Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Sababu ni kweli ninakumbukumbu had za chekechekea hapa nilipo Nina afya njema,sinywi pombe sivuti bangi so akili yangu ni ngumu kusahau nakumbuka had nilosoma nae vidudu Kwa sura na matukio Yao yote
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃhivi kumbe ni bangi na pombe ndio zinafanya tunasahau watu?aisee yaani mimi naambiwaga naringa watu niliosoma nao nawakumbuka wachache sana ambao nilikuwa nao close flan ila kama ulikuwa tu classmates halafu mpole ndio sikukumbuki kabisaaaaa
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… heri wewe

mimi nilikua mshamba wajanja wakanibebea bebi pale high school wakabebeshana hadi mimba. Imagine watu wana kiss class na wewe upo ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ
 
Akampigia
Irene akamsalimia akanipa simu
H;mambo
Mimi;poa Ile kinyonge
H;unasemaje
Mimi;nataka kukuelezea ilivokuwa
H; sitaki kusikia umeniumiza sana umevunja uamninifu kama unamtu si ungenambia kwanini unidanganye mim na wewe ndio basi na kesho naondoka siwez kukaa hapa na maumivu kiasi hiki na hutaniona Tena
Niliangua kilio kama nimefiwa nikawachukia watu sana hakusinisikiliza akakata na simu
Nilijiuliza hiyo story zilimfikiaje sikukaa pale hata dakika 10 nikajita kwenda pale nikajuta kuongea na yule kaka nilimchukia kupita kiasi

H akaondoka kweli hakutaka kuniona nikatuma barua hazikujibiwa nilihangaika sana Sasa kilichonitesa ni hisia zile moment zilinichanganya kuachwa ghafla kukanitesa kila nikipata memory kuhus H nahis naishiwa nguvu napata hali flan isiyo ya kawaida kwenye mwili Ni kama napigwa shot ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญKila ikifika usiku naamka nakaa kitandani naanza kulia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Siku moja mamaang akanikuta nimeangua kilio balaa akasonya akaondoka
Kutoka wakat huo nikajua hisia zinatesa kuliko hata hayo mapenzi yenyew Ile hali ya kushindwa kujitetea na kutosikilizwa ilinitesa sana nilikuwa natamni aje nimwambie ila namuonea wapi nae hakutaka kabisa kurudi alivofanya mtihani akaenda Kwa nduguzake wengine Irene akasema nimuache tu Aishi maishayake
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃila African mama wamepinda jamani yaani hajataka kujichosha kukuuliza kajua tu foolish age inamsumbua huyu
 
Usiku ule sikulala vizuri Yani niliwaza sana mabadiliko Yale sio ya kawaida nilipoamka kilamda naangalia Kwa kina Irene labda nitamuona H sikumuona nikaenda kuulizia wakasema hajaja jioni yake kulikuwa na sherehw nyumba ya jirani kama saa mbili hivi nikamuomba mama nikaangalie akasema sawa

Akiliyangu nawaza huenda H atakuja sikuile nikaangalia sikumuona akaja kaka mmoja wa pale mtaani alikuwa ananiaproach wakat huo
Akanisemesha nikamjibu alisimama na mm pale kama dakika 10 hivi nikaondoka kurudi nyumbani

Huku roho inaniuma sijamuona H
Asubuhi siku ilofuata nikaenda.kwa rafiki yangu nikamsimulia H alivokuja akasema alimpigia pia H ananipenda Sana,nikafurahi kusikia hivo ๐Ÿ˜‚ nikajipa moyo Atakuja sikuile nikaazima.simu nikambeep akapiga akasema atakuja nikafurahi akanambia anikute wapi

Nikawahi sana maana sikuwa na simu mara akafika tukakaa ila ni kama hakuwa sawa

Ilikuwa ni sehemu ya wazi hivo hakiweza kunikumbatia hakuwa na story kabisa kama nilivozoea
Mimi;mbona kama unaumwa
H;nikopoa
Mimi;sawa
H;unajua kama nakupenda sana wewe
Mimi;najua
H;umefanya Nini Jana
Nikasema uwiii wambea wa Kijiji washafanya Yao ๐Ÿ˜ญ
Mimi;hakuna kitu Kuna Nini
H;kunamtu ulikuwa nae Jana ni mwanaume wako?chozi likamtoka
Mimi;nikasema hapana

. Nikakumbuka yule kaka alikuja simama na mm pale kwenye sherehe na sikukaa nikarudia kulala

H;akasema kaambiwa yote Jana nilitoka na yule mtu nikaenda kulala nae nikarud nyumbani saa 4 usiku ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Aiseeilikuwa kama kisu kinapita kwenye moyo na sikuwaga na ujasiri wa kujitetea Kila nikitaka kusema Kama nimekabwa maneno hayotoki machozi ndo yanakuja
H akasimama akaondoka akaniacha pale nikaondoka nikaenda kwa Irene nikaanza kulia Tena ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญnililia sana Irene akasema atampigia niongee nae
Nikasema nasubir sikuweza kula Wala kunywa maji sikuile jioni Irene akasema kaweka vocha tumpigie
yani penzi halina hata week mshaanza kutoana machozi
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃila African mama wamepinda jamani yaani hajataka kujichosha kukuuliza kajua tu foolish age inamsumbua huyu
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nikiwa mkubwa mkubwa, kuna siku nikawa mood off, yaani ile totally shut down, of course nilikuwa nimekosana na babe wangu nilikuwa nampenda kuliko hela, huwa sitakagi kuongea na mtu,

My Mom akanipigia simu sikupokea, baadaye tena akanirudia nikamuambia siko sawa, hata hakutaka kujua chanzo ni nini, aiseeeh' alinisimanga balaa, eti 'najua tu huo ni upumbavu wa wanaume', akanigombeza kisha akanikatia simu, ndiyo nikalia vizuri kwa mayowe kabisa, sasa unaanza kunigombeza badala unisikilize kwanza..!!?

Africans Mom hapana..!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nikiwa mkubwa mkubwa, kuna siku nikawa mood off, yaani ile totally shut down, of course nilikuwa nimekosana na babe wangu nilikuwa nampenda kuliko hela, huwa sitakagi kuongea na mtu,

My Mom akanipigia simu sikupokea, baadaye tena akanirudia nikamuambia siko sawa, hata hakutaka kujua chanzo ni nini, aiseeeh' alinisimanga balaa, eti 'najua tu huo ni upumbavu wa wanaume', akanigombeza kisha akanikatia simu, ndiyo nikalia vizuri kwa mayowe kabisa, sasa unaanza kunigombeza badala unisikilize kwanza..!!?

Africans Mom hapana..!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃingekuwa ulaya mama angepanda hata tren ya umeme aje kukusikiliza,tena shukuru ulikuwa mbali ungeweza Chezeaa hata banzi la mgongo au ndala
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nikiwa mkubwa mkubwa, kuna siku nikawa mood off, yaani ile totally shut down, of course nilikuwa nimekosana na babe wangu nilikuwa nampenda kuliko hela, huwa sitakagi kuongea na mtu,

My Mom akanipigia simu sikupokea, baadaye tena akanirudia nikamuambia siko sawa, hata hakutaka kujua chanzo ni nini, aiseeeh' alinisimanga balaa, eti 'najua tu huo ni upumbavu wa wanaume', akanigombeza kisha akanikatia simu, ndiyo nikalia vizuri kwa mayowe kabisa, sasa unaanza kunigombeza badala unisikilize kwanza..!!?

Africans Mom hapana..!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
African mom ni walezi tu, majujumu mengine wana dodge sana
 
Kunatukio nilisahau

Baada ya Ile siku ya tukio na kuachwa nilikutana na yule kaka nilosimama nae pale kwenye sherehe nae alisikia hiz tetesi nilimlaum nikajua yeye ndio kaongea uongo akasema nitampata alisema sababu story mtaani Ilikuwa hiyo tu mm kuliwa na kuachwa na H ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Baada ya masaa hiv nikaja kuitwa na Irene yule kijana alimpata aliesambaza hizo habari za uongo alafu yule kijana aliekuwa ananiaproach alikuwa Mkubwa kuliko sisi hivo Ilikuwa rahis kumpata nikamkuta kamshika shati kisawa sawa

Nilivofika akasema aniambie alichosema akakubali yeye ndio alisema baada ya kuona tumesimama pale akawaambia watu hiyo taarifa lakin hakuwa na uhakika kama tulitoka pamoja

Jamaa akamzimua makofi mawili matatu mda huo vijana wa pale mtaani walikuwa kma 7 hivi wakamzomea ikawa nafuu yangu lakini nilishapoteza tayari

Baada ya miak kupita nikawa na mahusiano mengine ila nilimpenda sana H baada muda hasia zikaanza kupungua nikawa najihis nakuwa sawa hata kumfikiria kukapungua namba yake ya Simu ikaanza kufutika

Nikawa namuona H ila sikufanikiwa kuongea nae chochote akaenda kusomea udaktari nikaambiwa,nami nikaenda chuo
Sikumoja nipo likizo nikapigiwa simu namba ngeni

Nikapokea
Halloo nikauliza nani akasema ni H
Mmh nikamuuliza kama yukoo poa akasema yupo sawa akaomba kuniona siku ya pili nikamwambia kama nitakuwa na nafasi nitamjulisha nikapotezea japo nilikuwa na shauku ya kumsikia anachotaka kuniambia

Siku ya pili sikumtafuta siku ya Tatu akanipigia akasema yupo mtaani kwetu nikamwambia sawa nikaenda kumuona akasema amenikumbuka
Akasema usiku ule alipigiwa simu na watu akaambiwa kuwa nipo na yule kijana pia kuwa ni mwanaume wangu na nilitoka nae usiku ule roho ilimuuma sana na kibaya zaidi akaambiwa kuwa nililala na yule kijana alafu yule kijana ni wale mabishoo wa pale mtaani na ni Mkubwa kuliko sisi Hilo lilimuumiza Zaidi
Lakin Bado ananipenda tuwe pamoja ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Nikamuuliza sababu ya kutonisikiliza akasema ni hasira na maumivu alihis kile kitu ni Cha kweli ila anajutia
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nikiwa mkubwa mkubwa, kuna siku nikawa mood off, yaani ile totally shut down, of course nilikuwa nimekosana na babe wangu nilikuwa nampenda kuliko hela, huwa sitakagi kuongea na mtu,

My Mom akanipigia simu sikupokea, baadaye tena akanirudia nikamuambia siko sawa, hata hakutaka kujua chanzo ni nini, aiseeeh' alinisimanga balaa, eti 'najua tu huo ni upumbavu wa wanaume', akanigombeza kisha akanikatia simu, ndiyo nikalia vizuri kwa mayowe kabisa, sasa unaanza kunigombeza badala unisikilize kwanza..!!?

Africans Mom hapana..!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hawana time na ujinga mm alinikuta mara mbili ya kwanza ndio hiyo Ilikuwa usiku mara ya pili alfajiri akanambia kuacha kuamka kufanya ibada unaamka kulilia ujinga au Kuna msiba wa shangazi Yako ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
"Ilikuwa siku chache aondoke shule na Huwa akiwa shule hatumii simu mm pia sikuwa na simu kabisa akaja kuniaga akaondoka"

Naomba mtunzi hapa ueleze kwa maneno yasiyopungua 500 ili nikueleww vizuri๐Ÿ˜Ž.
 
"Ilikuwa siku chache aondoke shule na Huwa akiwa shule hatumii simu mm pia sikuwa na simu kabisa akaja kuniaga akaondoka"

Naomba mtunzi hapa ueleze kwa maneno yasiyopungua 500 ili nikueleww vizuri๐Ÿ˜Ž.
Alikuwa anasoma shule ya seminary mm sikuwa na simu yeye alikuwa nayo ambayo anatumia akiwa likizo akiondoka anaiacha hivo akiwa yupo naongea nae kupitia simu ya Irene
 
Back
Top Bottom