Nilishasema acheni kuishi na waume wa watu ila hamsikii

mwambie aende ustawi wa jamii tu hapo atakuwa anaambulia vijisentsent vya kutunzia watoto nae anachomokea humohumo maisha yanaenda
 
Baadae atakuja W, kisha Z ataambiwa atoke.watabaki x na w..teh teh teh
 
Ndio mjue mnapochukua waume za watu mnawakwaza sana wake zao so na ninyi siku mahawara zenu wakienda kwa mahawara wengine msiwalalamikie, kwani ninyi ni mahawara tu!
Mwenzetu umeelewa kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ