Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

Kwa taarifa yako utarudi huku huku unapokudharau tukuzike.
Akili yako unaijua mwenyewe tu. Aliyekuambia naikana Tanzania ni nani? Tanzania ni nchi yangu, ulitaka nizikwe wapi sasa? Hivyo wewe ulitaka nitathmini maendeleo ya nchi yangu kutumia akili zako ama? HII ni tathmini yangu mimi wala si ya mtu mwingine yeyote yule, na lengo lake ni kuamsha mjadala na kuwastua wenye mamlaka ili wafanyie kazi .....ULITAKA NIDANGANYE KWA KUSEMA 1. DARAJA LA MFUGALE NI ZURI NA IMARA KULIKO YOTE YALIYOKO DUNIANI 2. AIRPORT YA DSM NI NZURI NA KUBWA KULIKO SCHIPHOL? PIA ULITAKA NISEME DSM NI MJI SAFI NA UNA NYUMA ZILIZOPANGWA VIZURI KULIKO LONDON? N.K NINGESEMA HAYA NDIYO UNGEFURAHI? NA JE NINGEKUWA SAHIHI? ACHA UPUUZI, ULITAKA NISEME WATANZANIA NI MATAJIRI NA WANAISHI MAISHA BORA?
 
AKILI ZAKO ZINAONESHA HUJAWAHI KUTOKA NJE YA NCHI, HUNA UNALOLIFAHAMU, WE NI WAKUPUUZA TU, HUJUI ULITENDALO
 
Ipende nchi yako ndugu yangu.... mwanzo mgumu .
 

Hamia huko Ulaya kama wajinga wenzio. Malabuku zako
 
Tzn inanuka umaskini kwani uongo?
 
Binafsi Dar siwezi kuishi mimi nina kinyaa Sana,hata ukijidai kuishi kwenye maeneo ya nafuu lakini lazima utapita sehemu zinazonuka

Kana kwamba haitoshi ikinyesha tuu ni vurumai Mji mzima,joto na kunuka
 
Usitetee ujinga mkuu, Dar ni chafu na inatia kinyaa.. Mara nyingine bora hata tunaoishi mikoani.

Dar ni takataka na washamba tu mmejazana huko..
Huwa nasema mara nyingi huo mji siwezi kuishi mimi ,unakuta unanunua matunda fresh afu sehemu inanuka

Pia kila sehemu ni machinga no order,mvua ikinyesha sasa ni balaa,usafiri wa umma ni majanga yaani kila kitu tabu
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Bora tulikotoka tunakoenda ni hovyo kabisa ukichanganya na kasi ya kuzaana na siasa uchwara za Jiwe ndio kabisaa tunaenda gizani
 
Una miaka 4 tu Ulaya unasahau neti? Niko miaka 20 na nathamini kwetu Bongo. Kila sehemu inao uzuri na ubaya wake hata hiyo Colon yako.
Jamaa limbukeni flan,angeona wamarekani weusi wanavyokuja kwa bongo angejiona mjinga sana
 
Havi kweli unafananisha majiji kama london, Berlin, tel Aviv, dotmund etc na mwanza na DSM!!!??
Majiji baadhi ya hayo yana miaka 50-200yrs, pia uchumi wa hayo majiji na yetu kweli lakini unafikia kufananisha london na dsm.
Nimelia sana niseme tu tz ndo kwenu na utarudi mfu au uzikwe huko kama mbwa. Kenge wewe
 
Mkubavu mkubwa wewe.......ulizaliwa kwenye ward kama ya kulishia ng'ombe unajifanya unaijua ulaya kuliko kijijini kwenu........wewe Acha ushamba uko ulaya watu walianza kwenda toka MTU anatumia passport moja yeye na familia nzima na bado wakarudi kufia bongo bila kutoa kashfa kuenda kidogo Tu kuuza ngada unajifanya kunanuka muulize aliye kuzaa kama kuna nuka hapa bongo............si alipanua mpaka ukapaona hapa duniani Acha kudharau kwenu mkubavu umenikera ............😬😬😬😬😬😬 Nisamehee lakini kama nimekukwaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…