Nilishasema acheni kuishi na waume wa watu ila hamsikii

Mimi nilichoelewa ni kwamba🤣 👇

We ndo my painkiller
Utashinda hata panadol💊
Umejaa mapenzi❤️,
mashetani😈 wanakaa kando🚶
Oh shu shu you found me from zero0️⃣ to hero💪
Bado tuko pamoja👨‍❤️‍💋‍👨
Why you get jealous?🙄

Why you getting jealous o?🙄
Why you getting jealous o?🙄
Why you getting jealous o?🙄
Why you getting jealous o?🙄
 
Leo nimeona hii post mahali sasa tuchakachueni kwa undani.

Kuna mwanadada ameishi na mume wamtu miaka 10 na wanawatoto wazuri tu wawili ila huyo dada alikuwa anamnyanyasa bi mkubwa na hadi
Good afternoon people .
Umeandika bangi tupu manake hujaeleweka
 
Umeandika bangi tupu manake hujaeleweka
Hiyo inabidi uwe umesoma hesabu za algebra 🤣

Yaani:
Let X = Mke Part 1 = Mke wa kwanza
Let Y = Mke Part 2 = Nyumba ndogo
Let Z = Mke Part 3 = Hawara
Let M = Mume wa mtu
Let N = Message ya utupu kati ya (Z na M)

Now,
Y -> Ameishi na M kwa miaka 10, ana watoto wawili (Y1 & Y2)

Y -> Amemnyanyasa X, mpaka kujengewa nyumba.

M-> Akapata Z akaanza kumnyanyasa Y.

M ->Akamwambia Z atume N kwa Y.

Y->Akamfuata X na kumwambia anavyonyanyaswa ila hakupata msaada alichekwa na X.

Y-> Akatuma N kwenda kwa X.

X-> Akaforward N kwenda kwa M.

M-> Akamfukuza Y kwenye nyumba aliyomjengea kwa sababu hati haikuwa na jina la Y.

Therefore,
M->Amebaki na X na Z

Hence solved
 
Maden aya na tozo yan nimesoma mwanzo mwsho ila sijaelewa
 
Ni hii sigara kali nimefuta hii asubui au kuna ambaye kapata shida ya kuelewa kama mm?
 
Ukiona umeuelewa huu uzi jua wewe ni mmbea..😂
 
Ni hii chanjo ndo imegeuza mawazo yangu kwa kasi kiasi hiki ama ana wengine hawajaelewa kama mimi!
 
haya bhana

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
uko vzr sana, umeeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…