Nilivyotelekezwa na rafiki yangu Queens Bridge, New York nikiwa sina hata 100 mfukoni

Na sie watu wa dar hii michezo tunawafanyia sana watu wanaotoka buzirayombo
 
Jamani hapa story ni kwamba popoma ni Mtoto wa Mjini daslamu🤣🤣🤣 na kwamba yupo Daslamu toka miaka ya tisini. Hakuna cha QB wala Jamaica Queens wala BK(Brooklyn)

Mkuu ( kama wewe Sio popoma) umejivunjia heshima sana.

Huyo popoma hata mwandiko wake tu unaonekana ni bushman.
 
Qb ya Bunda vijijini. Popoma tena🤣🤣🤣
 
Yule mwanamke wa kizungu alifanya niwachukie wanawake wote,nikapata mwanamke wa kichaga baada ya kurudi nchini nae alinizingua sana,nina chuki na wanawake na sitokuja kuoa
duhu wote hawafanani lakini mkuu
 
Hii ya kujifanya shoga inalipa sana siku hizi mambele

Ningekuwa kidume tayari ningejigeuza cocastic nile bata Canada

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Wale homeless wa Philadelphia nikiwaona huwa nashangaa sana...afu wooote mateja *****

Nasema duuh hii ni marekani au naota[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
...wadada wa kibongo someni hii kwa pupa nje mlete midomo mirefu.. utachezea kelebu na bongo sifukuzwi sababu ni nchi yangu.!
 
Wale homeless wa Philadelphia nikiwaona huwa nashangaa sana...afu wooote mateja *****

Nasema duuh hii ni marekani au naota[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ukiacha mateja wapo ambao wanapambana kulala nje na kwenye clubs na bar Mwisho wa siku wanapata wenza wanaoa wanasoma wanapata kazi na karatasi juu.
Me hyo subira sina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…