Nilipata fursa ya kutembelea Australia na New Zealand nilichojifunza ni hiki


kwa hiyo unafikiri wazungu wasingeondoka ndo tungekuwa kama australia au new zealand? mbona jamaika siyo kama australia mpaka leo hii haijadai uhuru na mkuu wa jamaika ni king charles wa uingereza, mbona bado ni masikini tu kama tanzagiza ? jamaika hakuna kiswahili wanaongea english wote lkn mbona bado masikini tu kama tanzagiza?
 
Mkuu kwanza niwie radhi...
Mimi na uchawa ni tofauti kabisa mkuu.. kingine mkuu labda sijajua uchawa wa nini ila kama mambo ya siasa hapana mi nipo tofauti..

Uchawa wa mashangzi mi ni namba moja aiseee
 
Miaka 400 juzi tu? Sisi tuko nyuma miaka 1500+ sema kinachotusaidia ni huu muingiliano na wazungu kutuletea teknolojia na miundombinu. Kiakili bado tuko zama za mawe za kale..!
Nakubaliana na wewe mkuu, bila hizi teknolojia ilikuwa ni balaa sana.
 
Kwa matusi haya, kuliko umuelumishe ili na sisi ambao Dsm ni dreamland tuchukue mbili tatu, nadiliki kusema umestaraabika kichwani tu
 
Mkuu Unaichukuliaje OZ na NZ? Umezidogosha mno! Hopefully haujafanya bahati mbaya.
 
Ila waafrika mnatuonea aisee! Migodi yote ya Tanzania ile mikubwa mikubwa ni ya wazungu sasa wameshindwa nini kuweka hizo teknolojia? Unasema GGM huo migodi ni wa Mswahili?
 
Kuna jamaa yangu kachukuliwa na kampuni ya caterpillar kama operator wa mitambo,saivi yuko migodini huko Perth Australia, anasema huko ni dunia nyingine, na jamaa hana mpango wa kurudi africa tena.
Hata ungekuwa wewe ndugu mtangazaji, Kwanza visa yao ngumu ina makorokoro kibao, Upate halafu urudi huku! Sio kweli 😅
 
Nyerere alichemka kuwaondoa waingereza tukabaki kudumaa na uswahili wetu, fuatilia nchi kama Marekani, Canada, Australia, Newzealand ambako waingereza waliendelea kubaki namna zilivyopiga hatua za kimaendeleo.
Tanzania ilikuwa protectorate colony na sio setler colony
Afrika real setler colony ni south afrika ndo maana imejengeka sana
 
Wa tz tumekuwa watu wa kulalamika TU,
Ni wapi tulikosea , Nyerere hakuwa na exposure ya kuongoza nchi kiuchumi ? . Y/N

Maana kama wasomi tunao, nguvu KAZI ipo, raw materials zipo, ardhi ya kilimo IPO, utalii wa kila aina Upo, ss shida ni nini ?.

Bila shaka ni ujamaa aliouweka Nyerere, ndio uliharibu kila kitu kuhusu maendeleo ya tz.

Kwa maana hata ukaiangalia mfumo wa Kodi uliopa ss ndio huohuo ulioko kipindi cha ujamaa sema wamebadilisha kidogo TU, ila muundo na mtindo ni uleule TU wa kijamaa, wa kuzuia watu wasimiliki Mali na uchumi.

Je ni wa tz wangapi wanao miliki shughuli za mafuta na gesi, fisheries industrial,

ni kweli kabisa maisha ya wa tz ni ya hovyo kupita maelezo
 
Nasasa hawa mashetani serikali ya ccm wameleta mtaala wa ELIMU YA SEKONDARI KWA KISWAHILI, nchi inaenda kuzalisha wajinga wengi sana.
 
Mpuuzi mmoja anajifanya kawahi kwenda australia na wapuuzi wengine wanaamini eti kweli alienda australia.

Eti bosi wake alimpeleka ulaya akajifunze jinsi ulaya ilivyoizidi afrika halafu arudi tanzania wtf?
 
Mtu mweusi bado hajamaliza process ya evolution
Ni kwamba kwenye zile "Modes of Production" sisi tuliruka kutoka "Primitive communalism" Nyerere akaturusha kwenye "Socialism" bila kupitia zile hatua nyingine za "Feudalism", "Capitalism" nk. Kwahiyo "Mindset" zetu bado ziko nyuma wakati maendeleo yako mbele. Ndio maana unaona viongozi wetu wana mindset za "hunter gatherers" na "primitive accumulation of wealth"
 
Akil zpo , unazan wew ndio umeona pekee , haw viongoz wanajua nn kinaendelea huko dunian ila hawatak kusimamia Taifa kwa maslai mapana ya leo na vizaz vijavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…