Nilivyopata pesa nyingi nilipokuwa askari wa TANAPA

Nilivyopata pesa nyingi nilipokuwa askari wa TANAPA

Ulifeli mzee ulitakiwa uipunguze hata 20 mil, ingekufikisha maldives au hata 30mil ingekufikisha northern pole ukazione dubu
 
kati ya wajinga duniani mmojawapo ni wewe.Kwanza unatoa siri pili milioni 48 unaona nyingi utaachaje kazi ajili ya milioni 48 hivi ulivyotoa hii siri unafikiri zikiisha utarudi tena kazini.
Unaonekana unatokea familia duni sana na huna shukrani utajiitaje yatima wazazi wako wakiwa hai kisa hawajakusaidia.
Sasa mimi kama mzazi wako nakuachia laana hutakaa uwe tajiri maisha yako yote na bahati uliyoipata haitarudia tena.
Bob Mimi niko kazini. Niliacha kazi baada ya kupata kazi nyingine.
 
Bob Mimi niko kazini. Niliacha kazi baada ya kupata kazi nyingine
Huna hata haja ya kujieleza. Kazi ilikuwa yako, uamuzi wa kuiacha ulikuwa wako. Achana na wajuaji pesa uchwara.

Nimalizie kwa kusema wewe ni Mjinga sana. Unatoaje maelezo kuhusu wewe kupokea RUSHWA kwa uwazi hivi? Jinai haifi. Rekebisha huu upuuzi ulioufanya.
 
Huna hata haja ya kujieleza. Kazi ilikuwa yako, uamuzi wa kuiacha ulikuwa wako. Achana na wajuaji pesa uchwara.

Nimalizie kwa kusema wewe ni Mjinga sana. Unatoaje maelezo kuhusu wewe kupokea RUSHWA kwa uwazi hivi? Jinai haifi. Rekebisha huu upuuzi ulioufanya.
Nisamehe kiongozi.
Ila wewe huli rushwa?
 
Hello
Nilivyomaliza kidato cha 6 kulingana na hali yangu ilinilazimu nikatae na kusitisha mipango ya kusoma chuo kikuu.
Target yangu ni kufukuzia ajira za uhamiaji, TISS au PCCB.
Yaani nilikuwa naota taasisi hizo tu. Sasa kulingana na maisha ya kifukara na uyatima (Mimi si yatima kabisa nina wazazi wote ila hawakuwa na msaada kwangu). Nikajikuta nimekimbilia ajira ya TANAPA kama Askari wa wanyama (game ranger) kwa kutumia cheti cha JKT mujibu wa sheria.
Nikapangiwa kazi Kambi moja iko Porini kwenye hifadhi ya Serengeti karibu na uwanja wa ndege ambao unatumika kuleta watalii, sometimes hata wafanyakazi wa hotel zile nzuri nzuri za maporini huutumia kupanda ndege.
Sasa tulikuwa na shift ya mwezi kwenda kulinda hoteli zilizopo kwenye ile hidadhi.
Sasa nilipangiwa Four seasons hotel (Bilila) ikawa kazi kubwa ni kuchukua SMG yangu na kuwapa escort matajiri Wazungu kwenda kufanya sherehe zao maporini. Mara nyingi zilikuwa Sherehe za hharusi. Wengine walifungia hharusi angani ndani ya balloon wengine chini tu.
Sasa nilikuwa nawavizia saa 12 kasoro jioni nawapa taarifa kuwa muda umeisha wajiandae kurudi hotelini.
Ikitimia saa 12 kamili nawaambia time is over chukua chako twende.
Basi hapo napewa dolari nawapa time wamalizie sherehe zao za ulevi .
Sasa mkirudi hotelini wale Wazungu ni kama niliwatupia uchawi hivi kumbe ni neema tu za Mungu. Wakiniona wananipa much respect na kufinyiwa midola.
Nilikuwa nikimaliza 30 days ile posho yangu ya laki 6 naiona chamoto tu na karibu yote nilikuwa nawarushia ndugu na marafiki.
Nilikuwa natoka na milioni zaidi ya kumi kwa mwezi game likikubali.
Sasa nikawa na pesa nyingi, sina mke, sina mtoto, account ya ziada (ya siri ikawa ina milioni 48 ) ndani ya miaka 2.
Nikaacha kazi.
Hii ilikuwa kati ya 2013-2015.
Hii mambo ilimtokea jamaa yetu mmoja mwana sana. Tukiwa chuo dip alikuwa na stress sana za ada baadae akaanza kupoteza hata tumaini na shule sababu ya dhilki home. Maisha ya kuunga unga kula donei kwa wana. Bahati mbaya kuna lecturer mnoko akamkamata. Akasumbuliwa na kimeo mwishowe aliamua kwenda kujisajili chuo cha wildlife mweka kuanza upya cheti wakamtupa pasiansi.

Ukitaka kujua Mungu alivyo wa ajabu, jamaa kapiga kozi freshi kamaliza with flying colors mwili wake unambeba ni tall wa 6ft aisee. Kapiga live training za bunduki na michezo ya porini akatoboa wakachukuliwa 10 tu kwenye batch yao.

Si akaingia TANAPA mzee....😂😂😂 ndani ya mwaka tu life lilichange vibaya mno! Lexa alikuwa ni lifeist ambaye hakupata fursa tu toka tunasoma nae ni ana roho ya kizungu sana jamaa. Anakwambia sahizi naishi kama binadamu sitasahau wahuni mliishi freshi na mimi. Kala kamba ya maana anasukuma tako la nyani imebling kinyama hana wasiwasi. Week 2 pori week mbili yuko town anawachakaza akina mama tu. Wote aliokuwa anawatamani na wakamtosa kichuo chuo aliwafagia wote 😂😂😂.

Alipoipata fursa aliishi maisha yote aliokuwa anayatamani sasa 😂😂😂! Anakwambia sahizi mtu ambaye alikuwa anadharaulika kwenye familia na ukoo kwa ujumla vikao havihitimishwi bila yeye kuwepo. 😂

Anakwambia akimalizana na tako la nyani anataka avute V8 moja ya kibabe. Ukimcheki ni chalii kwa sasa labda ndio atakuwa kaingiza 30!
 
Hello
Nilivyomaliza kidato cha 6 kulingana na hali yangu ilinilazimu nikatae na kusitisha mipango ya kusoma chuo kikuu.
Target yangu ni kufukuzia ajira za uhamiaji, TISS au PCCB.
Yaani nilikuwa naota taasisi hizo tu. Sasa kulingana na maisha ya kifukara na uyatima (Mimi si yatima kabisa nina wazazi wote ila hawakuwa na msaada kwangu). Nikajikuta nimekimbilia ajira ya TANAPA kama Askari wa wanyama (game ranger) kwa kutumia cheti cha JKT mujibu wa sheria.
Nikapangiwa kazi Kambi moja iko Porini kwenye hifadhi ya Serengeti karibu na uwanja wa ndege ambao unatumika kuleta watalii, sometimes hata wafanyakazi wa hotel zile nzuri nzuri za maporini huutumia kupanda ndege.
Sasa tulikuwa na shift ya mwezi kwenda kulinda hoteli zilizopo kwenye ile hidadhi.
Sasa nilipangiwa Four seasons hotel (Bilila) ikawa kazi kubwa ni kuchukua SMG yangu na kuwapa escort matajiri Wazungu kwenda kufanya sherehe zao maporini. Mara nyingi zilikuwa Sherehe za hharusi. Wengine walifungia hharusi angani ndani ya balloon wengine chini tu.
Sasa nilikuwa nawavizia saa 12 kasoro jioni nawapa taarifa kuwa muda umeisha wajiandae kurudi hotelini.
Ikitimia saa 12 kamili nawaambia time is over chukua chako twende.
Basi hapo napewa dolari nawapa time wamalizie sherehe zao za ulevi .
Sasa mkirudi hotelini wale Wazungu ni kama niliwatupia uchawi hivi kumbe ni neema tu za Mungu. Wakiniona wananipa much respect na kufinyiwa midola.
Nilikuwa nikimaliza 30 days ile posho yangu ya laki 6 naiona chamoto tu na karibu yote nilikuwa nawarushia ndugu na marafiki.
Nilikuwa natoka na milioni zaidi ya kumi kwa mwezi game likikubali.
Sasa nikawa na pesa nyingi, sina mke, sina mtoto, account ya ziada (ya siri ikawa ina milioni 48 ) ndani ya miaka 2.
Nikaacha kazi.
Hii ilikuwa kati ya 2013-2015.
Aisee hii nchi ni miongoni mwa nchi adimu Duniani kote
 
Uliridhika mapema sana...
Hiyo pesa ilikuwa ni asante yako hukuwa unafanya ujangili, hivyo ungebaki tuu hapo huku ukifanya biashara zingine.
 
Nilipata kazi nyingine mjini sema tu haina marupurupu
Dah noma sana mzee, rudi porini tu kazi ambayo haina mtipu ni kazi ya kibwege sana. Ndio maana washua wanakomalia per diems tu huko juu kwa vikao vya uongo na kweli tu
 
Acheni kumzodoa jamaa 48m ni pesa ndefu sana alifanya maamuz sahihi,mlitaka auwawe na jangili wakati bank ana 48m?

Tena wanaobeza kuwa hii hela ni ndogo unakuta hata hawajawah kuwa na hela hyo
Hio hela anasema ilikuwa kwenye acc ya siri. Ina maana main account ilikuwa na hela pia. Hawezi kuwa mjinga kwamba aliacha kazi bila kuwa na 100G kwenye account.
 
Hii mambo ilimtokea jamaa yetu mmoja mwana sana. Tukiwa chuo dip alikuwa na stress sana za ada baadae akaanza kupoteza hata tumaini na shule sababu ya dhilki home. Maisha ya kuunga unga kula donei kwa wana. Bahati mbaya kuna lecturer mnoko akamkamata. Akasumbuliwa na kimeo mwishowe aliamua kwenda kujisajili chuo cha wildlife mweka kuanza upya cheti wakamtupa pasiansi.

Ukitaka kujua Mungu alivyo wa ajabu, jamaa kapiga kozi freshi kamaliza with flying colors mwili wake unambeba ni tall wa 6ft aisee. Kapiga live training za bunduki na michezo ya porini akatoboa wakachukuliwa 10 tu kwenye batch yao.

Si akaingia TANAPA mzee....😂😂😂 ndani ya mwaka tu life lilichange vibaya mno! Lexa alikuwa ni lifeist ambaye hakupata fursa tu toka tunasoma nae ni ana roho ya kizungu sana jamaa. Anakwambia sahizi naishi kama binadamu sitasahau wahuni mliishi freshi na mimi. Kala kamba ya maana anasukuma tako la nyani imebling kinyama hana wasiwasi. Week 2 pori week mbili yuko town anawachakaza akina mama tu. Wote aliokuwa anawatamani na wakamtosa kichuo chuo aliwafagia wote 😂😂😂.

Alipoipata fursa aliishi maisha yote aliokuwa anayatamani sasa 😂😂😂! Anakwambia sahizi mtu ambaye alikuwa anadharaulika kwenye familia na ukoo kwa ujumla vikao havihitimishwi bila yeye kuwepo. 😂
Kazi za porini ni krimu sana, huwez kukuta gameranger ana stress kama hawa polisi wa bongo.. kuna dogo alikuwa anabaniwa sana na T.O anapewa kazi zile mbovu wazungu waliochoka. Kuna siku akapewa huyo dingi ampeleke town sokoni, mzungu akataka duka la mawe ya tanzanite.

Hata dogo hakudhani huyu dingi mchovu anaeza kununua jiwe hata la laki ila huwezi amin yule mzungu alinunua jiwe la dola elf 50. Dola elf 50 dogo akapewa 20% yake hapo. Nikaamini rizki ya mtu hata binadamu wote duniani wakija hawawezi kuizuia we kuipata.
 
Safi sana!
Mimi pia nilishaacha kazi ya mshahara uliokaribiana na huo wako, nikiwa na mtaji wa 5m tu! Nilianza biashara yangu na kutengeneza pesa ndefu zaidi ya ule mshahara. (Japo sijui wewe uliifanyia nini hiyo 48) wapo watu wana ma miaka kazini, wanashindwa kujiajiri kwa kuona kwamba walichonacho hakitoshi kujiajiri, wanaishia kuwa..
 
Back
Top Bottom