Niliwaambia wazazi wasubiri niweke mambo yakae sawa wakanigomea, sasa naona yakitimia

Niliwaambia wazazi wasubiri niweke mambo yakae sawa wakanigomea, sasa naona yakitimia

Sijaelewa yaani ulimgomea binti kurudi kwao hata mahari hujamtolea,na ukapanga sikukuu ale kwenu na sio kwao. Na bado una nguvu ya kuja kulalamika humu daah
 
Hii si ishu kubwa wala.
Tumia mshenga au mtu mzima kuwaelekeza kwamba kwa mwezi huu haiwezekani, wape tarehe nyingine kama mwezi wa 3 au wa 4.

Wakizingua, tulia tu. So far, we ndo umeshika mpini, dada hatakubali kuwa single mom kizembe hivyo.
Bila shaka, atakaa hapo kwao kidogo tu, Kisha ataomba nauli arudi.
 
Rudia kusoma thread yangu Mkuu.

Mahari sio issue na hata ule utaratibu wa kwanza haukua bure kuna fedha iliachwa.

Na hata hiyo sio mahari ni wanataka tukutane ndugu wa pande zote mbili kuwe na kama katafrija (Gharama, Muda, Watu) kwa tarehe hiyo watapatikana kweli??
Kama hivyo atumwe mwakilishi ambaye atakua mshenga na baba au mama yako tu
 
Sijaelewa yaani ulimgomea binti kurudi kwao hata mahari hujamtolea,na ukapanga sikukuu ale kwenu na sio kwao. Na bado una nguvu ya kuja kulalamika humu daah
Binti katoka ukoo mlenda mlenda. Angetoka koo fulani hivi uitwe na wazee mwanaume wako ambaye hajakutolea mahari agome angefutwa kwenye ukoo.
 
Hii si ishu kubwa wala.
Tumia mshenga au mtu mzima kuwaelekeza kwamba kwa mwezi huu haiwezekani, wape tarehe nyingine kama mwezi wa 3 au wa 4.

Wakizingua, tulia tu. So far, we ndo umeshika mpini, dada hatakubali kuwa single mom kizembe hivyo.
Bila shaka, atakaa hapo kwao kidogo tu, Kisha ataomba nauli arudi.
Najua hayo.

Shida ni kwamba wazazi wangu ni watu wadini sana kwahyo kwa namna yeyote watataka ku force hili swala liwezekane hata kwa kukopa.

Swala la mwezi wa 3/4 ndio ilikua plan yangu.

Wazee wamefanya mawasiliano sana asubuhi ya leo lakini ukweni wamekomaa na misimamo yao.

Wasiwasi wangu ni kwamba sitaki mwishoni nije kuonekana kama niliwafanyia dharau.
 
Kama hivyo atumwe mwakilishi ambaye atakua mshenga na baba au mama yako tu
Budget waliyopanga kwaajili ya hiyo tafrija nikitoa hela alafu wakaenda watu wawili watazidi kuona kama familia yangu imefanya madharau.
 
Mkuu ushauri wako wa yeye kashika mpini huwa unawaponza wengi. Huyo akirudi atarudi na kinyongo kitakachofatia ni parapanda isiyo na kesi polisi wala mahakamani
Hii si ishu kubwa wala.
Tumia mshenga au mtu mzima kuwaelekeza kwamba kwa mwezi huu haiwezekani, wape tarehe nyingine kama mwezi wa 3 au wa 4.

Wakizingua, tulia tu. So far, we ndo umeshika mpini, dada hatakubali kuwa single mom kizembe hivyo.
Bila shaka, atakaa hapo kwao kidogo tu, Kisha ataomba nauli arudi.
 
Binti katoka ukoo mlenda mlenda. Angetoka koo fulani hivi uitwe na wazee mwanaume wako ambaye hajakutolea mahari agome angefutwa kwenye ukoo.
Wangekuja tuu, shida mnadhani ndoa ni kukomoana.

Wangapi wamezalishwa wakatelekezwa na hakuna wazee wamefuata ukoo.

Sababu za kumgomea nimezi ainisha hapo na sio kwamba nilimgomea directly.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Najua hayo.

Shida ni kwamba wazazi wangu ni watu wadini sana kwahyo kwa namna yeyote watataka ku force hili swala liwezekane hata kwa kukopa.

Swala la mwezi wa 3/4 ndio ilikua plan yangu.

Wazee wamefanya mawasiliano sana asubuhi ya leo lakini ukweni wamekomaa na misimamo yao.

Wasiwasi wangu ni kwamba sitaki mwishoni nije kuonekana kama niliwafanyia dharau.
Sasa wewe unahangaika nini?
So uwaeleze wazazi wako kwamba hauko tayari, kama wanalazimisha basi wao wasimamie show nzima.
 
Mkuu ushauri wako wa yeye kashika mpini huwa unawaponza wengi. Huyo akirudi atarudi na kinyongo kitakachofatia ni parapanda isiyo na kesi polisi wala mahakamani
Hesabu zangu zipo calculated sana hasa na hawa viumbe jinsia KE.

Na sio mtu ninayeogopa kubadilisha geer angani na ndio maana hata ndoa nili opt ya bomani na sio ya kidini.
 
Mkuu ushauri wako wa yeye kashika mpini huwa unawaponza wengi. Huyo akirudi atarudi na kinyongo kitakachofatia ni parapanda isiyo na kesi polisi wala mahakamani
Jamaa anasema hana kitu, hayupo tayari kwenda. Sasa kwanini wanamlazimisha.
Jamaa akiwapa room ya kumlazimisha saa hizi, watamfanya hivyo hivyo hata akishaoa.
Kumbuka, 'you teach people how to treat you'.
 
Sasa wewe unahangaika nini?
So uwaeleze wazazi wako kwamba hauko tayari, kama wanalazimisha basi wao wasimamie show nzima.
Walishani ponza kwenye show ya kwanza kitu ambacho kimila ya kwetu walipaswa wagharamie wao lakini nilitoboka japokua sio kwa ubaya.

Shida ni kwamba mahesabu yangu yanagoma hasa kikiwaza EDD
 
Wangekuja tuu, shida mnadhani ndoa ni kukomoana.

Wangapi wamezalishwa wakatelekezwa na hakuna wazee wamefuata ukoo.

Sababu za kumgomea nimezi ainisha hapo na sio kwamba nilimgomea directly.
Mkuu, ishu ni binti kuitwa na wazee halafu umgomee na wazee waufyate. Either wewe ni mwamba sana au binti katoka ukoo mlenda mlenda. Ninachokiona hilo la mlenda mlenda linawezekana kuwa sahihi. Mlenda mlenda namaanisha ukoo usiojali, usio na wazee wa ukoo wanaofatilia mambo.
 
Sio kama nimekataa Masta, issue ni huo muda walionipangia (Ni ndani ya siku 10) isitoshe hii ni january kupata nafasi kwa upande wangu, wazazi na ndugu ni changamoto.
Ongea nao sasa kungali mapema, andika zako barua iliyonyooka weka humo hata dollar 50 ya sukari, mpe mshenga apeleke.... Dharula huwa zipo kwenye maisha so kama ni waelewa basi watakuelewa na wasipokuelewa basi ila uzuri itakua iliwapa taarifa mapema.
 
Nadhani hapo ilibidi wakupe taarifa kabla ya kuamua tarehe, ila wakwe na wao kama wamekukomoa sababu haukwenda.
Ishu unayotakiwa kufanya ni kuwaambia hiyo tarehe sio convenient kwako na uwape unayoitaka, wakigoma we relax.
Kwenye harusi familia ya nwanaume ndio inatakiwa iwe na upper hand
 
Walishani ponza kwenye show ya kwanza kitu ambacho kimila ya kwetu walipaswa wagharamie wao lakini nilitoboka japokua sio kwa ubaya.

Shida ni kwamba mahesabu yangu yanagoma hasa kikiwaza EDD
Aisee..
Kwani una umri gani mkuu?
Maana unapaswa kuwa na msimamo.
unapaswa kuwa katika nafasi ambayo ukizungumza na wazazi wako, wanaelewa mantiki nyuma ya hoja zako.
Kama wazazi wako hawataki kukuelewa, wanataka kujilazimisha ili wa'please ukweni, hiyo ni ishara mbaya.
Na hao watu wa ukweni watawapelwkesha sana, maana mnaonesha udhaifu hapa mwanzoni.
 
Usiogope na kimsingi watakuheshimu kama mtu unayesimamia mipango Yako na uko tayari kuongoza familia
Sasa unatakiwa kuwa baba halafu upangiwe huyo mwanamke atakuvua vyeo vyote
Natamani ningekuwa kwenye viatu vyako angalau kwa dk Moja tu
Be a man brother at least for two days yani we lay low no phone no contacts
Utaheshimika hadi mwisho
Im good at it Brother! Thanks!!
 
Back
Top Bottom