Niliwasha Moto mahali kwa bahati mbaya ukaunguza nyumba 300
Wape haki yao mkuu,biblia inasema ni haki ya mtoto kuchapwa fimbo.
Kuna memba ananifahamu humu vema Sasa aliuza file langu kwa baadhi ya madem wa humu ndio maana wengi wananitaka sema mimi ninakifua.
 

Kwa kipindi naabza mchezo wa kuvuta bhange badala ya subira nilijikuta nimeshinda shindano na mpinzani wa ambae alikuwa bulusiliii.

Mara pap tenga hili hapa, nikaanza kurukaruka kama bulusiliii..

Aseeee tokea hapo viwiko vya mikono yangu, vifundo vya nyayo zwngu na magoti ya miguu yangu havijawahi kutengemaaa
 
Nakiri kusema umaarufu wangu JF umeongezeka sana japo sijajua kwanini lakini ID nyingi zinanitag na nyingine zinanifwata inbox kwa heri na Shari.

Kwasasa natakiwa nitunze reputation yangu.
 
Back
Top Bottom