This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Katiba mpya ndiyo msingi wa taifa letu.
Lazima tufanye review ya mfumo wetu wa elimu.Tz tuna vyuo vingi vya ufundi na hivi vyuo vya maendeleo ya wananchi ambavyo vinaweza kutumika moja kwa moja kuibua na kuendeleza ubunifu, badala ya kung'ang'ania kila kijana aende sekondari. Tuwe na mfumo unaowafanya Vijana kujiajiri ktk sekta ya ufundi na ubunifu.Ambayo ndiyo chachu ya maendeleo ya viwanda vidogo na vya kati.
Ndiyo maana mataifa ya magharibi wanakupa msaada wa kifedha lkn hawawezi kukupa msaada wa kiufundi(technical know how) kwa sababu wanajua utajikomboa.Leo Tanzania ukitengeneza gobore una itwa mhalifu.
Lazima tufanye review ya mfumo wetu wa elimu.Tz tuna vyuo vingi vya ufundi na hivi vyuo vya maendeleo ya wananchi ambavyo vinaweza kutumika moja kwa moja kuibua na kuendeleza ubunifu, badala ya kung'ang'ania kila kijana aende sekondari. Tuwe na mfumo unaowafanya Vijana kujiajiri ktk sekta ya ufundi na ubunifu.Ambayo ndiyo chachu ya maendeleo ya viwanda vidogo na vya kati.
Ndiyo maana mataifa ya magharibi wanakupa msaada wa kifedha lkn hawawezi kukupa msaada wa kiufundi(technical know how) kwa sababu wanajua utajikomboa.Leo Tanzania ukitengeneza gobore una itwa mhalifu.