Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

Tatizo watu hawatembei

Ova
 
Maona wachangiaji wengi wanamshutumu mtoa mada bila bila sababu za msingi. Kama nchi naona kwenye swala la mipango miji tumekwama. Sio kwa Dar pekee bali miji karibu yote. Kama kitu rahisi kama kupanga mji kunatushinda mengine tutayaweza?
Wengi ni wanafiki Tu ,wasikupe tabu
 
Mbona Zimbabwe ,Namibia na SA zote zimechelewa kupata Uhuru lakini ziko vizuri kwenye mipango miji ?
Kwa tanzania unaweza ilaumu serikali
Lakini #1 ya matatizo hayo ni sisi wenyewe
Ustarabu ni 000000

Ova
 
Dume zima unajua maisha ya mwanaume mwenzako tena unamtaja bila aibu.mkewe afanye nini sasa!au ndo walewale?
Exposure yangu ni ukoo mzima wewe lumbukeni ndo umeona kwa mara ya kwanza.ukoo mzima wewe ndo umeenda safisha macho!
Hata niriporudi bongo niliish fresh. Tu. Maisha lazima upande na lazima ushuke popote ni kawaida
Kwa ushamba wako unadhani utakaa hapo hapo.

Kujenga nyumba kwingine si kuhama wewe fungua akilihizo!

Miaka kumi ijayo unapoona uzunguni patakuwa km uswahilini tu

Kariakoo enzi za mkoloni palikuwa mazogoroni
Punguza ulimbukeni wa kikerewe eti ndo unaona ukanjaaaa!
 
umejitambua sana wewe mkuu. Angalia hata Egypt wanatamani Mafaraoh wote wawe wazungu!!

Eti ile misri ya kale ni chimbuko la wazungu.hawatuongelei hataa!
Hakuna egyptologist mwafrica hata mmoja! Ikitokea basi anapewa jukumu tofauti.
 
Tafuta hela dada acha kudanga.


Punguza stress maisha ukiyakosea mwenyewe acha kutufokea ng'ombe wewe.


Umebeba fuvu limejaa matakataka ya jalalani ndio maana huna unalofikiria zaidi ya mipasho.


Tabia zako za uswazi peleka kwa waswazi wenzio na uwe na heshima Nina uwezo wa kukukojoza wewe na danga lako.


Em out!
 
kuna siku mtaani niliwaambia nairobi wametuzidi miundo mbinu i mean ke..wakabishaaa mi niliwaambia kwa kufika kote kote..wao walibisa kwa kuiona tu dsm
 
Wewe nakuona bado mshamba tu pamoja na ulaya yako thamini kwenu, sizani hata kijijini kwenu umejenga zaidi ya ubishoo tu, anza wewe na mikakati kama mpambanaji ndiyo ukosoe ulaya imejengwa toka tukiwa bado tunatawaliwa na sisi tukiwa watu million 12 leo hii tupo zaidi ya million 60
 
Mleta mada mtu ambaye hajatembelea nchi za Europe ,America,Singapore,Dubai... hawezi kukuelewa,
Watu wameichukulia hii thd in a negative way!
 
Umeandika uzi ama andiko kubwa ambalo halina UZALENDO AT ALL ...wewe kama Diaspora was expecting angalau para moja useme umewekeza nini kuleta tofauti......hilo daraja la nfugale na kijazi tunaoishi hapa tuna jua faida zake na imepunguza traffic kwa kiasi gani......ALL THE BEST HOPE UKIJA UTABEHEVE NA KUANDIKA VEMA KAKA KUNA UMUHIMU WA KUANDIKA
 
one day yes hata roma haikujengwa kwa siku moja
 

Attachments

  • 1615204903286.png
    404.8 KB · Views: 1
Tathmini ya mtu makini kuhusu maendeleo ni lazima iwe na uhalisia. Ni wazi na ninasema tena kutoka moyoni kabisa japo naipenda nchi yangu, TUNA SAFARI NDEFU. Kama una uwezo, kabla hujafa, na ikiwa hujawahi toka nje ya nchi, jaribu kwenda Nairobi tu kisha uje tujadili hapa. MAJIBU UTAYAPATA MWENYEWE. UTAIONA DSM TAKATAKA, TUNATAKIWA KUUBOMOA MJI NA KUUJENGA UPYA.
 
Kweli wewe ni limbukeni
Huyu jamaa ni fala, zuzu, limbukeni wa maisha na juha kwa pamoja.
Angefahamu hata kiduchu kuhusu historia ya jinsi nchi za ulaya zilivyojitajirisha kwa kuzinyonya nchi za dunia ya tatu, ikiwemo Tanzania, labda mshipa wa aibu ungemshikisha breki.

Na ukimwuliza umemsaidiaje baba yako kwa kumjengea angalau ka ghorofa tu kama kaulaya, ili naye ajisikie ana mtoto anayeishi Ulaya, domo litambaki wazi!
Amemaliza zizi la kuku la mama yake fukara na kumwachia manyoya tu, huku akiendelea kujitoa ufahamu. Boya sana huyu jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…