Pleasepast
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 509
- 848
Jamii Forum bana inaonekana ni mtandao wa wambea wambea yani kila mtu akileta thread basi ujue kaambiwa na mtu uo kama sio umbea ni nini πππ ifike hatua watu muwe wawazi sema tu ni wewe ndio umeliwa na Baba mkwe yaisheHaya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3.
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je, wewe unamsaidiaje huyu binti?
Laana ni myth.Wote wanalaana Baba na mtoto..
Maana hawawezi kushea Mwanamke..
Wote laaana iko juu yao baba na mtoto
Kiuhalisia hii habari siyo halisi kwa vigezo vifuatavyo:Haya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3.
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je, wewe unamsaidiaje huyu binti?
Hiyo nadhani inatumika kudistinguish maneno ili msomaji aielewe taarifa kwa usahihi.Baba mkwe(father-in-law) na hujaolewa bado!!! Haya maneno mkwe, shemeji, wifi, mchumba yanatumika kiholela holela tu, hata barua hujatolewa keshakua baba mkwe!!
ajari kazini!Haya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3.
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je, wewe unamsaidiaje huyu binti?
Yeye achague linalompa furaha tu basi, hata simu zina simu kadi zaidi ya moja, computer zina port zaidi zaidi ya moja. Au resset factoryAisee
Bado lakini hujamshauri binti wa watu
Ili kuepusha laana kwa familia yote kiujumla, atafute mwanaume mwengine wa kumuoa. Makosa siku zote yana gharama na hiyo ndo gharama ya makosa yake.Bado hujamshauri binti
Kuna furaha inayoletwa na jambo la aibu?Yeye achague linalompa furaha tu basi, hata simu zina simu kadi zaidi ya moja, computer zina port zaidi zaidi ya moja. Au resset factory
aendelee na mwanaume wake labda kama baba mkwe ataweka pingamizi ila kama akikausha na yeye akausheUshauri wako kwa binti ni?
Laana sio Myth..Laana ni myth.
AyaNo way out
We endelea kufosi, si ndio mwaka wako wa kufosi? Me sijibugi watu wajingaJamii Forum bana inaonekana ni mtandao wa wambea wambea yani kila mtu akileta thread basi ujue kaambiwa na mtu uo kama sio umbea ni nini πππ ifike hatua watu muwe wawazi sema tu ni wewe ndio umeliwa na Baba mkwe yaishe
We si uwe na pesa aje kwako basi?Kwa mtazamo wa ustaarabu haipendezi. Binti atafute bwana mwingine.
Tatizo wanachagua sana wanataka wenye mapesa mbona sisi tunawaoa nyie bila kipengele cha pesa. Waoaji tupo.
Mbona wako kibao mtaani weweKiuhalisia hii habari siyo halisi kwa vigezo vifuatavyo:
Kutembea na huyo mzee na kisha kuchumbiwa na kijana bila kujua siyo kosa.
Binti kwenda kutambulishwa kwa wazazi na kukuta hawara yake ndiye mkwe, jambo hilo na uchumba huo ungeliishia hapo hapo na thread hii ingeliletwa kwa kichwa cha habari kingine na si hiki.
Lakini binti kukomaa kuendeleza uchumba huo na kutafuta ushauri toka kwa hadhira, ndiyo inathibitisha kuwa jambo hilo ni la kufikirika, halipo ni chai ya strungi yenye tangawizi nyingi kabisa.
Unamsaidiaje?ajari kazini!
SauwaYeye achague linalompa furaha tu basi, hata simu zina simu kadi zaidi ya moja, computer zina port zaidi zaidi ya moja. Au resset factory
SauwaIli kuepusha laana kwa familia yote kiujumla, atafute mwanaume mwengine wa kumuoa. Makosa siku zote yana gharama na hiyo ndo gharama ya makosa yake.
Ingelikuwa baba mtu ameshafariki na siri ya kutembea nae imebakia kwake yeye tu then ningemshauri atubu kwa mola wake toba ya kweli na aendelee na mipango ya harusi akiwa ameazimia kutoshare na mtu yoyote hiyo siri.
Sauwa wajinaaendelee na mwanaume wake labda kama baba mkwe ataweka pingamizi ila kama akikausha na yeye akaushe
Preach preacherLaana sio Myth..
Laana ni Mikosi, na Kushindwa kufanikiwa