Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Za siku mkimbizi wewe..?
Nzuri komamanga nimekumiss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za siku mkimbizi wewe..?
Za kunikimbiaNzuri komamanga nimekumiss
Za kunikimbia
Hujawahi kushindwa! Okay mi sijambo ila Ila..Mwenzangu weee sijakukimbia
Hujawahi kushindwa! Okay mi sijambo ila Ila..
Nasumbuliwa na kuwa na afya njema halafu siitumii😀Nini mbaya
Hivi ni mimi sina akili? Au wewe umeshindwa kuandika vizuri?Leo nimeona hii post mahali sasa tuchakachueni kwa undani.
Kuna mwanadada ameishi na mume wamtu miaka 10 na wanawatoto wazuri tu wawili ila huyo dada alikuwa anamnyanyasa bi mkubwa na hadi kajengewa nyumba na huyo baba. Ila baada ya miaka kumi na moja huyo baba akaanza kumpiga na kumtafuta visingizio na baadaye yule dada akaja jua kuwa yule baba anahawara mwingine .
Wakapigana weee mpaka huyo bwana akaamua kumwambia hawara yake amtumie wife part 2 picha za uchi .
Huyu mama akamfuata mke part 1 akamwelezea huyo part 1 akamcheka nakumwambia mkuki kwanguruwe kwa binadamu ni mchungu.
Uliona kuwa nirahisi mimi nilie niteseke kuhusu wewe halafu sasa hivi nije nikakusaidie kila mtu afe na maisha yake.
Muda ukaenda akiwa anapigwa anateswa nakunyanyaswa kama nini .
Akaona amtumie picha za utupu za yule bwana na mke part3 huyo mke part2 ndio kamtumia mke part 1 .
Mke part1 akamforwadia mume wao basi yule baba akaja kwa yule mke part 2 akampigia na kumtaka atoke .
Akakataa halafu yule mke part 2 akaletewa maskari polisi ili wamtoe kwa lazima sasa yule mwanamke kwa sababu hati sio kwa jina lake ikambidi atolewe kweli .
Mpaka na sasa mke part 2 yupo home kwako.
In take kula kunywa na mume wamtu ila usiomweke kwenye malengo .
Good afternoon people .
Kwa kweliAliyeelewa atutafsirie wenzie,!![emoji852]
Rudia kusoma ulichoandika kama kinaeleweka, mara mke part1, part2 & part3.. ..Leo nimeona hii post mahali sasa tuchakachueni kwa undani.
Kuna mwanadada ameishi na mume wamtu miaka 10 na wanawatoto wazuri tu wawili ila huyo dada alikuwa anamnyanyasa bi mkubwa na hadi kajengewa nyumba na huyo baba. Ila baada ya miaka kumi na moja huyo baba akaanza kumpiga na kumtafuta visingizio na baadaye yule dada akaja jua kuwa yule baba anahawara mwingine .
Wakapigana weee mpaka huyo bwana akaamua kumwambia hawara yake amtumie wife part 2 picha za uchi .
Huyu mama akamfuata mke part 1 akamwelezea huyo part 1 akamcheka nakumwambia mkuki kwanguruwe kwa binadamu ni mchungu.
Uliona kuwa nirahisi mimi nilie niteseke kuhusu wewe halafu sasa hivi nije nikakusaidie kila mtu afe na maisha yake.
Muda ukaenda akiwa anapigwa anateswa nakunyanyaswa kama nini .
Akaona amtumie picha za utupu za yule bwana na mke part3 huyo mke part2 ndio kamtumia mke part 1 .
Mke part1 akamforwadia mume wao basi yule baba akaja kwa yule mke part 2 akampigia na kumtaka atoke .
Akakataa halafu yule mke part 2 akaletewa maskari polisi ili wamtoe kwa lazima sasa yule mwanamke kwa sababu hati sio kwa jina lake ikambidi atolewe kweli .
Mpaka na sasa mke part 2 yupo home kwako.
In take kula kunywa na mume wamtu ila usiomweke kwenye malengo .
Good afternoon people .
Njoo uichukue ila watakapoita aliekutia mimba aje apime ukimwi waambie mie nishatoa huduma yangu nao wafanye huduma yao tusifatiliane sawa..??[emoji23][emoji23][emoji23]nipe mimi
Njoo uichukue ila watakapoita aliekutia mimba aje apime ukimwi waambie mie nishatoa huduma yangu nao wafanye huduma yao tusifatiliane sawa..??
Waambie tusifatiliane kila mmoja afanye kazi yake.😎[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ati unasemaaaaa sikusikiii