Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Kati vitu vinavyo umiza hisia na kuacha kumbukumbu ngumu maishani mwa binadamu ni mapenzi.
Kama kungekuwa na uwezo wa kutenganisha mapenzi na hisia maisha yangekuwa mazuri mno!
Binafsi nayachukia mapenzi mpaka kesho!
Uzi huu umenirudisha nyuma miaka 20 hivi i can't forget aisee.
 
Hili kabila bhana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]juzi niko kwenye bus kwenda sehemu fulani,nimekaa na msukuma seat moja ghafla wakaanza kuongea kilugha na msukuma mwenzie aliyeseat ya 50 [emoji15][emoji15][emoji15]wakati huo tuko seat 20 huko aise Nilitamani nimzabue makonzi phaller yule maana alishanikwaza na mziki wake tangu tunaanza safari[emoji18].

Hili kabila inabidi liwe kundi maalum shenzi kabisa
Easy Easy Easy!
 
Usiku ule sikulala vizuri Yani niliwaza sana mabadiliko Yale sio ya kawaida nilipoamka kilamda naangalia Kwa kina Irene labda nitamuona H sikumuona nikaenda kuulizia wakasema hajaja jioni yake kulikuwa na sherehw nyumba ya jirani kama saa mbili hivi nikamuomba mama nikaangalie akasema sawa

Akiliyangu nawaza huenda H atakuja sikuile nikaangalia sikumuona akaja kaka mmoja wa pale mtaani alikuwa ananiaproach wakat huo
Akanisemesha nikamjibu alisimama na mm pale kama dakika 10 hivi nikaondoka kurudi nyumbani

Huku roho inaniuma sijamuona H
Asubuhi siku ilofuata nikaenda.kwa rafiki yangu nikamsimulia H alivokuja akasema alimpigia pia H ananipenda Sana,nikafurahi kusikia hivo 😂 nikajipa moyo Atakuja sikuile nikaazima.simu nikambeep akapiga akasema atakuja nikafurahi akanambia anikute wapi

Nikawahi sana maana sikuwa na simu mara akafika tukakaa ila ni kama hakuwa sawa

Ilikuwa ni sehemu ya wazi hivo hakiweza kunikumbatia hakuwa na story kabisa kama nilivozoea
Mimi;mbona kama unaumwa
H;nikopoa
Mimi;sawa
H;unajua kama nakupenda sana wewe
Mimi;najua
H;umefanya Nini Jana
Nikasema uwiii wambea wa Kijiji washafanya Yao 😭
Mimi;hakuna kitu Kuna Nini
H;kunamtu ulikuwa nae Jana ni mwanaume wako?chozi likamtoka
Mimi;nikasema hapana

. Nikakumbuka yule kaka alikuja simama na mm pale kwenye sherehe na sikukaa nikarudia kulala

H;akasema kaambiwa yote Jana nilitoka na yule mtu nikaenda kulala nae nikarud nyumbani saa 4 usiku 😭😭😭

Aiseeilikuwa kama kisu kinapita kwenye moyo na sikuwaga na ujasiri wa kujitetea Kila nikitaka kusema Kama nimekabwa maneno hayotoki machozi ndo yanakuja
H akasimama akaondoka akaniacha pale nikaondoka nikaenda kwa Irene nikaanza kulia Tena 😭😭😭nililia sana Irene akasema atampigia niongee nae
Nikasema nasubir sikuweza kula Wala kunywa maji sikuile jioni Irene akasema kaweka vocha tumpigie
 
Usiku ule sikulala vizuri Yani niliwaza sana mabadiliko Yale sio ya kawaida nilipoamka kilamda naangalia Kwa kina Irene labda nitamuona H sikumuona nikaenda kuulizia wakasema hajaja jioni yake kulikuwa na sherehw nyumba ya jirani kama saa mbili hivi nikamuomba mama nikaangalie akasema sawa

Akiliyangu nawaza huenda H atakuja sikuile nikaangalia sikumuona akaja kaka mmoja wa pale mtaani alikuwa ananiaproach wakat huo
Akanisemesha nikamjibu alisimama na mm pale kama dakika 10 hivi nikaondoka kurudi nyumbani

Huku roho inaniuma sijamuona H
Asubuhi siku ilofuata nikaenda.kwa rafiki yangu nikamsimulia H alivokuja akasema alimpigia pia H ananipenda Sana,nikafurahi kusikia hivo 😂 nikajipa moyo Atakuja sikuile nikaazima.simu nikambeep akapiga akasema atakuja nikafurahi akanambia anikute wapi

Nikawahi sana maana sikuwa na simu mara akafika tukakaa ila ni kama hakuwa sawa

Ilikuwa ni sehemu ya wazi hivo hakiweza kunikumbatia hakuwa na story kabisa kama nilivozoea
Mimi;mbona kama unaumwa
H;nikopoa
Mimi;sawa
H;unajua kama nakupenda sana wewe
Mimi;najua
H;umefanya Nini Jana
Nikasema uwiii wambea wa Kijiji washafanya Yao 😭
Mimi;hakuna kitu Kuna Nini
H;kunamtu ulikuwa nae Jana ni mwanaume wako?chozi likamtoka
Mimi;nikasema hapana

. Nikakumbuka yule kaka alikuja simama na mm pale kwenye sherehe na sikukaa nikarudia kulala

H;akasema kaambiwa yote Jana nilitoka na yule mtu nikaenda kulala nae nikarud nyumbani saa 4 usiku 😭😭😭

Aiseeilikuwa kama kisu kinapita kwenye moyo na sikuwaga na ujasiri wa kujitetea Kila nikitaka kusema Kama nimekabwa maneno hayotoki machozi ndo yanakuja
H akasimama akaondoka akaniacha pale nikaondoka nikaenda kwa Irene nikaanza kulia Tena 😭😭😭nililia sana Irene akasema atampigia niongee nae
Nikasema nasubir sikuweza kula Wala kunywa maji sikuile jioni Irene akasema kaweka vocha tumpigie
Dah masikini mapenzi kumanyoko yaani hapo bado hata kobelo haujaliona ila unalia ? Mungu fundi bwana
Sababu ni kweli ninakumbukumbu had za chekechekea hapa nilipo Nina afya njema,sinywi pombe sivuti bangi so akili yangu ni ngumu kusahau nakumbuka had nilosoma nae vidudu Kwa sura na matukio Yao yote
Umeikosea Sana pombe mdogo wangu ,usirudie tena
 
Akampigia
Irene akamsalimia akanipa simu
H;mambo
Mimi;poa Ile kinyonge
H;unasemaje
Mimi;nataka kukuelezea ilivokuwa
H; sitaki kusikia umeniumiza sana umevunja uamninifu kama unamtu si ungenambia kwanini unidanganye mim na wewe ndio basi na kesho naondoka siwez kukaa hapa na maumivu kiasi hiki na hutaniona Tena
Niliangua kilio kama nimefiwa nikawachukia watu sana hakusinisikiliza akakata na simu
Nilijiuliza hiyo story zilimfikiaje sikukaa pale hata dakika 10 nikajita kwenda pale nikajuta kuongea na yule kaka nilimchukia kupita kiasi

H akaondoka kweli hakutaka kuniona nikatuma barua hazikujibiwa nilihangaika sana Sasa kilichonitesa ni hisia zile moment zilinichanganya kuachwa ghafla kukanitesa kila nikipata memory kuhus H nahis naishiwa nguvu napata hali flan isiyo ya kawaida kwenye mwili Ni kama napigwa shot 😭😭😭Kila ikifika usiku naamka nakaa kitandani naanza kulia😂😂😂

Siku moja mamaang akanikuta nimeangua kilio balaa akasonya akaondoka
Kutoka wakat huo nikajua hisia zinatesa kuliko hata hayo mapenzi yenyew Ile hali ya kushindwa kujitetea na kutosikilizwa ilinitesa sana nilikuwa natamni aje nimwambie ila namuonea wapi nae hakutaka kabisa kurudi alivofanya mtihani akaenda Kwa nduguzake wengine Irene akasema nimuache tu Aishi maishayake
 
Akampigia
Irene akamsalimia akanipa simu
H;mambo
Mimi;poa Ile kinyonge
H;unasemaje
Mimi;nataka kukuelezea ilivokuwa
H; sitaki kusikia umeniumiza sana umevunja uamninifu kama unamtu si ungenambia kwanini unidanganye mim na wewe ndio basi na kesho naondoka siwez kukaa hapa na maumivu kiasi hiki na hutaniona Tena
Niliangua kilio kama nimefiwa nikawachukia watu sana hakusinisikiliza akakata na simu
Nilijiuliza hiyo story zilimfikiaje sikukaa pale hata dakika 10 nikajita kwenda pale nikajuta kuongea na yule kaka nilimchukia kupita kiasi

H akaondoka kweli hakutaka kuniona nikatuma barua hazikujibiwa nilihangaika sana Sasa kilichonitesa ni hisia zile moment zilinichanganya kuachwa ghafla kukanitesa kila nikipata memory kuhus H nahis naishiwa nguvu napata hali flan isiyo ya kawaida kwenye mwili Ni kama napigwa shot 😭😭😭Kila ikifika usiku naamka nakaa kitandani naanza kulia😂😂😂

Siku moja mamaang akanikuta nimeangua kilio balaa akasonya akaondoka
Kutoka wakat huo nikajua hisia zinatesa kuliko hata hayo mapenzi yenyew Ile hali ya kushindwa kujitetea na kutosikilizwa ilinitesa sana nilikuwa natamni aje nimwambie ila namuonea wapi nae hakutaka kabisa kurudi alivofanya mtihani akaenda Kwa nduguzake wengine Irene akasema nimuache tu Aishi maishayake
😂Mbona huliwi, au story imeishia hapa
 
Akampigia
Irene akamsalimia akanipa simu
H;mambo
Mimi;poa Ile kinyonge
H;unasemaje
Mimi;nataka kukuelezea ilivokuwa
H; sitaki kusikia umeniumiza sana umevunja uamninifu kama unamtu si ungenambia kwanini unidanganye mim na wewe ndio basi na kesho naondoka siwez kukaa hapa na maumivu kiasi hiki na hutaniona Tena
Niliangua kilio kama nimefiwa nikawachukia watu sana hakusinisikiliza akakata na simu
Nilijiuliza hiyo story zilimfikiaje sikukaa pale hata dakika 10 nikajita kwenda pale nikajuta kuongea na yule kaka nilimchukia kupita kiasi

H akaondoka kweli hakutaka kuniona nikatuma barua hazikujibiwa nilihangaika sana Sasa kilichonitesa ni hisia zile moment zilinichanganya kuachwa ghafla kukanitesa kila nikipata memory kuhus H nahis naishiwa nguvu napata hali flan isiyo ya kawaida kwenye mwili Ni kama napigwa shot 😭😭😭Kila ikifika usiku naamka nakaa kitandani naanza kulia😂😂😂

Siku moja mamaang akanikuta nimeangua kilio balaa akasonya akaondoka
Kutoka wakat huo nikajua hisia zinatesa kuliko hata hayo mapenzi yenyew Ile hali ya kushindwa kujitetea na kutosikilizwa ilinitesa sana nilikuwa natamni aje nimwambie ila namuonea wapi nae hakutaka kabisa kurudi alivofanya mtihani akaenda Kwa nduguzake wengine Irene akasema nimuache tu Aishi maishayake
Story imeisha?
 
Back
Top Bottom