Ninataka kwanza bi Aaliyyah atoe idhni,akitoa idhni kina husseyin bolt tuanze kaziπππππ.Sheikh we endelea mshindi atasaini cheti
Masharti yangu usingeyawezaNinataka kwanza bi Aaliyyah atoe idhni,akitoa idhni kina husseyin bolt tuanze kaziπππππ.
Maana nilikua nammendea ephen_ akajikuta anampenda sana kada wa CCM kutoka Mbeya Bunji a.k.a Lucas Mwashambwa .
Aah wee watu tunaishi na masharti ya mizimu sembuse wewe toto la Kagera!??Masharti yangu usingeyaweza
Kwani kwa watia Nia wengine alitoa idhini?Ninataka kwanza bi Aaliyyah atoe idhni,akitoa idhni kina husseyin bolt tuanze kaziπππππ.
Maana nilikua nammendea ephen_ akajikuta anampenda sana kada wa CCM kutoka Mbeya Bunji a.k.a Lucas Mwashambwa .
Aaah mie nipe idhini bana usije ukanikata moto huko mbele.Kwani kwa watia Nia wengine alitoa idhini?
Hata mimi namshangaa masharti gani hayo magumu!?asikutishe anamasharti gani sasa huyo ephen_ vi vocha...π€£
ye kuharibia wenzake tu lakini kuolewa aaaahh!.
π€£πNa Kuna wanaume wanajuaga kuangalia aiseeee .,..Yani atakuangalia flani hivi Kwa mahaba Sana mpaka utaloose confidenceWiki inayofuata nikaenda shule kama kawaida tulikuwa na ratiba baada ya vipindi vya asubhi na Ilikuwa ni wiki ya kufunga ni Michezo jioni tunashindana baina ya madarasa hivo ni eneo la wazi watu wa maeneo ya karibu wanakuja kuangalia mpira
Nilikuwa mshangiliaji mzuri Sana Sina hili Wala lile naona wenzangu wamenikazia macho sana nikaona sio kesi nikaendelea zangu kushangalia rafikiyangu akanifata akanambia angalia kule juu
Aisee nilishtuka H huyu hapa kapendeza hata ukae Kona ipi unaona kijana wa watu alivosmart kiroho kikaanza kudunda
Wakati nashangaa shangaa nikaletewa ujumbe kwenye kikaratasi
"Nataka kuongea na wewe kipenzi"
Nikasoma.nikatabasamu hakuondka Hadi mpira ulivoisha kengele ikagongwa tukaruhusiwa Nikapewa ujumbe nasubiriwa njia fulani na H nipite huko sababu kwetu hakukuwa mbali na shule hizo hiyo njia ni mzunguko kama.dakika 25 had kufika kwetu
Nikapita ile njia kama nikivoelekezwa nikamkuta H kasimama ananisubiri akanipa mkono kunisalimia nami nikapokea ndo Ilikuwa siku ya kwanza tunapeana mkono kma hivo tukaanza story huku tunaelekea nyumbani ilikuja story za kawaida za shule nilipokaribia home akaniacha akaondoka akasema atakuja siku inayofuata
Siku ya pili akaja Tena ikawa hivo nakumbuka Ilikuwa ijumaa siku ambayo siis tulifunga shule nae alikuja akawa amekaa kule njiani ananisubiri aisee nikagundua Kwa yule Kaka sichomoi Yani akiniangilia ni kama naishiwa pozi
Siku alijipanga naona nilikuwa nimechelewa kutoka
Alivoniona akanihug mm Kwa aibu aibu nikakubali lakini ni kama network zilikata
Nilikiwa akanishika mkono akaanza maneno yake Yale ya kwenye barua nikawa nimesimama nimejinamia muda wote namuangalia Kwa kuibiaπππ
Akanambia vipi mbona uko hivo nikamjibu amna kitu nilikuwa kimya mda wote akasema nataka kuongea na wewe Leo Hadi jion nikamwambia sawa hakuna tabu hatukuwa na sehemu ya kwenda wakat ule tukatafuta sehemu tukakaa muda huo mm mgeni wa kilakitu kwenye mahusiano naona aibu tu siwez hata nilichokuwa nashangaa spidi ya damu kutembea mwilini imeongezeka confidence Iko low akiningalia ni kama natamani kukimbia lakn siwez πππ
utazeekea nyumbani nenda kapambane na wake wenzako huko!Awaache wake zake wote wawili na michepuko then ndio anioe
Ni mtu mbili tu mimi na yeye
πππππππNinaweza kufanya hivyo ila je unaweza kutimiza watimizayo hao wake zangu wawili!??Awaache wake zake wote wawili na michepuko then ndio anioe
Ni mtu mbili tu mimi na yeye
Eti masharti ya mizimu ππAah wee watu tunaishi na masharti ya mizimu sembuse wewe toto la Kagera!??
Ndio mkuu watu tunaishi na masharti hayo so poaπππ.Eti masharti ya mizimu ππ
Aiseee we ndio wife material sasa wadada kama ninyi mnajifungiaga wapi!??Sikuliwa mkuu πππ niliachwa kabla sijaliwa
Hujui kuridhikaπππππππNinaweza kufanya hivyo ila je unaweza kutimiza watimizayo hao wake zangu wawili!??
Maana kila mmoja ameolewa kwa sababuyee.
Miss_Mariaahπ€£πNa Kuna wanaume wanajuaga kuangalia aiseeee .,..Yani atakuangalia flani hivi Kwa mahaba Sana mpaka utaloose confidence
Najua kuridhika japo asilimia kubwa ya wanaume hawaridhiki na futa moja la kushenyenta.Hujui kuridhika
Me mama yangu Yuko tofautiππππππalikuaga ananihurumia Sana Yani tunaumia woteπππ
Nikiwa mkubwa mkubwa, kuna siku nikawa mood off, yaani ile totally shut down, of course nilikuwa nimekosana na babe wangu nilikuwa nampenda kuliko hela, huwa sitakagi kuongea na mtu,
My Mom akanipigia simu sikupokea, baadaye tena akanirudia nikamuambia siko sawa, hata hakutaka kujua chanzo ni nini, aiseeeh' alinisimanga balaa, eti 'najua tu huo ni upumbavu wa wanaume', akanigombeza kisha akanikatia simu, ndiyo nikalia vizuri kwa mayowe kabisa, sasa unaanza kunigombeza badala unisikilize kwanza..!!?
Africans Mom hapana..!!πππ
Baki na wake zakoNajua kuridhika japo asilimia kubwa ya wanaume hawaridhiki na futa moja la kushenyenta.
Ila zingatia kauli nilosema "kila mmoja kaolewa kwa sababu yake".
Kama unaweza kuzibeba sababu zote wewe peke yako tawiree.