Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Hili kabila bhana😁😁😁😁juzi niko kwenye bus kwenda sehemu fulani,nimekaa na msukuma seat moja ghafla wakaanza kuongea kilugha na msukuma mwenzie aliyeseat ya 50 😳😳😳wakati huo tuko seat 20 huko aise Nilitamani nimzabue makonzi phaller yule maana alishanikwaza na mziki wake tangu tunaanza safari😌.

Hili kabila inabidi liwe kundi maalum shenzi kabisa
Pole ila zingatia huu ushauri
FB_IMG_17241893629501483.jpg
 
Wiki inayofuata nikaenda shule kama kawaida tulikuwa na ratiba baada ya vipindi vya asubhi na Ilikuwa ni wiki ya kufunga ni Michezo jioni tunashindana baina ya madarasa hivo ni eneo la wazi watu wa maeneo ya karibu wanakuja kuangalia mpira

Nilikuwa mshangiliaji mzuri Sana Sina hili Wala lile naona wenzangu wamenikazia macho sana nikaona sio kesi nikaendelea zangu kushangalia rafikiyangu akanifata akanambia angalia kule juu
Aisee nilishtuka H huyu hapa kapendeza hata ukae Kona ipi unaona kijana wa watu alivosmart kiroho kikaanza kudunda

Wakati nashangaa shangaa nikaletewa ujumbe kwenye kikaratasi

"Nataka kuongea na wewe kipenzi"
Nikasoma.nikatabasamu hakuondka Hadi mpira ulivoisha kengele ikagongwa tukaruhusiwa Nikapewa ujumbe nasubiriwa njia fulani na H nipite huko sababu kwetu hakukuwa mbali na shule hizo hiyo njia ni mzunguko kama.dakika 25 had kufika kwetu

Nikapita ile njia kama nikivoelekezwa nikamkuta H kasimama ananisubiri akanipa mkono kunisalimia nami nikapokea ndo Ilikuwa siku ya kwanza tunapeana mkono kma hivo tukaanza story huku tunaelekea nyumbani ilikuja story za kawaida za shule nilipokaribia home akaniacha akaondoka akasema atakuja siku inayofuata

Siku ya pili akaja Tena ikawa hivo nakumbuka Ilikuwa ijumaa siku ambayo siis tulifunga shule nae alikuja akawa amekaa kule njiani ananisubiri aisee nikagundua Kwa yule Kaka sichomoi Yani akiniangilia ni kama naishiwa pozi
Siku alijipanga naona nilikuwa nimechelewa kutoka
Alivoniona akanihug mm Kwa aibu aibu nikakubali lakini ni kama network zilikata
Nilikiwa akanishika mkono akaanza maneno yake Yale ya kwenye barua nikawa nimesimama nimejinamia muda wote namuangalia Kwa kuibia😃😃😃
Akanambia vipi mbona uko hivo nikamjibu amna kitu nilikuwa kimya mda wote akasema nataka kuongea na wewe Leo Hadi jion nikamwambia sawa hakuna tabu hatukuwa na sehemu ya kwenda wakat ule tukatafuta sehemu tukakaa muda huo mm mgeni wa kilakitu kwenye mahusiano naona aibu tu siwez hata nilichokuwa nashangaa spidi ya damu kutembea mwilini imeongezeka confidence Iko low akiningalia ni kama natamani kukimbia lakn siwez 😂😂😂
 
Wiki inayofuata nikaenda shule kama kawaida tulikuwa na ratiba baada ya vipindi vya asubhi na Ilikuwa ni wiki ya kufunga ni Michezo jioni tunashindana baina ya madarasa hivo ni eneo la wazi watu wa maeneo ya karibu wanakuja kuangalia mpira

Nilikuwa mshangiliaji mzuri Sana Sina hili Wala lile naona wenzangu wamenikazia macho sana nikaona sio kesi nikaendelea zangu kushangalia rafikiyangu akanifata akanambia angalia kule juu
Aisee nilishtuka H huyu hapa kapendeza hata ukae Kona ipi unaona kijana wa watu alivosmart kiroho kikaanza kudunda

Wakati nashangaa shangaa nikaletewa ujumbe kwenye kikaratasi

"Nataka kuongea na wewe kipenzi"
Nikasoma.nikatabasamu hakuondka Hadi mpira ulivoisha kengele ikagongwa tukaruhusiwa Nikapewa ujumbe nasubiriwa njia fulani na H nipite huko sababu kwetu hakukuwa mbali na shule hizo hiyo njia ni mzunguko kama.dakika 25 had kufika kwetu

Nikapita ile njia kama nikivoelekezwa nikamkuta H kasimama ananisubiri akanipa mkono kunisalimia nami nikapokea ndo Ilikuwa siku ya kwanza tunapeana mkono kma hivo tukaanza story huku tunaelekea nyumbani ilikuja story za kawaida za shule nilipokaribia home akaniacha akaondoka akasema atakuja siku inayofuata

Siku ya pili akaja Tena ikawa hivo nakumbuka Ilikuwa ijumaa siku ambayo siis tulifunga shule nae alikuja akawa amekaa kule njiani ananisubiri aisee nikagundua Kwa yule Kaka sichomoi Yani akiniangilia ni kama naishiwa pozi
Siku alijipanga naona nilikuwa nimechelewa kutoka
Alivoniona akanihug mm Kwa aibu aibu nikakubali lakini ni kama network zilikata
Nilikiwa akanishika mkono akaanza maneno yake Yale ya kwenye barua nikawa nimesimama nimejinamia muda wote namuangalia Kwa kuibia😃😃😃
Akanambia vipi mbona uko hivo nikamjibu amna kitu nilikuwa kimya mda wote akasema nataka kuongea na wewe Leo Hadi jion nikamwambia sawa hakuna tabu hatukuwa na sehemu ya kwenda wakat ule tukatafuta sehemu tukakaa muda huo mm mgeni wa kilakitu kwenye mahusiano naona aibu tu siwez hata nilichokuwa nashangaa spidi ya damu kutembea mwilini imeongezeka confidence Iko low akiningalia ni kama natamani kukimbia lakn siwez 😂😂😂
Shusha vitu! Nasubiri kimasikhara☺️
 
Hili kabila bhana😁😁😁😁juzi niko kwenye bus kwenda sehemu fulani,nimekaa na msukuma seat moja ghafla wakaanza kuongea kilugha na msukuma mwenzie aliyeseat ya 50 😳😳😳wakati huo tuko seat 20 huko aise Nilitamani nimzabue makonzi phaller yule maana alishanikwaza na mziki wake tangu tunaanza safari😌.

Hili kabila inabidi liwe kundi maalum shenzi kabisa
Aiseee hebu watake radhi Wasukuma 😂😂😂🙌
 
Wiki inayofuata nikaenda shule kama kawaida tulikuwa na ratiba baada ya vipindi vya asubhi na Ilikuwa ni wiki ya kufunga ni Michezo jioni tunashindana baina ya madarasa hivo ni eneo la wazi watu wa maeneo ya karibu wanakuja kuangalia mpira

Nilikuwa mshangiliaji mzuri Sana Sina hili Wala lile naona wenzangu wamenikazia macho sana nikaona sio kesi nikaendelea zangu kushangalia rafikiyangu akanifata akanambia angalia kule juu
Aisee nilishtuka H huyu hapa kapendeza hata ukae Kona ipi unaona kijana wa watu alivosmart kiroho kikaanza kudunda

Wakati nashangaa shangaa nikaletewa ujumbe kwenye kikaratasi

"Nataka kuongea na wewe kipenzi"
Nikasoma.nikatabasamu hakuondka Hadi mpira ulivoisha kengele ikagongwa tukaruhusiwa Nikapewa ujumbe nasubiriwa njia fulani na H nipite huko sababu kwetu hakukuwa mbali na shule hizo hiyo njia ni mzunguko kama.dakika 25 had kufika kwetu

Nikapita ile njia kama nikivoelekezwa nikamkuta H kasimama ananisubiri akanipa mkono kunisalimia nami nikapokea ndo Ilikuwa siku ya kwanza tunapeana mkono kma hivo tukaanza story huku tunaelekea nyumbani ilikuja story za kawaida za shule nilipokaribia home akaniacha akaondoka akasema atakuja siku inayofuata

Siku ya pili akaja Tena ikawa hivo nakumbuka Ilikuwa ijumaa siku ambayo siis tulifunga shule nae alikuja akawa amekaa kule njiani ananisubiri aisee nikagundua Kwa yule Kaka sichomoi Yani akiniangilia ni kama naishiwa pozi
Siku alijipanga naona nilikuwa nimechelewa kutoka
Alivoniona akanihug mm Kwa aibu aibu nikakubali lakini ni kama network zilikata
Nilikiwa akanishika mkono akaanza maneno yake Yale ya kwenye barua nikawa nimesimama nimejinamia muda wote namuangalia Kwa kuibia😃😃😃
Akanambia vipi mbona uko hivo nikamjibu amna kitu nilikuwa kimya mda wote akasema nataka kuongea na wewe Leo Hadi jion nikamwambia sawa hakuna tabu hatukuwa na sehemu ya kwenda wakat ule tukatafuta sehemu tukakaa muda huo mm mgeni wa kilakitu kwenye mahusiano naona aibu tu siwez hata nilichokuwa nashangaa spidi ya damu kutembea mwilini imeongezeka confidence Iko low akiningalia ni kama natamani kukimbia lakn siwez 😂😂😂
Ikiendelea nitag Ms Aaliyyah
 
Akanambia tulia basi mbona uko hivo nikamwambia hakuna kitu Niko normal
Ngoja nielezee situation hapa

Akanisogelea Zaid safar hii akanishika mikono yote miwili akataka nimkumbatie nikamtoa nikaona aibu akanambia huku watu hawapiti tuko wenyew tu usiogope Hapo tumesimama mda mrefu nikajifanya miguu inauma akasema bas tutafute sehemu tukae tukaangalia mazingira kulikuwa na mawe mengi sehemu hiyo na miti sio mikubwa tukatafuta jiwe moja kubwa tukakaa muda wote anataka kunisogolea mm kma nakwepa 😃😃

Akasema hawez kukaa na mm vile nimuelewe tu nimsogelee nimuegamie begani inatosha nikafnya hivo story zinaendelea nikaanza kujua kumbe hay mambo ndo Raha hii mara akasema njoo nijaribu kukubeba kama naweza tukasimama akanibeba kama.hatua tano hivi nikaanza kuhis uoga unaisha sana nilifurahi sana nikaanza kujichekesha wakat huo mda umesogea sana nikamwambia tuondoke isije home ikawa msala maana n kigiza kama kinaanza huwez amini sikuwa nimekula ila sikuwa nasikia njaa 😃

😃muda huo tulikuwa mbali kidogo tukaanza kurudi huku kanishika mkono ananipigisha story namna alivolia siku nilomkataa anasema angekufa sikuile nisingekubali 😀

Tulivofika karibia home kigiza Kwa mbali Ilikuwa saa 12 jioni akanambia tusimame hapa kule Kuna watu nikuage nikakubali

Nikasogelea kisawasawa nikashikwa vizuri nikapigwa busu la kikatili nkahis mwili na akili havina mawasiliano sikuwa kufanyiwa hayo mambo akili ikagnda nikaishiwa nguvu miguu inatetemeka akuniacha nilichnganyikiwa sio Siri 😂😂😂
Akasema atakuja siku inayofuata nikamsimama kwanza Kwa muda akauliza vipi mbona huenda nikamwambia naenda nikaanza kujivuta narudi nyumbani 😂😂

Kufika home akili haipo nawaza lile jambo Kila nikakaa nasema nn hiki mbona sipo kawaida mwili kma nimeazima
 
Hili kabila bhana😁😁😁😁juzi niko kwenye bus kwenda sehemu fulani,nimekaa na msukuma seat moja ghafla wakaanza kuongea kilugha na msukuma mwenzie aliyeseat ya 50 😳😳😳wakati huo tuko seat 20 huko aise Nilitamani nimzabue makonzi phaller yule maana alishanikwaza na mziki wake tangu tunaanza safari😌.

Hili kabila inabidi liwe kundi maalum shenzi kabisa
Nilisafiri toka Dodoma kuelekea Kanda ya ziwa nikapanda bus moja limejaa hao jamaa, aiseeee ni wanakula ndani ya bus sijawahi ona
 
Back
Top Bottom