Nilishasema acheni kuishi na waume wa watu ila hamsikii

Nilishasema acheni kuishi na waume wa watu ila hamsikii

Mimi nilichoelewa ni kwamba🤣 👇

We ndo my painkiller
Utashinda hata panadol💊
Umejaa mapenzi❤️,
mashetani😈 wanakaa kando🚶
Oh shu shu you found me from zero0️⃣ to hero💪
Bado tuko pamoja👨‍❤️‍💋‍👨
Why you get jealous?🙄

Why you getting jealous o?🙄
Why you getting jealous o?🙄
Why you getting jealous o?🙄
Why you getting jealous o?🙄
 
Leo nimeona hii post mahali sasa tuchakachueni kwa undani.

Kuna mwanadada ameishi na mume wamtu miaka 10 na wanawatoto wazuri tu wawili ila huyo dada alikuwa anamnyanyasa bi mkubwa na hadi
Good afternoon people .
Umeandika bangi tupu manake hujaeleweka
 
Umeandika bangi tupu manake hujaeleweka
Hiyo inabidi uwe umesoma hesabu za algebra 🤣

Yaani:
Let X = Mke Part 1 = Mke wa kwanza
Let Y = Mke Part 2 = Nyumba ndogo
Let Z = Mke Part 3 = Hawara
Let M = Mume wa mtu
Let N = Message ya utupu kati ya (Z na M)

Now,
Y -> Ameishi na M kwa miaka 10, ana watoto wawili (Y1 & Y2)

Y -> Amemnyanyasa X, mpaka kujengewa nyumba.

M-> Akapata Z akaanza kumnyanyasa Y.

M ->Akamwambia Z atume N kwa Y.

Y->Akamfuata X na kumwambia anavyonyanyaswa ila hakupata msaada alichekwa na X.

Y-> Akatuma N kwenda kwa X.

X-> Akaforward N kwenda kwa M.

M-> Akamfukuza Y kwenye nyumba aliyomjengea kwa sababu hati haikuwa na jina la Y.

Therefore,
M->Amebaki na X na Z

Hence solved
 
Ni hii sigara kali nimefuta hii asubui au kuna ambaye kapata shida ya kuelewa kama mm?
 
Ukiona umeuelewa huu uzi jua wewe ni mmbea..😂
 
Ni hii chanjo ndo imegeuza mawazo yangu kwa kasi kiasi hiki ama ana wengine hawajaelewa kama mimi!
 
Leo nimeona hii post mahali sasa tuchakachueni kwa undani.

Kuna mwanadada ameishi na mume wamtu miaka 10 na wanawatoto wazuri tu wawili ila huyo dada alikuwa anamnyanyasa bi mkubwa na hadi kajengewa nyumba na huyo baba. Ila baada ya miaka kumi na moja huyo baba akaanza kumpiga na kumtafuta visingizio na baadaye yule dada akaja jua kuwa yule baba anahawara mwingine .

Wakapigana weee mpaka huyo bwana akaamua kumwambia hawara yake amtumie wife part 2 picha za uchi .
Huyu mama akamfuata mke part 1 akamwelezea huyo part 1 akamcheka nakumwambia mkuki kwanguruwe kwa binadamu ni mchungu.
Uliona kuwa nirahisi mimi nilie niteseke kuhusu wewe halafu sasa hivi nije nikakusaidie kila mtu afe na maisha yake.

Muda ukaenda akiwa anapigwa anateswa nakunyanyaswa kama nini .
Akaona amtumie picha za utupu za yule bwana na mke part3 huyo mke part2 ndio kamtumia mke part 1 .

Mke part1 akamforwadia mume wao basi yule baba akaja kwa yule mke part 2 akampigia na kumtaka atoke .
Akakataa halafu yule mke part 2 akaletewa maskari polisi ili wamtoe kwa lazima sasa yule mwanamke kwa sababu hati sio kwa jina lake ikambidi atolewe kweli .

Mpaka na sasa mke part 2 yupo home kwako.

In take kula kunywa na mume wamtu ila usiomweke kwenye malengo .
Good afternoon people .
haya bhana
IMG-20210729-WA0003.jpg


Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Hiyo inabidi uwe umesoma hesabu za algebra 🤣

Yaani:
Let X = Mke Part 1 = Mke wa kwanza
Let Y = Mke Part 2 = Nyumba ndogo
Let Z = Mke Part 3 = Hawara
Let M = Mume wa mtu
Let N = Message ya utupu kati ya (Z na M)

Now,
Y -> Ameishi na M kwa miaka 10, ana watoto wawili (Y1 & Y2)

Y -> Amemnyanyasa X, mpaka kujengewa nyumba.

M-> Akapata Z akaanza kumnyanyasa Y.

M ->Akamwambia Z atume N kwa Y.

Y->Akamfuata X na kumwambia anavyonyanyaswa ila hakupata msaada alichekwa na X.

Y-> Akatuma N kwenda kwa X.

X-> Akaforward N kwenda kwa M.

M-> Akamfukuza Y kwenye nyumba aliyomjengea kwa sababu hati haikuwa na jina la Y.

Therefore,
M->Amebaki na X na Z

Hence solved
uko vzr sana, umeeleweka
 
Back
Top Bottom