Ninachokijua mimi kuhusu RC ni kwamba, hili ni dhehebu kubwa na lenye nguvu kubwa Duniani pote.
Marekani pamoja na ujanja wao wote, hakuna wanachokiogopa kama RC.
Wao wanaita "ROMAN EMPIRE"
Ukienda hapo Nchi ya jirani tu hapo, mtu akitaka kugombea Urais lazima kwanza aombe kibali katika Baraza la Maaskofu Katoliki. Wakikubali anachaguliwa, wakikataa hachaguliwi.
Kwa leo niishie tu hapa kuhusu RC, kwani naona watu wengi humu jf bado hawajaijua vizuri RC.
Marekani pamoja na ujanja wao wote, hakuna wanachokiogopa kama RC.
Wao wanaita "ROMAN EMPIRE"
Ukienda hapo Nchi ya jirani tu hapo, mtu akitaka kugombea Urais lazima kwanza aombe kibali katika Baraza la Maaskofu Katoliki. Wakikubali anachaguliwa, wakikataa hachaguliwi.
Kwa leo niishie tu hapa kuhusu RC, kwani naona watu wengi humu jf bado hawajaijua vizuri RC.