Nilipata fursa ya kutembelea Australia na New Zealand nilichojifunza ni hiki

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™
 
Ahsante kmmk, nimefurahi kmmk
 
Nyerere alichemka kuwaondoa waingereza tukabaki kudumaa na uswahili wetu, fuatilia nchi kama Marekani, Canada, Australia, Newzealand ambako waingereza waliendelea kubaki namna zilivyopiga hatua za kimaendeleo.
 
Wenye akili wala hawahitaji kwenda kujifunza huko, wanafanya mambo kuoingana na mazingira yao. Tukubali tu kuwa kwa asilimia kubwa hakuna kitu, hatuna uwezo...unajifunza nini wakati teknolojia yote ipo kwao?
 
Weupe wote uliowataja, wametupita, waarabu , wachina, wazungu na haipo namna yoyote tutawafikia. Mtoa mada apewe mauwa yake. Mbali na utawala mbovu wa Mwafrica bado fikra zake ni finyu. Unamuwekea umeme anaiba mafuta ya transformers na nyaya, unamuwekea maji anang'oa coke, unamuwekea taa za barabarani anapiga mawe nk nk nk. Mwafrica ni binadamu daraja la nne na la mwisho
 
Duuh! Mimi nitoe kwenye hiyo list mkuu, Mimi sio chawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ