzuri Kwa mabint na wanawake wote wa kitanzania angemshukuru Sana Sir Donald J Trump.
Cheki thread na video # 136
Watalaam wetu wamefungw vichwa wasifikili. Kila wanacholetewa kwao ni sawa hawawezi kuuliza na kutengeneza vya kwao
 
Hivi huwa mnafikiri Marekani ndiyo donor pekee wa U.N?

Katika bajeti ya mashirika ya U.N baada ya Marekani inayofuata ni China kwa kuchangia bajeti kubwa

Kwenye kila msaada unaopata kupitia mashirika ya U.N ujue kuwa China ameshakuchangia

Top 10 UN budget contributors:

🇺🇲USA (22.89%)
🇨🇳China (17.21%)
🇯🇵Japan (8.56%)
🇩🇪Germany (6.09%)
🇬🇧UK (5.79%)
🇫🇷France (5.61%)
🇮🇹Italy (3.30%)
🇷🇺Russian (3.04%)
🇨🇦Canada (2.73%)
🇰🇷South Korea (2.26%)

Halafu unataka kuifananisha China na hao E.U

Yaani Marekani hata ijitoe U.N hakuna kitakachosimama duniani
Kiongozi naona unaongelea issue tofauti. Takwimu zako niza mchango katika UN na tunachoongelea hapq ni Trump ku free mchango wa Marekani katika kutoa foreign aid ambapo Us inatoa takribani usd.68bilion a year, EU usd.38billion na China 4.5billion.
 
Nchi za Afrika Zote haziwezi kutoboa kwa Disease Burden Iliyopo Ngoja Twende statistically..

  • Riport ya mwaka jana Tanzania Kwa sasa Ina WAVIU- 1.7Milion na waviu wanaotumia ARV ni 1.4 Milion
  • Waliokuwa wana Ugonjwa wa Malaria walikuwa ni zaidi ya Milion 1
  • Watoto waliopatiwa Chanjo ni zaidi ya Milion 1
  • Watu waliotumia Njia za Uzazi wa Mpango ni zaidi ya Milions
  • Wagonjwa wa TB kwa mwaka Jana walikuwa zaidi ya Laki mbili
Hakuna Nchi narudia tena Hakuna nchi wala Chama Kinachoweza Kubeba Hiyo burden Bila Kuhitaji Msaada..
unajua Chanjo moja ni Bei gani? Unajua ARV Drugs Ni Tsh ngapi Kopo Moja? Unajua Uzazi wa Mpango Hata Kidonge tu Circle mpja Ni Tsh ngapi??
Duh!! Nadhani inatakiwa tuongee lugha moja. Unaujua utajiri wa viongozi wa nchi yangu? Unajua ufisadi wanaofanya?

Laiti kama rasilimali za nchi hii zingesimamiwa vema, basi hata walipa kodi wangelipa kwa moyo mmoja maana wangeona matokeo chanya ya nguvu zao.

Amini nakuambia, Tanzania na Afrika kwa ujumla, hatupasa kubadirika. Tuanze kusimama kwa miguu yetu wenyewe
 
Nikukosa vipaumbele Dawa za TB tunaweza kutengeneza na za Ols

Kuhusu uzazi wa mpango hii nikuji-control zaidi.


Kama mnaweza kuwa na uwezo wa kufanya anasa za kila siku kutembelea Magari ya gharama mnashindwa vipi kuwa na bajeti ya Afya nzuri.


Mimi ninachoumia ni hizo Ajira Ila kuhusu sisi kujitegemea we need to think out of box Nigger✌.
#136
 
Back
Top Bottom