tutamkumbukamagu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 317
- 270
Si wanajifanya Wabishi, Wajuaji na wanajua Kutukana na hawapendi Ushauri wa Kimaono kutoka Kwetu 'Philosophers' wa hapa Jamvini?
Sasa Ndugu yao ( Mwamba wao ) anaishia 'mazima' huko Segerea na hawatoamini.
Leo mbona hawanitukani, hawanishambulii na hawanidhihaki kama walivyonifanyia katika hizo 'Threads' zangu Mbili za awali?
Kwa ushahidi upi uliokuwepo wa kumtia hatiani Mbowe? Unamkamata gaidi kisha unamnunulia chakula na kukaa naye meza moja kula chakula huku akiwa hana pingu!? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Sabaya si KATAMKA mwenyewe kwamba SI YEYE bali ALITUMWA na MAMLAKA yake ya UTEUZI!? Acheni kujitoa ufahamu!!!
Kwa hiyo kwa akili yako finyu,unatafuta kutukanwa au, umezoea kutukanwa.Ujue,anayependa kitukanwa ni mtukanaji.Tafuta barabara mpya.Wafuasi wake pamoja na wale Mnaonichukia pindi GENTAMYCINE nikisema tu Ukweli leo mbona hamnitukani, hamnidhihaki wala hamnishambulii kama mlivyofanya katika zile Threads zangu Mbili za kutoa ( kuwapeni ) Angalizo kama siyo Tahadhari?
Kweli mchanganyikiwa,hachanganyikiwi mara mbili.Afrika kuna Haki tena kwa nchi hizi zetu?
Mkuu Wakili msomi P Kibatala mtakata rufaa au niaje? Maana huku mtaani tuna hasira kweli. Naomba unijibu.Nachukua nafasi hii kutangaza KUKUDHARAU MOJA KWA MOJA KATIKA KIPINDI CHAKO CHOTE KIFUPI ulichobakiwa nacho hapa duniani .
KwanI Mwamba ni nani zaidi ya Mbowe ambayo amekuwa akiitwa Mwamba na wafuasi wake? Hivyo umemtaja mtu Moja kwa Moja kwenye Uzi wako.Nilitukanwa sana hapa na Wafuasi wake wakati GENTAMYCINE nilikuwa na nia njema nae tu ili asaidiwe Kiushauri na Kimawazo na Wadau mpaka Wataalam wa Kisheria.
Sasa kuanzia leo tutaheshimiana vizuri.
Mimi tu ndiyo Kiboko yao hapa Jamvini.Na hapa utashambuliwa
'Makamanda' leo mbona hamnitukani?Kwa hiyo kwa akili yako finyu,unatafuta kutukanwa au, umezoea kutukanwa.Ujue,anayependa kitukanwa ni mtukanaji.Tafuta barabara mpya.
Hakuna hakiUkitulia kabisa na kama tokea mwanzoni umeangalia Kesi ilivyoanza na inavyoenda huhitaji Akili Kubwa sana kujua kuwa ni Kesi ya 'Kimkakati' zaidi na lazima lililopangwa litokee.
Kwa nia njema tu nikaja na Threads zangu Mbili ( ambazo hata hivyo mpaka leo sijui kwanini ziliunganishwa au kufutwa ) kwa Makusudi kabisa nikitaka Mjadala wa 'Kihoja' uanze ili angalau Mawakili Wasomi wanaompambania waokote okote Mawili Matatu ya Kisheria waongezee na yao waliyonayo ili Mhusika anasurike na 'Kesi Mkakati' inayomkabili GENTAMYCINE nikaishia Kutukanwa, Kushambuliwa na Kudhihakiwa.
Haya baada ya Kilichotokea kwa hatua hii tu ya awali kile nilichokisema na Kukitahadharisha ukiwa na Akili Timamu na Kusoma pia Mazingira na Mtiririko wake mnadhani Mhusika haendi Kuozea Jela na labda ni suala la muda tu?
ANGALIZO
Sijamtaja Mtu katika Uzi wangu huu bali nimeelezea tu hivyo sitaki Kuulizwa namuongelea nani na mtakayemhisi huyo mmemuhusi nyie ila siyo Mimi Mleta Mada.
Taratibu sasa tutaanza Kuelewana JF!!!!
Unateseka na Mimi ukiwa wapi Mkuu?KwanI Mwamba ni nani zaidi ya Mbowe ambayo amekuwa akiitwa Mwamba na wafuasi wake? Hivyo umemtaja mtu Moja kwa Moja kwenye Uzi wako.
Ila kwa Sabaya Kwenu Haki ilikuwepo? Wanafiki wakubwa nyie. Mkishauriwa na Kutahadharishwa mnaishia Kututukana sasa 'Mwamba' wenu yanaenda Kumkuta na lazima Jela imkute hata ya miaka Mitatu au Minne hivi.Hakuna haki
Sasa mbona Mawakili wenu hawamtoi?Hamna kesi pale
Leo mtasema kila aina ya Utumbo wenu.Siyo lazima tukubaliane wote kwenye hili la Mbowe na wenzake kuwa haki imetendeka au haijatendeka
Unachotakiwa kukifahamu ni kwamba, kesi ya Mbowe na wenzake ni tofauti kabisa na kesi ya Jambazi Sabaya
Kabisa, hata Sabaya ameonewa sana kwa sababu hatuna mahakama huru, kesi ya Sabaya tungekuwa na mahakama huru ingefutwa na si kumfunga eti miaka 30Hakuna Mahakama huru nchi hii.
Hii kesi ilistahili kufuwa siku nyingi tu.
Lengo ni kumuweka ndani wakiamini chama kitayumba na hii ni kwasababu akil zao ni fupi.
Lkn mkuu huu utetez wako kwamba hujamtaja Mbowe hauna mashiko mkuu, mweny akili anaelewa. Maybe unamzungumzia Freedman Haykal Mbouee!!Katika Thread yangu nimemtaja Mbowe?
Kwanza Mimi sina itikadi ya chama chochote nachangia kama raia aliyeguswa na kesi, kwaniniHalafu 'Makamanda' leo mbona mnachangia 'Kihuruma' sana tofauti na mlivyokuwa mkichangia kwa 'Kunitukana' katika zile 'Threads' zangu Mbili nilizomuanzishia huyu 'Mwamba' wenu ili Kuwatahadharisha?
Yaani kabisa Philosopher King GENTAMYCINE nihisi Jambo au nionye kuhusu Jambo fulani halafu lisije kutokea? Thubutu....!!
Kitu pekee ambacho nawashauri ni Kumpambania tu Mtu wenu 'Mwamba' asifungwe miaka mingi kama ambavyo dalili zinaonyesha ili angalau hata afungwe tu kati ya miaka Mitatu au Minne.
'Makamanda' leo mbona hamnitukani?
Sawa Bwana Msomi.Yaan mpuuzi kama Mbowe atuongoze sisi wasomi???? Najilipua siku hiyo