Nilishasema acheni kuishi na waume wa watu ila hamsikii

Umejizungusha sana mkuu hii story iko kwa Iddi makengo instagram ni mpuuzi mmoja yuko njia panda.
 
Huh!? Hiki ni Kichina umeandika? 😳

 
Usituzibie riziki sisi waume wa watu.
 
Daaah hii nchi ngumu sana, naomba mleta mada atulie kidogo ili alete hiki kisa kwa uzuri ili wengine tuelewe
 
Sasa Part 4 yupo wapi?[emoji1787][emoji23]
 
Hii ni equation gani tena jamani? Au ni logarithm?
 
Content haijajitosheleza maana uzi haueleweki
 
Ndio mjue mnapochukua waume za watu mnawakwaza sana wake zao so na ninyi siku mahawara zenu wakienda kwa mahawara wengine msiwalalamikie, kwani ninyi ni mahawara tu!
Hapo umeongea ukweli acheni ndoa za watu
 
Umeandika Kama HAWARA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…