Nilishasema acheni kuishi na waume wa watu ila hamsikii

Ni ujinga kutoka na mwanaume asiye wako na kukubali kufanya Mambo kwa jina lake, mume wa mtu ni wa kuchuna kwa kwenda mbele na kuji establish vizuri hasa ukiwa umezaa naye na kuandaa investment kwa majina yako, ka alimuacha mkewe wa ujana na wewe jiandae tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]nipe mimi
 
Hivi ni mimi sina akili? Au wewe umeshindwa kuandika vizuri?
 
Rudia kusoma ulichoandika kama kinaeleweka, mara mke part1, part2 & part3.. ..
 
Let x is equal to nilekumbuka hesabubza logarithms...



Part part part
 
[emoji23][emoji23][emoji23]nipe mimi
Njoo uichukue ila watakapoita aliekutia mimba aje apime ukimwi waambie mie nishatoa huduma yangu nao wafanye huduma yao tusifatiliane sawa..??
 
Njoo uichukue ila watakapoita aliekutia mimba aje apime ukimwi waambie mie nishatoa huduma yangu nao wafanye huduma yao tusifatiliane sawa..??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ati unasemaaaaa sikusikiii
 
Kwa Vyovyote Vile wewe ni Form 4 yake maswali ya Part I unayo kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…