ππHapana mimi mzigo ningeuacha kwa kweliπ
Ila inaonyesha wewe Aaliyyah ni mwanamke mrembo,mzuri na msafi wa mwili na roho
Nikirejea kwa mkuu wa shule na huyo H wako kukupendaπ
Najiaminisha kuwa wewe ni mali safi na bando changa kabisa mkuuπ
ππUtaaona na wewe utakavyokuja kudeal na watoto wako,hamna kitu inanimate kama nikifikiria mwanangu alivyo so special kwangu kuna mjinga mmoja atakuja kuuvunjavunja moyo wake...mapenzi haya
tchaaah'. .!!ππMwaka 1992 Vidudu Songea Mission nakumbuka tuliingia kwenye chumba fulani kuna kohifadhiwa maziwa ya unga, sukari na vikombe vya uji. Mwenzangu akawa analamba yale maziwa ya unga kwa fujo mpaka akawa anatoka makamasi na mengine akaficha kwenye kimfuko cha shati naikumbuka mimi hii 32 yrs ago na huyo jamaa alikuwa anaitwa Nasukigwe π€£π€£π€£
Nilikuwa na miaka minne kuelekea mitano
Mimi nataka kujua alikuwa wa ngapi mkuu?Siwezi kuwa na mahusiano na mwanamke wa kipare
Yan Huwa tunapenda kweli sio utaniYaani story imeishaje na steringi amekufa?(tunda halikuliwa).
Umeturudisha nyuma sana miaka ya balehe, upendo wa kipindi kile ni upendo wa dhati na wa kweli kutoka moyoni, umenikumbusha Na wangu.... a mother of two now, mkimya sana na nilimpenda aloo.
Wanetu watakutana na vijukuu vya faraoππ
Hii mateso ambayo hawa Pharaoh's sons wamenipea na wanangu watapitia..?? Eeh' Jehovah Shama nihurumie..!!π
Ulimkatili sana H kumnyima tunda...Baada ya kunibembeleza nikamwambia tutaongea vizuri siku nyingine sikuwa na muda mrefu wa kukaa nae pale akaondoka wakat huo tushakuwa wakubwa na nilishakuwa na moyo mgumu sikuwaga na huruma kabisa na H
Akaja siku ya pili nikaongea nae safi nikaanza kumuita na bby akawa anafurahi mno nilikuwa ukimya ungepungua kias nilikuwa nampigisha story anacheka anafurahi sana
Nikagundua alikuwa na msichana wakaachana lakini hakuwaha mtu wa mambo mengi kama vijana wengine ilichukua wiki 2 kumjaza kuwa Bado nampenda Sana akajaa mawasiliano non stop tukapanga mizagamuano na H
Nakumbuka Ilikuwa mida ya saa moja jion tukatoka
Tukaenda sehemu akaja na zawadi kitu ambacho sikukosea ni kupendeza kias attention Ilikuwa kwangu mda wote kama saa 3 tukabook room tukaingia ndani nikakaa kwenye kochi nilishapanga kufanya shambuliz la kushtukiza
Tangu kuachana had sikueile sikuwa na hisia nae kabisa akinibusu nilikuwa naona ni kama ananifinya alinifata pale kochi
Mimi;naomba tuongee
H;niambie bby alikuwa anapenda kuniita jinalangu Kwa kifupi mara nying
Mimi;naomba kuondoka Niende nyumbani
H;kwaniin kipenz unaumwa
Mimi;nikamwambia nimegundua Sina hisia na wewe kabisa kama zamani
ndugu zangu hapo ni mkavu kuliko anavonijua
Alikaa kimya kama dakika 5 akaanza kulalmika msamaha ukageuka akaanza kuomba yeye muda huo nilikuwa simuangalii usoni maana ningemhurumia
Akaniuliza kweli huna hisia na Mimi nikamjibu ni kweli Sina
alafu ninasauti flan hiv nikimwambia mtu simtaki hawez kuamini πππ
Muda huo Bado nipo kwenye kochi
Yeye alikaa kitandani akasimama nami nikasimama nikawahi kufungua mlango πππ
Ukweli sikuwa na hisia nae Tena ni miaka mingi tangu tuachane nilishamove on
Sikutaka kujua ilikuwaje ila alikuwa ananipigia sikupokea
Akaanza kutuma sms za kulalamika nikamwambia ndio imeisha hiyo kipind hiko nilikuwa na mtu ananipenda balaa sikuwaza kuhusu H Tena
Story ndio imeisha hapo πππ
Upuuz mtup itaendelea ya nyokoBAADA YA H KUONDOKA
Penzi likianza nilikuwa sijui how mapenz yapoje bhana nikawa naona nafurahia tu kusoma barua hatukuongea Tena na H na Irene alirudi shule kuendelea na masomo
Baada ya mwezi mmoja nikapokea barua kutoka Kwa classment nilosoma nae primary alikuwa anasoma pamoja na H barua nzuri kuwa amenikumbuka na maneno mazuri mazuri mengi ya kunsifia nilivo mpole na msichana mzuri Sana hakika siku ikabarikiwa
H alikuwa na hati safi kiingereza kilichonyooka nafikiri mlosoma hizo shule za seminary mnaelewa nami nikaandika yangu chap nikampa kabla hajaondoka akaifikishe Kwa H huko shule nikimtamkia masomo mema
Kwakweli nilimuelewa H lakin sikuwa mtaalamu wa mahusiano hivo haikunipa shida sana kuhandle situation ila Kuna wakat rafikizangu walikuwa wanashangaa mbona namtaja H Kila muda π
Nikikutana na baba yake H njiani ni kujichekelea kumuona ba mkwe π na babakake annaiita bintiyake sababu anamjua mamayngu na pia aliniona tangu nikiwa mdogo sana nazaliwa
Ikawa ndio habari akiona mtu anakuja kwani vijana wengi wa hiyo shule wnatoka hapo kijijini tunapoishi ni lazima wakija Wana barua yangu nami nawapa ya H mapenz yalinoga Yani ikawa namuongelea H muda wote natembea na zile barua kwenye begi hata nikiwa shule ninazo ππππ
Nilikuwa nimechanganyikiwa nyie Hao H hajwah nishika hata mkono
Baada ya miez sita likizo ikakaribia shule za private hufunga wiki moja kabla yetu sisi wa shule za serikali
Nikasema hii Sasa ndo yenyewe babe anarudi nilifurahi kusikia wamefunga shule japo H sikumuona na wakat huo yupo kidato Cha nne hivo hupewa wiki 2 tu then wanarudi shule kuendelea n maandaliz ya mitihani
Kuna page umechanaBaada ya kunibembeleza nikamwambia tutaongea vizuri siku nyingine sikuwa na muda mrefu wa kukaa nae pale akaondoka wakat huo tushakuwa wakubwa na nilishakuwa na moyo mgumu sikuwaga na huruma kabisa na H
Akaja siku ya pili nikaongea nae safi nikaanza kumuita na bby akawa anafurahi mno nilikuwa ukimya ungepungua kias nilikuwa nampigisha story anacheka anafurahi sana
Nikagundua alikuwa na msichana wakaachana lakini hakuwaha mtu wa mambo mengi kama vijana wengine ilichukua wiki 2 kumjaza kuwa Bado nampenda Sana akajaa mawasiliano non stop tukapanga mizagamuano na H
Nakumbuka Ilikuwa mida ya saa moja jion tukatoka
Tukaenda sehemu akaja na zawadi kitu ambacho sikukosea ni kupendeza kias attention Ilikuwa kwangu mda wote kama saa 3 tukabook room tukaingia ndani nikakaa kwenye kochi nilishapanga kufanya shambuliz la kushtukiza
Tangu kuachana had sikueile sikuwa na hisia nae kabisa akinibusu nilikuwa naona ni kama ananifinya alinifata pale kochi
Mimi;naomba tuongee
H;niambie bby alikuwa anapenda kuniita jinalangu Kwa kifupi mara nying
Mimi;naomba kuondoka Niende nyumbani
H;kwaniin kipenz unaumwa
Mimi;nikamwambia nimegundua Sina hisia na wewe kabisa kama zamani
ndugu zangu hapo ni mkavu kuliko anavonijua
Alikaa kimya kama dakika 5 akaanza kulalmika msamaha ukageuka akaanza kuomba yeye muda huo nilikuwa simuangalii usoni maana ningemhurumia
Akaniuliza kweli huna hisia na Mimi nikamjibu ni kweli Sina
alafu ninasauti flan hiv nikimwambia mtu simtaki hawez kuamini πππ
Muda huo Bado nipo kwenye kochi
Yeye alikaa kitandani akasimama nami nikasimama nikawahi kufungua mlango πππ
Ukweli sikuwa na hisia nae Tena ni miaka mingi tangu tuachane nilishamove on
Sikutaka kujua ilikuwaje ila alikuwa ananipigia sikupokea
Akaanza kutuma sms za kulalamika nikamwambia ndio imeisha hiyo kipind hiko nilikuwa na mtu ananipenda balaa sikuwaza kuhusu H Tena
Story ndio imeisha hapo πππ
Hapo sasa alikuwa keshaonja ,keshajua hainaga makombo ,anaanza kujiona mjinga kwa nini hakukuonja..Kunatukio nilisahau
Baada ya Ile siku ya tukio na kuachwa nilikutana na yule kaka nilosimama nae pale kwenye sherehe nae alisikia hiz tetesi nilimlaum nikajua yeye ndio kaongea uongo akasema nitampata alisema sababu story mtaani Ilikuwa hiyo tu mm kuliwa na kuachwa na H πππ
Baada ya masaa hiv nikaja kuitwa na Irene yule kijana alimpata aliesambaza hizo habari za uongo alafu yule kijana aliekuwa ananiaproach alikuwa Mkubwa kuliko sisi hivo Ilikuwa rahis kumpata nikamkuta kamshika shati kisawa sawa
Nilivofika akasema aniambie alichosema akakubali yeye ndio alisema baada ya kuona tumesimama pale akawaambia watu hiyo taarifa lakin hakuwa na uhakika kama tulitoka pamoja
Jamaa akamzimua makofi mawili matatu mda huo vijana wa pale mtaani walikuwa kma 7 hivi wakamzomea ikawa nafuu yangu lakini nilishapoteza tayari
Baada ya miak kupita nikawa na mahusiano mengine ila nilimpenda sana H baada muda hasia zikaanza kupungua nikawa najihis nakuwa sawa hata kumfikiria kukapungua namba yake ya Simu ikaanza kufutika
Nikawa namuona H ila sikufanikiwa kuongea nae chochote akaenda kusomea udaktari nikaambiwa,nami nikaenda chuo
Sikumoja nipo likizo nikapigiwa simu namba ngeni
Nikapokea
Halloo nikauliza nani akasema ni H
Mmh nikamuuliza kama yukoo poa akasema yupo sawa akaomba kuniona siku ya pili nikamwambia kama nitakuwa na nafasi nitamjulisha nikapotezea japo nilikuwa na shauku ya kumsikia anachotaka kuniambia
Siku ya pili sikumtafuta siku ya Tatu akanipigia akasema yupo mtaani kwetu nikamwambia sawa nikaenda kumuona akasema amenikumbuka
Akasema usiku ule alipigiwa simu na watu akaambiwa kuwa nipo na yule kijana pia kuwa ni mwanaume wangu na nilitoka nae usiku ule roho ilimuuma sana na kibaya zaidi akaambiwa kuwa nililala na yule kijana alafu yule kijana ni wale mabishoo wa pale mtaani na ni Mkubwa kuliko sisi Hilo lilimuumiza Zaidi
Lakin Bado ananipenda tuwe pamoja πππ
Nikamuuliza sababu ya kutonisikiliza akasema ni hasira na maumivu alihis kile kitu ni Cha kweli ila anajutia
Good!Bora ulilipa kisasi dogo...ila hujasema uliondoka na zawadi au uliziacha?angalau ulitia uchakavu wa Lodge,chakula,na hizo zawadiBaada ya kunibembeleza nikamwambia tutaongea vizuri siku nyingine sikuwa na muda mrefu wa kukaa nae pale akaondoka wakat huo tushakuwa wakubwa na nilishakuwa na moyo mgumu sikuwaga na huruma kabisa na H
Akaja siku ya pili nikaongea nae safi nikaanza kumuita na bby akawa anafurahi mno nilikuwa ukimya ungepungua kias nilikuwa nampigisha story anacheka anafurahi sana
Nikagundua alikuwa na msichana wakaachana lakini hakuwaha mtu wa mambo mengi kama vijana wengine ilichukua wiki 2 kumjaza kuwa Bado nampenda Sana akajaa mawasiliano non stop tukapanga mizagamuano na H
Nakumbuka Ilikuwa mida ya saa moja jion tukatoka
Tukaenda sehemu akaja na zawadi kitu ambacho sikukosea ni kupendeza kias attention Ilikuwa kwangu mda wote kama saa 3 tukabook room tukaingia ndani nikakaa kwenye kochi nilishapanga kufanya shambuliz la kushtukiza
Tangu kuachana had sikueile sikuwa na hisia nae kabisa akinibusu nilikuwa naona ni kama ananifinya alinifata pale kochi
Mimi;naomba tuongee
H;niambie bby alikuwa anapenda kuniita jinalangu Kwa kifupi mara nying
Mimi;naomba kuondoka Niende nyumbani
H;kwaniin kipenz unaumwa
Mimi;nikamwambia nimegundua Sina hisia na wewe kabisa kama zamani
ndugu zangu hapo ni mkavu kuliko anavonijua
Alikaa kimya kama dakika 5 akaanza kulalmika msamaha ukageuka akaanza kuomba yeye muda huo nilikuwa simuangalii usoni maana ningemhurumia
Akaniuliza kweli huna hisia na Mimi nikamjibu ni kweli Sina
alafu ninasauti flan hiv nikimwambia mtu simtaki hawez kuamini πππ
Muda huo Bado nipo kwenye kochi
Yeye alikaa kitandani akasimama nami nikasimama nikawahi kufungua mlango πππ
Ukweli sikuwa na hisia nae Tena ni miaka mingi tangu tuachane nilishamove on
Sikutaka kujua ilikuwaje ila alikuwa ananipigia sikupokea
Akaanza kutuma sms za kulalamika nikamwambia ndio imeisha hiyo kipind hiko nilikuwa na mtu ananipenda balaa sikuwaza kuhusu H Tena
Story ndio imeisha hapo πππ
Mkuu mm kwangu usingechomoa,ningekubaka tu hamna namna...yaan uingie machinjioni halafu utoke salama?Ipi mkuu sikudate na H na wakat nilishazagamuliwa na mwingine na penz Lilikuwa zito jamaa alikuwa ananipenda Sana pia sikuwa na hisia nae
Umeona Eeeeeh!!ni mali safi hasa
Kwahiyo ya mseminary huwa haisimami vichakani!!?Alafu mpenz wangu alikuwa mseminary Yani pasta myarajiwa ππ