Hii kauli haimaanishi ya kuwa alikuwa anandika kinyume na yale aliyo kuwa anaambiwa na Mtume mpaka uonyeshe wapi au kipi alikiandika amnacho ni kinyume na yale aliyoyasema mtume.Uliona jamaa anasema Muhammad hajui kitu kilicho andikwa
...Muhammad knows nothing but what I have written for him.
Sahih bukhari 3617
Nimefanya hivy sababu mwanzo wake haubadilishi hitimisho lake, na hapo si katika hitimisho kadhalika.
Hiyo kuzimu uliona ilivyotetemeka jina lake lilivyotajwa ? Hata waganga pia wanatoa mapepo .. umesema shetani anajua yesu ni Mungu ni andiko gani shetani amethibitisha hivyo sana sana alimjaribu tu kupima imani yake . Imani yake kwa nani na yeye ni Mungu [emoji1787]
Kibaya zaidi nyie wenyewe wakristo kuna madhehebu mnapingana kuhusu uhalali wa yesu kuwa Mungu
Tunaposoma Biblia tunakuta mara nyingi sana Yesu anaitwa Mwana
wa Adamu. Kwa mfano: Mathayo 8:20, 9:6, 12:40, 14:28, 16:27, 17:22, 24:30 na 26:45. Marko 2:10, 9:31 na 14:21-40. Luka 9:44. Yohana 5:27 na
Matendo 7:56.
Kama Mwana wa Kondoo ni kondoo – Mwana wa mbuzi huwa ni mbuzi
vile vile Mwana wa Adamu ni binadamu. Haieleweki ni kwa sheria na
kanuni gani Mwana wa Adamu anapachikwe jina la Mungu au Mwana wa
Mungu? 4. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, Mwana wa Daudi, Mwana wa Ibrahim.
(Mathayo 1:1)View attachment 2212127
Haya tunataka ayaseme Yesu si nyinyi, wapi Yesu alisema yeye ni Mungu na akasema mungu ni nafsi tatu ?
Kingine uwana wa Yesu kwa Mungu ni wa kinasaba au wa kinini ? Kama ni wakanisaba hii ni KUFURU kwa Mola, ndiyo maana huwa sipendi kutumia maandiko yenu yanakufuru kubwa sana.
Mimi bila maandiko hakuna cha kunithibitishia. Nasubir maandiko yenu yajibu hoja zangu.
Umesema Mkiristo imani yake Yesu ni Mungu kwahyo huyu yesu ndio kawaumba ? sasa huyu Yesu ametumwa na baba ake kwahyo huyo baba ake ni Mungu ? Kama ni ndio ina maana kuna Mungu zaidi ya mmoja si ndio
Ukinitajia mambo ya nafsi tatu hapo ni watu watatu
Alitabiri wapi bibie ? Niwekee andiko tusome tupate faida wote.
Hakuna nabii wala mtume ambaye hakuwa Muislamu. Hili weka akilini, wametofautiana sheria tu ila imani zao wote walikuwa Waislamu.
Ukristo amekuja nao Paulo, kabla ya hapo hapakuwa na Ukristo. Sasa mtasema nyinyi ambao mnamuita Paulo kuwa mtume, alianzisha lini Ukristo.
Uislamu unegawanyika sehemu mbili, uislamu wa ujumla huu mitume na manabii wote walikuwa nao na Uislamu ambao amekuja nao mtume huu unaitwa Uislamu maalumu kwa maana ya sheria ya Muhammad si sheria ya Musa wala si sheria ya Issa.
Si kweli Ibrahiim alikuwa muislamu na wala hakuwa Myahudi, sababu Uyahudi umekuja baada ya Musa.
Mwenzako alisema nimuwekee mpaka 21 wewe unataka niweke lote. Ili kuepuka usumbufu nisaidie wewe kumalizia hapo nilipoishia halafu utoe sababu au uonyeshe ulazima wa kutaka wewe liwekwe andiko lote, kwamba je limebadilisha nilichokiweka hapo awali.
Acheni kuruka kuruka, mnatakiwa haya maandiko myachambue kielimu siyo mnaruka ruka huku na kule kisha hamtoi ufafanuzi wa kielimu. Nawaonea huruma sana.
Humu ndimo wajanja wanapiga hela na nyinyi mnakubali. Kusema tu Yesu ni mungu na mnamuabudu huu ni USHIRIKINA sababu mnamuabudu mja na si Mungu.
Sasa kama ni kitabu special kwanini kina uchafu mwingi na uongo mwingi ? Kwanini kuna vitabu 66 nyingine zina vitabu 73 ?
Mimi nakupa kazi uthibitishe ya kuwa Qur'aan inatumika kuua watu na kuwapa majini watu ? Shida yenu Wakristo hamsomi mkisikia mambo mitaani mnayachukua pasi na kufanya utafiti, sasa sisi wenzenu hatuko hivyo,sisi tunasoma tunafanya utafiti.
Kwani hii Biblia imeandikwa na nani kwa mara ya kwanza ? Wanafunzi wa Yesu au ?
Utukufu wa Biblia uko wapi ? Hali ya kuwa hakuna Taurati halisi bali kuna kumbukumbu la Taurati ? Hakuna Injili ya Yesu bali kuna Injili ya Marko hakumuona Yesu, Injili ya Yohana kadhalika hakumuona Yesu, Injili ya Marko kadhalika hakumuona Yesu na Injili ya Matayo naye vivyo vivyo utukufu wa Biblia unatoka wapi ?
Nasubiri utoe maelezo juu ya Biblia yenu, nimeweka tu maandiko machache mnayakimbia hamyatolei ufafanuzi.
Nimekuja kuona nyinyi nyote hiyo Biblia yenu hamuisomi, ndiyo maana mnakimbia kutolea ufafanuzi maandiko yenu.
Ni mjinga pekee anaye ilinganisha Qur'aan na vitabu vingine hakuna kitabu kitabu kuzidi Qur'aan, kitabu ambacho hata asiyejua Kiarabu anakihifadhi moyoni chota kuanzia watoto mpaka wazee, vipofu wamekihifadhi, leo hii hata vitabu vyote vya Qur'aan vichomwe bado inabaki, ila ajabu unayesema Biblia ni tamu hakuna hata mtu mmoja duniani amekihifadhi chote kichwani na moyon.
Hayo mengine si maneno ya kielimu ni upotoshaji na unafurahisha nafsi yako.
Sasa hivi nakuwa nawawekea maandiko yenu tu mpambane nayo, naona ni weupe sana.
Kujadiliana na jinsia ya kike jambo zito sana kwangu.Kwaiyo hilo andiko ndiyo limehitimisha hapo
Hivi kweli maandiko ya kiswahili kabisaa yamekushinda kusoma kwa ufasaha
Wewe si ni bingwa wa kiswahili unawasahihisha watu wakichapia humu
Sasa kweli hilo andiko umeshindwa kulitendea haki
Kwani umebobea kwenye nini haswa ???
Au umebobea hapo kumkazania issa kuwa ni YESU ebooh wewe jamaa usiumize akili Sanaa tulizana baki na huyo Issa wako mnaesema ni copy ya yesu wenu ila sisi Tuna YESU wetu ambae ni MUNGU wetu baki na issa wako
Nataka twende kwa mtindo huu, usulubu wa kutumia wingi katika kujielezea Mola ni wa kawaida sana kwake namna hii inaitwa "Kujifadhilisha/kujitukuza/kujitanabahisha" hapo haonyeshi ya kuwa yupo na mwenzako hasa ukitilia mkazo maandiko mengine katika vitabu vingine yanao onyesha kupwekeka kwa Mola muumba.YESU ALIKUWEPO KABLA YA MSINGI WA ULIMWENGU NA NDO MAANA UKISOMA MWANZO 1:26
Hebu soma ya English huenda Kiswahili huelewi
“Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.””
Genesis 1:26
Mola alikuwa peke yake hapo, wala hakuwa na mwenzake.Sasa MUNGU alikuwa anaongea na nani hapo
Usitumie maneno makavu makavu tu weka ushahidi, usilete maandiko tata na yasiyo lenga maana mnayoikusudia nyinyi huku mkiyaacha maandiko yaliyo wazi yenye kuonyesha uongo wenu. Sasa sijui mnatumia nini kufikiri ?YESU NI MUNGU NA AIKUWEPO TANGU MWANZO NA YEYE NI NENO NA KUPITIA YEYE VITU VILIFANYIKA NA NDIO MAANA TUKILITAJA JINA LA YESU MIUJIZA INATOKE
YESU ALIKUWEPO TOKA MWANZONI TATIZO LAKO UNATAKA ET JINA YESU LIWE LIMEANDIKWA KILA UKURASA WA BIBLIA BASI NIKWAMBIE JINA LILOTUMIWA KABLA YA KUZALIWA KWAKE ALIKUWA AKIJULIKANA KAMA (NENO) SEHEMU YOYOTE UNAPOONA LIMETAJWA JINA NENO KWA HERUFU KUBWA NDANI YA BIBLIA UJUE NI YESU
Andiko liko wazi neno si kiumbe neno ni tamko ambao liko kwa mtu na mtu ana tamka. Allah anaumba viumbe kwa kisema kuwa na vina kuwa, huyu ni Mola pekee. Sasa nataka unionyeshe hapo Yesu anaingia wapi ?“In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God. He was with God in the beginning. Through him all things were made; without him nothing was made that has been made. In him was life, and that life was the light of all mankind. The light shines in the darkness, and the darkness has not overcome it.”
John 1:1-5 NIV
Hapa natamani atokee mtu miongoni mwenu afafanue maandiko yenu na ajibu maswali yangu, nyinyi nyote mnaruka ruka tu, yaani hamyahakiki maandiko kisomi.AISEE NIMECHOKA KUKUELEZEA MAANA HUELEWI
SASA SIKULAZIMISHI UELEWE MAANA HAIBADILI KITU UELEWE USIELEWE YESU ANABAKI KUWA MUNGU
Huu ndiyo ujinga ambao mnajazwa, sasa Biblia ina umaalumu gani mpaka ulitofautishe na Gazeti ? Kuna habari nyingine kwenye gazeti ukizisoma lazima utafakari.Unasoma BIBLIA KAMA GAZETI SASA HATA NIKIKULETEA ANDIKO UTALIELEWA KWELI SI UTASEMA NATAKA NIONE MUSSA KAMTAJA JINA YESU [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu pumzika tu haya mambo tuachie wenye dini yetu we pambana na Issa bin mariam sisi tuachie YESU wetu
Tofauti yangu na nyinyi ni kuwa mimi naanzia kwenye asili nyinyi mnashika matawi. Ili ujue namaanisha nini tamko "KRISTO" ni la asili ya lugha gani ?Hivi unajua hata maana ya neno UKRISTO au pia huelewii umeng’ang’ana sijui dini imekuja sijui lini
Hebu nipe basi maana ya UKRISTO
Wengi ambao huwa wanashindwa hoja humu ndani, huwa wananituhumu kuwa mimi ni MBISHI lakini uko upo dhidi yenu. Shida mnayakimbia maandiko yenu. Someni, huwa nasema hivi laiti Wakristo mngekuwa mna hoji na kuyahakiki maandiko yenu asinge salia hata Mkristo mmoja.Lala upumzike kubishana [emoji23][emoji23]
Sasa si ndiyo ukosoe nilicho kiandika ambacho mimi mwenyewe sikielewi ? Msitumie nguvu nyingi.Mbona kama unachokiandika wewe mwenyewe hukielewi
Rudi kwa kungwii wa dini bado huna maswali ya maana
Hapa hakuna hona tena, yaani unajivunia upotevu na ujinga ? Ila siyo mbaya. Turudi kwenye hoja ya msingi.Najivunia kuwa MkRisto maana sijui kwa hayo majini yalivyowatawala tena mnayasujudiaa ningekuwa nimekimbiaa zamani
Siyo kwa uelewa wa fulani, yaani kwa uhalisia wa mambo kwa mtu yeyote mwenye akilo timamu anajua mwanadamu ni mtu mwanada yaani mwana wa Adamu, kwa maana mwenye chimbuko la Adamu.Kwani mwana wa Adam maana akee nini kwa uelewa wako??
Mtume alikufa, aliumwa akafa.kisai hebu twambie mtume muhammad alikufaje vipi? Natural death? Alipewa sumu?